Don Vill
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 2,249
- 5,674
Yaani mtanzania ni mbwa mwitu kabisa ,Kiufupi waafrika hatupendani kuna ile story ya HR wa barrick gold mine kuwalipa pesa kiduchu wafanya kazi licha ya management kuidhinisha pesa kubwa ila HR alikataa akasema kama hawataki tutaleta wengine ndio utajua wabongo jinsi tulivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app