Tuliosoma SAUT MWANZA ( main campus) tukutane hapa

Tuliosoma SAUT MWANZA ( main campus) tukutane hapa

Katika sehemu ambayo sijawahi kupenda kukaa ni mitaa ya Masha. Vumbi shida ya maji nk.

Ulikuwa huniambii kitu kwa Nyamalango na Sweya. Sweya pale nilikaa mwisho wa barabara ya mawe. Nyamalango nilikaa hostel moja ipo karibu na BMCC church
Hahahaaaaa mimi mwanzo Nono hostel nikahamia pale kwa muhindi kwa kina Shaidu
 
Katika sehemu ambayo sijawahi kupenda kukaa ni mitaa ya Masha. Vumbi shida ya maji nk.

Ulikuwa huniambii kitu kwa Nyamalango na Sweya. Sweya pale nilikaa mwisho wa barabara ya mawe. Nyamalango nilikaa hostel moja ipo karibu na BMCC church
Wakongwe laZima wakae mbali hasa Sweya au Nganza
Nyamalango na Masha ni sehemu za mademu na first year
 
Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015

Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu

Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K

Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine

Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu

Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao

Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K

Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza

SAUT: " Building the City of God'
Nilikuwa nasoma nsumba enzi hizo kabla yako wewe kuwa sauti, aisee nilikuwa najiona mwanachuo. Ijumaa ilikuwa siku magari yanakuja soma wanachuo bure kuwapeleka club na sisi tunazamia kama kawa tukijifanya wanachuo.
Picha niliyopata wakati huo ni kwamba chuo ni starehe na ngono kwa kwenda mbele. I was looking forward nimalize niende chuo na mimi niishi maisha hayo.
 
Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015

Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu

Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K

Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine

Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu

Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao

Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K

Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza

SAUT: " Building the City of God'
Hiki ni chuo cha nini? Maana watu wanachanganya vyuo vikuu na High School zilizochangamka
 
Saut kimasomo ilikua fresh kweli msuli msuli ila hii coarse ya French ilikua inapasua kichwa hasa
Siku watu wanafanya supplementary ya French unaweza hisi chuo kimefunguliwa maana papa alikua yuko vizuri ktk kushika watu, nitamkumbuka sana Mr mashiku yule babu alitufundisha Procurement akifika sehema ya ethics of Procurement somo linakuingia hata ukija kwenye upambanaji wa maisha zile 10% unazipiga chini kwa sababu ya ethics of Procurement
 
Sijawahi papenda mazingira ya chuo niliwamaind tcu 2011 kunichagua ila nilijikaza kusoma M 13 PR mwili mzima niliishi nje nayo nilimaind first year kupanga enzi hizo wanafunzi nyomi lecture wangu njura ( rest in peace) Octavian Mahamba katoka German anatupa story enzi hizo tupo third year.. all mwanza pazuri
Njura alifariki kumbe? oohhh sikujua kabisa.. PR mwili mzima, BASO mbwe mbwe 😁😁😁 BAMC shout out to Mr Rubaba, Mpagaze, e.t.c
 
Back
Top Bottom