BreakingNews
Member
- Jun 6, 2016
- 30
- 56
Umeshatajirika sasa unajifanya kuja kujuta, eff you.Majuto ni mjukuu. Sasa mmeturudisha kwenye utawala wa Chama Kimoja. Sio peke yenu. Hata mawakala wa vyama vya upinzani wamechangia haya
Magufuli atasema ameshinda ila CCM na TANZANIA kwa ujumla tumepoteza