ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K
Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine
Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu
Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao
Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K
Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza
SAUT: " Building the City of God'
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K
Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine
Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu
Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao
Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K
Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza
SAUT: " Building the City of God'