Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Lugalo ulikuwa mwaka gani mkuu?
Mkuu, nilikuwepo pale kati ya 1984 - 1987.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugalo ulikuwa mwaka gani mkuu?
Ok mlikuwa na akina Brutus Hyera, Mgeni, Flora Mbando na njemba moja kutoka Singida ilikuwa na akili sana, pia akina Rehema Kabongo na demu mmoja walikuwa wanamtania kama mama Fatuma!Mkuu, nilikuwepo pale kati ya 1984 - 1987.
Sana Sana mkuu.Malangali nilipiga A-Level.Niliishi Shaban Robert then Bangu A.Wewe uliishi bweni lipi mkuu?
Ok mlikuwa na akina Brutus Hyera, Mgeni, Flora Mbando na njemba moja kutoka Singida ilikuwa na akili sana, pia akina Rehema Kabongo na demu mmoja walikuwa wanamtania kama mama Fatuma!
Hawajatengwa mkuu, karibu!Ubaguzi mbona vidume Tosamaganga umewatenga?
Usisahau Lumumba West wazee wa pamba (pamba production)LWP². Na mwalimu wao Toz M (Mwalituke babu)Nilisoma Mkwawa high school 1999-2001. Enzi za headmaster Mbao
Uliyoyaongea dogo yote ni kweli. Nikisikitika sana ile shule kubadilishwa chuo. Ile shule ilikuwa zaidi ya shule. .Imagine ilikuwa ni boarding with capacity ya ku accommodate wanafunzi zaidi ya 1500. Na ilikuwa na zaidi ya combination 7. Wanafunzi both boys and girls. Ilikuwa inachukua wanafunzi sehemu mbali mbali Tz. Hakuna mkoa au wilaya ambayo ilikosa mtu pale mkwawa. Makabila karibia yote unayofahamu. Lakini majority walikuwa kaskazini(chaga and the like) na mbeya family(ilicover kanda ya nyanda za juu kusini)
Kulikuwa na kila aina ya maisha ambayo ungeyahitaji pale. Kulikuwa na walokole haswa wanasali hadi wanalia. ..wakati huohuo darasa linalofuatia ukiona giza kama ni usiku usilogwe kuwasha taa ghafla. .ungekuta pair of couples wanakulana denda hata kuinamishana...
Kulikuwa na wasongo wa buku hatari. Wazee wa kutoboa usiku kucha. ..pia kulikuwa na minunda hatari. ..kuonekana class hata mazingira ya shule was very rare.
Pamoja na hayo yote...Hakuna ambaye angekufuatafuata. Yote ilikuwa ni wewe. Fanya yote ila mwisho ujue umefuata nini pale.
Na ndo mana ikajulikana complex Cassino.
Ningekuwepo ktk eneo la maamuzi ningeweza batilisha uamuzi wa kuibadilisha kuwa chuo. .kwani kwa kipindi kile mwanafunzi ukipitia pale ungepata multskills jinsi ya kuishi kila aina ya maisha katika jamii.
Niliishi bweni la Lumumba East liliokuwa chini ya mwl mmoja maarufu kipindi kile kwa jina la utani kutoka kwa wanafunzi kama M. ..dwarf. alikuwa mfupi mfupi na alipenda wanawake waliopanda hewani. Na iwapo angegundua kuwa mna date na demu ambaye alikuwa ndani ya target zake basi lazima angekuletea visa vingi hatari. Mimi nilikuwa mmoja wa victim. Lakini mbaya zaidi mademu wengi walikuwa wanakatosa.
Nina mengi sana. ..Lakini siwezi orodhesha yote hapa. ....hapo sijaongelea maandazi ya makanyagio na kadhalika
... and our school will shine and shine forever moreIfunda The Glorious Technical School Live Long Forever. With our Motto, skills and Efficiency......
Hahah kula upepo wa mto Lyandembela.Maeneo gani hayo sio BANDABICHI kweli.
Hahaha!! Mkuu ule mto uketusave sana kipindi cha mpito cha maji kukata.Hahah kula upepo wa mto Lyandembela.
Hahah kula upepo wa mto Lyandembela.
Umenikumbusha sana ,wakati ule nilikua Lugalo na ninaishi mwangata. Nilitimua mbio nyingi sana kupitia Frelimo, isoka na kutokea homeTeh !! Teh !!! Kiongozi umenifanya nikumbuke mbali sana, okay sijasoma hizo shule ulizozitaja hapo juu, kwani kipindi hich still nilikuwa dogo sana, ila shule kama mkwawa, mwembetogwa na highland ni shule ambazo nazifahamu vizuri sana coz I had been living there, back on days.
Kwa wale walisoma mkwawa kipindi hicho ikiwa bado five na six, nadhani utakuwa mnakumbuka vizuri sana shule moja ya msingi ipo upande wa juu mkono wa kulia ukiwa unaelekea mlima, inaitwa ilala primary school. Basi mtabe ndiyo nilikuwa pale kipindi hicho, basi mi pamoja na washikaji tulikuwa tunatabia ya kwenda pande za mkwawa kuokota peni pamoja na kuchungulia wadada walikuwa wakioga njee ( it was so funny ) wakati wa asubuhi au jioni, kwa asubuhi tulikuwa tunapita makusudi njia hii iliyokuwa inaunganisha kilumba west na kilumba east huku ilikuwa lazima uwakute tuuu, na kwasababu tulikuwa wadogo wadogo basi wadada hawa wala hawakuona tabu kuzificha papuchi zao pamoja na( ny)nyo zao, zaidi ya kutuambia " tokeni huku nyie watoto " basi wazee tukitoka hapo full kuadisiana darasani " nimeona ziiiiiiivuu, mwingine nimeona ( n-y) nyo mwingine nimeona kotaa "
Lakini kubwa kabisa jingine nalolikumba ni bonanza lililokuwa linaanzishwa kule Don bosco youth training centre, ambako shule kama vile Tosa, Ifunda, mkwawa Iringa girls na nyingine nezo zilikuwa zinakaribishwa kushiriki bila kusahau raia. Ila kubwa zaidi hapa zilikuwa ni fujo zilizokuwa zinatokea, nyingi zilikuwa zinaanzishwa na vijana watosa wakigombania mademu toka mkwawa au Iringa girls kwa kweli ilikuwa ni balaa tupu maana nakumbuka kuna fujo fulani ziliwahi kutokea zikapelekea Dada mmoja ( mwanafunzi ) kumwagiwa tindikali aisee polisi walivyofika watu walipigisana siku ile na toka pale ukuwa ndiyo mwisho wa bonanza kama lile kuanzishwa kutuoni pale. but honest those days were amazing, I wish I could turn my past and spend the rest of my life in Iringa. All in all Iringa is still my home.
Mzee Mbigili hatunae duniani. Alifariki bwana.Binafsi nilimaliza kidato cha 4 pale The Highlands mwaka 1984 na tukio ninalolikumbuka ni mwalimu wa Chemistry Mr Kibasa kuja kuwa mbunge wa kwanza wa upinzani Iringa mjini mwaka 1995 akitokea Mwembetogwa sec alikohamia baadae akiwa Head Master. Kadhalika namkumbuka Salim Asas ambaye alikuwa kijana mdogo na sasa ni nguzo ya CCM hapo mkoani. Je wewe uliyewahi kusoma Iringa tupe kwa uchache mambo uliyaweka katika kumbukumbu. Wakati wetu alikuwepo mzee Mbigili aka Damu ya chama aliipenda CCM kupita maelezo. Karibu!
Niliwahi kusikia hizo taarifa kuna kijana wake pale masaki anaitwa Samora!Mzee Mbigili hatunae duniani. Alifariki bwana.
Shabaan Robert East ndio dom yangu those days, daah mkuu umenikumbusha the old days.Nilisoma Mkwawa high school 1999-2001. Enzi za headmaster Mbao
Uliyoyaongea dogo yote ni kweli. Nikisikitika sana ile shule kubadilishwa chuo. Ile shule ilikuwa zaidi ya shule. .Imagine ilikuwa ni boarding with capacity ya ku accommodate wanafunzi zaidi ya 1500. Na ilikuwa na zaidi ya combination 7. Wanafunzi both boys and girls. Ilikuwa inachukua wanafunzi sehemu mbali mbali Tz. Hakuna mkoa au wilaya ambayo ilikosa mtu pale mkwawa. Makabila karibia yote unayofahamu. Lakini majority walikuwa kaskazini(chaga and the like) na mbeya family(ilicover kanda ya nyanda za juu kusini)
Kulikuwa na kila aina ya maisha ambayo ungeyahitaji pale. Kulikuwa na walokole haswa wanasali hadi wanalia. ..wakati huohuo darasa linalofuatia ukiona giza kama ni usiku usilogwe kuwasha taa ghafla. .ungekuta pair of couples wanakulana denda hata kuinamishana...
Kulikuwa na wasongo wa buku hatari. Wazee wa kutoboa usiku kucha. ..pia kulikuwa na minunda hatari. ..kuonekana class hata mazingira ya shule was very rare.
Pamoja na hayo yote...Hakuna ambaye angekufuatafuata. Yote ilikuwa ni wewe. Fanya yote ila mwisho ujue umefuata nini pale.
Na ndo mana ikajulikana complex Cassino.
Ningekuwepo ktk eneo la maamuzi ningeweza batilisha uamuzi wa kuibadilisha kuwa chuo. .kwani kwa kipindi kile mwanafunzi ukipitia pale ungepata multskills jinsi ya kuishi kila aina ya maisha katika jamii.
Niliishi bweni la Lumumba East liliokuwa chini ya mwl mmoja maarufu kipindi kile kwa jina la utani kutoka kwa wanafunzi kama M. ..dwarf. alikuwa mfupi mfupi na alipenda wanawake waliopanda hewani. Na iwapo angegundua kuwa mna date na demu ambaye alikuwa ndani ya target zake basi lazima angekuletea visa vingi hatari. Mimi nilikuwa mmoja wa victim. Lakini mbaya zaidi mademu wengi walikuwa wanakatosa.
Nina mengi sana. ..Lakini siwezi orodhesha yote hapa. ....hapo sijaongelea maandazi ya makanyagio na kadhalika
Hahaha ndio mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu na wewe muhanga wa mr Juma?