Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika maisha yangu ya kusoma nasi ukiniuliza mtihani mrefu zaidi niliowahi kuufanya ni education measurement and evaluation wa mwila. Aloo hakuna aliyewahi kutoka mapema. Nashukuru siku suppMwamba mmoja anaitwa Mwila,, katigula nasikia kastaafu amepumzika sasa,, Dr sanga, Papaa mzee wa misifa ukimsifia vizuri cozwork unayo
Vyuo kibongo bongo ni SUA, UDSM, ARUna Mzumbe & MUHAS kidogo vingine ni vyuo vya KataBinafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K
Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine
Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu
Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao
Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K
Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza
SAUT: " Building the City of God'
Dah uyo jamaa pepa lake nilifanya maswali mawili na nusu ila nilipata C, pepa halikua na mtu wa kwanza kutoka yan hadi wasimamizi waliposema shusha peni apo ndio wadau wanaanza kukusanya aseeKatika maisha yangu ya kusoma nasi ukiniuliza mtihani mrefu zaidi niliowahi kuufanya ni education measurement and evaluation wa mwila. Aloo hakuna aliyewahi kutoka mapema. Nashukuru siku supp
Nasikia yupo Germany anachukua PHD kama sikosei yuko serious sana yule dada duuhhhA
Alifariki Bwana hivi madam mpuya yupo
Hahaaa GENTAMYCINE pure talentedChuo cha charismatic fella.
Chuo kina mazingira ya hovyo,kinazidiwa na shule ya st Jude.ne
Mh mbona kipo vizuriChuo kina mazingira ya hovyo,kinazidiwa na shule ya st Jude.