Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Shida inaanzia hapo sasa. Kwanini hawakupewa barua? Kwanini walisubiri mpaka siku ya Uchaguzi then wakaibukia pale bila barua? Yaani sehemu nyingi Upinzani ulijiandaa/uliandaliwa kupigwa mapema.Kituo nilichopigia kura mawakala wa upinzani hawakuwepo walifukuzwa kabisa kisa hawakupewa barua ya utambulisho na mkurugenzi..
Mambo ni mengi sana ya kujifunza na kuchukua hatua. 2025 sio mbali sana.