Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Kwakweli mnalalamika mpaka roho inaniuma poleni sana wajameni ndio siasa hiyo jipangeni kwa uchaguzi ujao..

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Walijipanga Sana isipokuwa kama mtoa mada alivyoonesha masikitiko yake, ilibidi watii mamlaka. Huenda kuna namna Ya maandalizi yanapaswa kuanza kufanyika sasa kuelekea 2025
 
Kwakweli mnalalamika mpaka roho inaniuma poleni sana wajameni ndio siasa hiyo jipangeni kwa uchaguzi ujao..

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu hukuwaona walivyokuwa wanatukana juzi kati hapa
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisaa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Hongera ndugu kwa kusema ukweli nakushauri pia uende kutubu kwa ajili yako ili usiwe mmoja wa washiriki wa hii dhambi na uovu huu mkubwa uliofanyika mbele ya uso wa Mungu.
 
Mimi nilitenda haki na CHADEMA /upinzani wameshindwa kwa haki mf kwenye kituo changu kura za urais ccm kura171,CHADEMA kura 36,ubunge CCM kura 151,CHADEMA kura 67 na vituo vya majirani zangu pia CCM imeongoza kwa gape kubwa tu nadhani kuna kitu upinzani wajipange vzr kukifanyia kazi hasa vijijini, wenzao ccm wanamtaji mkubwa sana huko, ukijumlisha na mbwembwe zingine kama TASAF na ugawaji wa nguo za chama yaani huwaambii kitu vijijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisaa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Huna lolote unataka kupotosha umma hujasimamia uchaguzi wewe
 
Hizi drama za wazi wazi..
tapatalk_1211490038.jpg
 
Huu ujinga umefanyika maeneo mengi sana. Na policcm safari hii wamedhihirisha wazi namna wanavyotumiwa na bosi wao. Alichokisema yule OCD wa Hai, hakikuwa ni kitu cha kubahatisha.

Majibu yameonekana sehemu nyingi. Poleni wote mlio umizwa kwa kunyang'anywa ushindi wenu kibabe! Kisa kuna mtu mmoja tu alipiga marufuku wapinzani kutangazwa washindi.

Wale hawakua polisi ni bakabaka ndani ya FFU uniform
 
Katiba iliyopo watu wameshindwa kuitumia.

Magufuli kapiga marufuku mikutqno kinyume na katiba.

Hiyo mpya mkipewa halafu akaivunja hivyo hivyo, mtafanya kipi cha tofauti?

Mimi naona katiba mpya ni muhimu, ila mara nyingi inafanywa kuwa kisingizio tu.

Katiba haileti mabadiliko. Watu ndiyo huleta mabadiliko.

Sasa kama watu hawana muamko, katiba mpya utasaidiaje?
Nilisema juzi humu sisi wananchi watanzania ni wapumbavu na matahira,kila kitu tumewaachia viongozi wa upinzani nao wamechoka maana hawapati sapoti yoyote kutoka kwa wananchi.

Hata leo hii tukabadilishiwa katiba tukapewa ya USA,kama Rais ni magufuli atafanya against ni hatutafanya chochote.

Ngoja tuungane na wenzetu waganda na Rwanda kuhalalisha upumbavu wetu wa kiafrika.
 
Nilisema juzi humu sisi wananchi watanzania ni wapumbavu na matahira,kila kitu tumewaachia viongozi wa upinzani nao wamechoka maana hawapati sapoti yoyote kutoka kwa wananchi.

Hata leo hii tukabadilishiwa katiba tukapewa ya USA,kama Rais ni magufuli atafanya against ni hatutafanya chochote.

Ngoja tuungane na wenzetu waganda na Rwanda kuhalalisha upumbavu wetu wa kiafrika.
Kaka ukijifanya ngangari hao jamaa wanakuchapa risasi, hao watu wameshaamua kubaki madarakani kwa gharama yoyote ikibidi kumwaga damu za watu wasio na hatia!
 
Inawezekana kweli wengine walifukuzwa. Ila ukishakula pesa ya mtu, unaweza kutunga uongo wowote.

Wakala anayejielewa, aliyekula semina na akafundwa na Chama chake anafukuzwaje? Huu utaratibu wa kuokota mtu yeyote barabarani ‘akajitolee’ kusimamia nadhani iwe mwisho mwaka huu
Kituo nilichopigia kura mawakala wa upinzani hawakuwepo walifukuzwa kabisa kisa hawakupewa barua ya utambulisho na mkurugenzi, sehemu nyingine walitishiwa maisha la sivo wanauliwa, mawakala ikabidi wasepe tu.
 
Mwisho wa dhalim haujawahi kuwa mzuri.
Kwakweli mnalalamika mpaka roho inaniuma poleni sana wajameni ndio siasa hiyo jipangeni kwa uchaguzi ujao..

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Back
Top Bottom