hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,890
- 2,795
Walijipanga Sana isipokuwa kama mtoa mada alivyoonesha masikitiko yake, ilibidi watii mamlaka. Huenda kuna namna Ya maandalizi yanapaswa kuanza kufanyika sasa kuelekea 2025Kwakweli mnalalamika mpaka roho inaniuma poleni sana wajameni ndio siasa hiyo jipangeni kwa uchaguzi ujao..
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA