mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kumbe umedandia gari kwa mbele
Hiyo sijasema. Wewe wasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sijasema. Wewe wasema
3Hapo, Yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu Yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha. 4Akawaambia, "Nimekosa kwa kumtoa mtu asiye na hatia auawe." Lakini wao wakasema, "Yatuhusu nini sisi? Hilo ni shauri lako."Watanzania tunajua CCM imeshinda kwa kishindo, hayo mengine mtajua wenyewe na mtahukumiwa kila mtu kwa wakati wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pole sana na karibu JF...Inawezekana Hujajielewa bado ila nakwambia neno moja tuu kama wa kusikia basi sikia :-
DHAAALIM
Ndugu, tuombe afya na uzima tuone. Wapinzani hawakuwahi kuwazuia kufanya watakalo, kwa wingi wao bungeni na kwenye mabalaza ya madiwani wao ndo waamuzi. Wapinzani wanasingiziwa tu.Mi siamini kwenye hilo. Kuna mengi mazuri yanakuja. Tutarajie kuona mafanikio mengi. Nchi hii ni yetu sote. Kama wapinzani ndio walikuwa wanakwamisha maendeleo naamini sasa ndio mda wa kuangalia visingizio vya wakati uliopita kama vitakuwa vilevile wakati ujao. Tuendelee kuwa wavumilivu kaka. Mda utatuambia
Sasa katiba mpya itazuia wizi wa kura?Imeshindikana kumwajibisha Kwasababu ya idadi ya wabunge, upande wake wako wengi sana,
kukiwa na uwiano sawa hata yeye anawajibishwa ,
kwasasa haitaweza kumuajibisha mkuu, ila wa chini mnalalao nao mbele vizuri tu
Mkuu, nisingependa kutumia lugha kali kama yako.Nilisema juzi humu sisi wananchi watanzania ni wapumbavu na matahira,kila kitu tumewaachia viongozi wa upinzani nao wamechoka maana hawapati sapoti yoyote kutoka kwa wananchi.
Hata leo hii tukabadilishiwa katiba tukapewa ya USA,kama Rais ni magufuli atafanya against ni hatutafanya chochote.
Ngoja tuungane na wenzetu waganda na Rwanda kuhalalisha upumbavu wetu wa kiafrika.
point nzuri sana, hawajui kula na kipofu mpaka wanamshika mkono,mfano jimbo la kawe, total votes za magu zimeshinda mpaka total votes za ubunge wa gwaji & halima,ina maanisha kawe kuna watu walipigia raisi tu bila kupigia mbunge na diwaniCcm huu wizi wa kijinga na kipumbavu hata mimi mme akilewa huwa siibi hela zote asije kushtukia mchezo sasa nyinyi mnaiba hadi mnapitiliza nimeona matokeo ya ubunge shinyanga mjini na urais yaani havina uhusiano kabisa
Uchaguzi huu ulikuwa ka msiba haueleweki wallahMimi nilichokuwepo nilisikia watu hawamuamini kabisa wakala wa CHADEMA
Watu wanafikiri kwamba katiba mpya ndiyo inaleta mabadikiko, kumbe watu wenye muamko ndio wanaoleta mabadiliko.Uko makini mkuu .kenya mwamko mkubwa balaa wanasiasa ndo wanaogopa wananchi
Watu wanafikiri kwamba katiba mpya ndiyo inaleta mabadikiko, kumbe watu wenye muamko ndio wanaoleta mabadiliko.
Flow iko hivi.
Watu wenye muamko wa kisiasa-> Katiba mpya -> Mabadiliko.
Hapo ndipo unapata mabadiliko.
Sisi tunataka kuruka stage ya kwanza.
Tunataka kuanzia hapa
Katiba mpya->
Hapo katiba mpya hata ikivunjwa, kama watu hawana muamko wa kisiasa, hakuna wengi watakaopinga.
Wewe ni wakutafutia dawa Ili ujasiri ukukae!! Tulia hivyohivyooo!!!Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Mlikuwa na nafasi ya kujitoa ili msiwe sehemu ya kupitisha CCM kama mlivyofanya. Pesa mmepata lakini dhambi hii mnastahili kifo cha aibuHatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.
Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.
Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.
Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?
Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Kwa hiyo na wewe ulikuwa wakala sayo??😂😂😂Kaka ukijifanya ngangari hao jamaa wanakuchapa risasi, hao watu wameshaamua kubaki madarakani kwa gharama yoyote ikibidi kumwaga damu za watu wasio na hatia!
Umwogope Mungu au uogope mamlaka ya mwanadamu mwenye mwili ambaye atakufa tu. Kwa dhambi hiyo uliyotenda katubu tu bado mda ungaliko otherwise huwezi kumwambia Mungu siku ile ya hukumu niliogopa mamlaka. Mwenye kutenda dhambi na atende tu lakini huko mbele kuna moto wa kutisha. Furaha ya maisha haya si kitu. Kumbukeni kuna milele.Hatuna cha kueleza sisi tuliosimamia Uchaguzi tutabaki nafsi zikituuma lakini tulitii mamlaka zilizokuwa juu yetu.
Mkakati kuanzia juu mpaka chini kabisa kwenye ngazi ya mwisho mkakati ulitekelezwa na watendaji wakatimiza.
Narudia tena, ogopa mamlaka iliyoko juu yako. Tulifanya serikali za mitaa na tumemalizia uchaguzi mkuu.
Lazima kibaki chama kimoja kwa mujibu wa kauli za mamlaka, sasa wewe mtu mmoja unaanzaje kupinga?
Ili haya yote yaishe ni Katiba Mpya vingnevyo upinzani usahau kabisaaa uchaguzi huru.
Ili toba ikamilike, toka hadharani uombe radhi watanzania, wakikusamehe ndipo Mungu atakisamehe. Soma Mathayo 5:23-25. Hapo utakuwa umetenda haki.Maafisa vipenyo walinikalia kooni nikakumbuka nina watoto wadogo bado wanamuhitaji baba yao ikabidi nibadilishe tarakaimu ya chini iende juu ya juu iende chini. Moyo unauma Ila hamna namna na nimefanya toba kwa Hilo.
Kituo nilichopigia kura mawakala wa upinzani hawakuwepo walifukuzwa kabisa kisa hawakupewa barua ya utambulisho na mkurugenzi, sehemu nyingine walitishiwa maisha la sivo wanauliwa, mawakala ikabidi wasepe tu.
Na iwaingie kisawasawa ili wakumbuke pale walipojikwaa ili wasirudie tena ujinga na makosa yao ambayo pamoja na:-Wakishinda wapinzani haki imetendeka, ila wakishindwa hakuna haki, tulia sindano iwaingie