Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Uchaguzi 2020 Tuliosimamia Uchaguzi tukiri kuwa tumewatendea dhambi Watanzania kwa sababu ya kutii Mamlaka

Mimi ntashangaa Sana mwaka 2025 Kama wapinzan watashiriki Tena huu uchaguz bila katiba mpya ,Tena ntashangaa Sana na huo ndio utakuwa mwisho wangu wa kupiga kura had naingia kaburini na hata mke Wang sintamruhusu ajihusishe na Mambo ya kupiga kura .

Narudia Tena nitashangaa Kama wapinzan watajihusisha na uchaguz ujao Kama katiba itabak ivi ivi..
Mkuu ikifa utawezaje kumzuia mkeo asipoige kura? Unajua hawa wanawake zetu ukifa ndio anafungulia uhuru aliokuwa amefungwa na pete
 
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka Nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Makamanda huwa hamuishiwi na porojo..."watu wanajaa mikutano yao kwa aijli ya show za Diamond na Zuchu, leo unajifanya ulikuwa msimamizi! Kabadiri matokeo mbele ya mawakala wa vyama, na sanduku la kura mkachoma, na ulikuwa unasimamia matokeo ya jimbo zima maana idadi ya wapiga kura wa kituo kimoja haiwezi kuleta athali kama tunayoiona kwenye majumuisho, mfano Mh. Mbowe waliiiba kura zaidi ya 60,000 kama manweza kuibiwa kirahisi hivi jitafakari kama mnaweza kulinda raslimali za nchi mkipewa uongozi!
 
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka Nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Wewe ni mpuuzi tu. hata ufanye toba ya namna gani hiyo laana haitakuacha mbwa wewe. na ndani ya hii miaka mitano mikosi na balaa itakuandama wewe na familia yako.
 
Ni wazi kabisa kuwa kuna maeneo Chadema wasingeweza kushinda hata iweje. Lakini sio vituo vyote nchini washindwe tena kwa kiwango hicho. Ingesaidia zaidi kama ungetaja jimbo lako maana wenzako ndio waliofanya wasimamizi wote muonekane hamfai.

Amandla...
Upo sahihi jimbo hili lipo mkoa wa songwe kwasababu za privacy sitaweza kulitaja,majority vituo vingi ccm ilishinda lakini pia baadhi ya vituo vilivyopo mjini CHADEMA ilishinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Uongo
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Laana, mikosi na kifo itakuandama hizi miaka mitano yote.
 
Kuna watu wapuuzi Sana. Kwa vile Watanzania wamewakataa ndio wametenda dhambi? Mmekataliwa Mmekataliwa tu, hata mtoe mapovu na kina Amsterdam wenu hakibadiliki kitu.
 
Hivi kwa nini muda ule bunge linapovunjwa na Raisi naye madaraka yake yawe yanasitishwa mpaka uchaguzi ufanyike? Jeshi lishike nchi kwa utaratibu maalumu mpaka apatikane rais baada ya uchaguzi.
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Swali fikirishi, je unaweza lazimishawa kuolewa ama kumuoa usiye mpenda? na je kuna madhara?
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Ulisimamia wapi na jina lako ni nan???
Maana ata mimi naweza kwambia ni mtoto wa bilget kwa maneno
 
Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.

Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.

Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.

Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?

Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
mambo ni ya moto kwa ground
 
Kwakweli mnalalamika mpaka roho inaniuma poleni sana wajameni ndio siasa hiyo jipangeni kwa uchaguzi ujao..

Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Na wewe tunafatilia kura yako ulimpigia nani! Ili tujuwe u-pamoja nasi au niaje!
 
Katiba iliyopo watu wameshindwa kuitumia.

Magufuli kapiga marufuku mikutqno kinyume na katiba.

Hiyo mpya mkipewa halafu akaivunja hivyo hivyo, mtafanya kipi cha tofauti?

Mimi naona katiba mpya ni muhimu, ila mara nyingi inafanywa kuwa kisingizio tu.

Katiba haileti mabadiliko. Watu ndiyo huleta mabadiliko.

Sasa kama watu hawana muamko, katiba mpya utasaidiaje?
Umeisoma katiba mpya? Kuna mambo mke yanampunguzia madaraka Raisi hivyo ni Raisi kumu impeach Raisi, hata wakitenganisha kofia itasaidia maana hakuna sehemu rais anakutana na wabunge kama boss wao, judiciary lazima iwe parallel na mihimili mingine tutafute utaratibu wa kumfuata judge mkuu na ma judge na vyombo vya kumuimpeach viwe ndani ya judiciary
 
Wakishinda wapinzani haki imetendeka, ila wakishindwa hakuna haki, tulia sindano iwaingie
Msichojua ni kwamba hiyo sindano huishia kuwachoma wote.... Unamkumbuka yule gwiji wa nyimbo za mbogamboga marehemu kapteni Komba? Ndiye aliyetunga ule wimbo maarufu wa wapinzani wataisoma namba. Muda mfupi baadaye yeye ndiyo akaanza kuisoma namba kwa kudaiwa kodi lukuki na mikopo ya benki kila kona, mwishowe shule yake ikadakwa na moja ya benki... Na ugonjwa ukachanganya, Mungu naye akamuita.... [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom