Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Nakumbuka 2021

Nimeanza kazi boss ananipenda sana basi kila idea za michongo naropoka tu aamue yeye kuzifanya au kuacha, nikiona wazo zuri la kuboresha clinic yake namfungukia tu bila wasi wasi .....

Miezi michache baadae wateja/wagonjwa wakawa wananikubali basi jina lina kuwa kwa kasi ya ajabu kupita wale nilio wakuta hapo nna miezi mitatu boss ananiita pembeni na kunifanya kuwa mkuu wa idara

Mimi natumia nafasi hiyo hiyo kubanana tuongezeane mshahara nae bila hiyana anafanya ivo .... shida inakuja baadae nilianza kuuza vifaa tiba nikiwa eneo la kazi then ikaleta conflict of interest... ikumbukwe kuwa mwanzoni nilileta wazo kwa boss ila hakulifanyia kazi.....

Wiki mbili mbele nkachukua faida kidogo na kilie kiji akiba kwenye mshahara nikachanga ninunue ka vitz bhana wee..... songo mbingo likaanza

Kazini nashinda asubuhi mpaka jioni nnahitaji leseni kwaajili ya baby walker nikatenga muda ijumaa baada ya kazi nikimbie TRA mara moja Kisha nirudi, loooh!
Mke wa boss (mpare) ananambia umetoka kazini hapa sio getto kwamba ujiingilie na kutoka.... kwa heshima na kuepusha migogoro nilirudi mchana ule nikabadilisha uniform na kutoka kazini ili nirudi kesho hali ikiwa imetulia.

Kumekucha nirudi kazini nakutana na work mate mwenyeji wangu (mfipa) ananambia hapa boss kasema ukija usiguse chochote mpaka yeye atakapo sema.

Haya nimekaa home week nzima siitwi nampigia cm boss ananiambia Kwan nn kinaendelea kima yule kama hajui...

Akanipa appointment tuonane j3
Nimefika akanipa sababu za kipumbavu za kukatisha mkataba
1.umemjibu vibaya mkurugenzi wako (mke wake)
Sikufaham kuwa mke wake ni mkurugenzi maana sikutambulishwa wala hakuhusika katika mchakato wa kuniajiri pia siku tambua majukumu yake wala kwenda ku report kwake.

2.natangaza kuwa nnalipwa mshahara mkubwa. Sikuwahi fanya ivo....
Pili kwani kuna ubaya kujivunia matunda ya ujuzi wako kuna sehemu yoyote katika mkataba inayo zuia kufanya ivo?

3. Eti nauza vifaaa ili hali kuwa nayeye pia anauza vifaa .... lakini muda huo hakuwa na stock yoyote na hakuweza jua ni vifaa gani vilivo kuwa na uhitaji kwa muda ule ndio maana tukavileta.


Nilicho jifunza

1.usiwapende na kuwaamini wote kazini
Boss nilimwona kama baba [emoji777]

2.usioneshe mafanikio yako we walilie shida tu hata kama unacho hii itafanya boss pia ajiamini kuona atakutawala milele

3.marafiki wa kazini ni wanafiki tenga muda ujifunze unafki pia ila usiwe mfitini.... hii itasaidia kuweza kuzichapa ki intelijensia ukiwa hapo hapo kazini

4.fanya kazi masaa ya kazi tu hizo extra hours nenda kafanye kazi kwingine fanya kazi zako vizuri na kwa ufanisi wa hali ya juu ila usiifanyie zaidi taasisi .... hii itasaidia hata siku ukifukuzwa usipate maradhi ya moyo au sonona.

5.usiwe na mpenzi/wapenzi kazini.... maana hii huleta wivu hata kwa wafanyakazi wenzio kama kuna mwanamke anakukubali ataanza kuleta wivu au kama kuna mtu alivutiwa na huyo ulie nae atakuletea shida pia ( hapo juu kipindi jina limekua nilitafuna piss kali sana kias kwamba mpare mmoja MD alifurahi sana alipoona nmeachana na ile yule dada) sema tulio soma Cuba tukaelewa shida yake ilikua nini maana hata tulipo kuwa tukienda kulewa na jamaa alikua anampigia cm yule dada niongee nae mbele yake kima yule.

6.Marufuku kunywa pombe na work mates wako hii itakusaidia sana kufanya wasikujue.
Hili lilokutokea limenitokea na mimi katika mazingira hayo hayo ilikuwa Health Center. Piga kazi sana mabosi wanaelewa kazi, na ushauri nini cha kufanya kuongeza mapato. Punde si punde majungu yakaanza, sasa walichokosea wale mabosi kwanza walikuwa sio watanzania na hawakupata mshauri mzuri wa kuwashauri jinsi ya kuterminate mikataba. Wao wakanipa termination kwa mihemko yao kilichofuata hadi leo hawana hamu [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hili lilokutokea limenitokea na mimi katika mazingira hayo hayo ilikuwa Health Center. Piga kazi sana mabosi wanaelewa kazi, na ushauri nini cha kufanya kuongeza mapato. Punde si punde majungu yakaanza, sasa walichokosea wale mabosi kwanza walikuwa sio watanzania na hawakupata mshauri mzuri wa kuwashauri jinsi ya kuterminate mikataba. Wao wakanipa termination kwa mihemko yao kilichofuata hadi leo hawana hamu [emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nilienda CMA nikafungua shauri ni claim 21M Kwa kuvunjiwa mkataba ila nikapata guardian angel mmoja akanishauri "Mr (jina langu) you are too young to make enemies"

Bas baada ya pale nikamsamehe mmatumbi yule nikaendelea kupambana na maisha nashukuru Mungu sikuwahi pungukiwa pia nikafanikiwa kuishi bila ajira yotote rasmi kwa miaka miwili mfululizo nikifanya deal zangu mtaani
 
Sasa shida ilikuwa ni nini bruh 😁
Boss alikua Mmama, mimi nilikua upande wa admini na kacheo flani, mdada alikua wafanyakazi wa chini, Wakati penzi linashamiri Boss aligundua na alimwita huyo mdada akamwonya hataki umalaya kazini kwake. Mdada akaja kuniambia nikaanza kumpunguza. Kumbe naye akaelewa somo akanitegeshea mimba, akawa proud na hali hiyo.
Nikawa na mawazo sanaa. Utendaji kazi ukapungua. Baada ya rumours nyingi kunihusu mimi. Yaani ukikatiza hivi vijimaneno haviishi. Siku nikaandika tu resignation letter.
 
Ni naona wabongo wengi tu wana hulka za kisenge ,umasikini wa akili na mali ,roho mbaya ,ushamba na ulimbukeni .
Hiki ndio chanzo cha roho mbaya na chuki huko makazini
Nope kaka nakataq hata wazungu wanafanyiziana mkuu huko...tena sijui bara la Asia iko vipi huko....
 
Sio kweli hakuna watu wako peace kama wafipa,mm nafanya kazi unyakyusani Cha moto nakiona mm Nina upendo na Kila mtu lkn hii mijamaa imezidi ukabila na roho mbaya.
Hawa wapumbavu ni wabaguzi sijapata ona.
Basi itoshe kusema ni hulka sometimes binafsi...hasa kama anaeshika wenzie masikio ana itikadi hizo za kingese
 
Hili lilokutokea limenitokea na mimi katika mazingira hayo hayo ilikuwa Health Center. Piga kazi sana mabosi wanaelewa kazi, na ushauri nini cha kufanya kuongeza mapato. Punde si punde majungu yakaanza, sasa walichokosea wale mabosi kwanza walikuwa sio watanzania na hawakupata mshauri mzuri wa kuwashauri jinsi ya kuterminate mikataba. Wao wakanipa termination kwa mihemko yao kilichofuata hadi leo hawana hamu [emoji3][emoji3][emoji3]
Vipi uliwachomoa Milion ngapi???[emoji1787][emoji1787]
 
Asehhh...pole sana watu walikupiga sayansi ya kiutamaduni ukasarenda
Nikweli mkuu alipigwa Sayansi jamii akaanza kuichukia kazi na ulisha acha kazi akili ndiyo inarudi kwanini nimeacha kazi, wafanyakazi maofisini wanapenda sana kutumia huu Uswahili kama unawasumbua kazini.
 
Wanyakyusa hawana shida kabisa. Mimi ni mnyakyusa nafanya kazi kaskazini yaani natamani kurudi nyumbani tu maana hawa watu wa kaskazini especially wachaga wana roho chafu sana yaani itoshe tu kusema haya mashetani ni ma mbwa kabisa
Ni kweli yani wabaya sanaa yani ukute yana fanya kazi kampuni za wazungu, Yani yatanyanyasa wafanyakazi na kudhurumu haki zao ili kumpa faida mzungu, Nilikuwa nafanya kazi kampuni ya Mzungu sasa Mzungu ikayumba kiuchumi mzungu akaruhuru baadhi ya wafanyakazi tulipwe stahiki zetu tuondoke kazini, Sasa bahati mbaya HR wetu alikuwa mchaga akaanza kumfundisha mzungu jinsi ya kutupunja malipo yetu uku mzungu alikuwa kakubali kutulipa mapesa mengi, Mchaga kuona mzungu atatulipa mapesa mengi roho ikamuuma kama kampuni ya kwake.
 
Ni kweli yani wabaya sanaa yani ukute yana fanya kazi kampuni za wazungu, Yani yatanyanyasa wafanyakazi na kudhurumu haki zao ili kumpa faida mzungu, Nilikuwa nafanya kazi kampuni ya Mzungu sasa Mzungu ikayumba kiuchumi mzungu akaruhuru baadhi ya wafanyakazi tulipwe stahiki zetu tuondoke kazini, Sasa bahati mbaya HR wetu alikuwa mchaga akaanza kumfundisha mzungu jinsi ya kutupunja malipo yetu uku mzungu alikuwa kakubali kutulipa mapesa mengi, Mchaga kuona mzungu atatulipa mapesa mengi roho ikamuuma kama kampuni ya kwake.
Huyo HR mchaga aliwazidi akili ninyi nyote..kwa maana mlikuwa mnawaza kulipwa mihela mkimbie na wakati mwenzenu anawaza kubana matumizi ili kampuni ivuke kwenye kipindi kigumu [emoji23]...ila hujamalizia story kama mzungu alikubali ushauri wa mchaga au la....
 
Hulka za haters na wazandiki utazikuta Kila eneo la kupatia riziki. Ni vile tu Mungu hutulinda otherwise ni ngumu ku survive mbele za watu wa ngozi nyeusi.
 
Back
Top Bottom