Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Kuna zile event kubwa kama
Nassib hajawahi kuwa na roho mbaya ustaadh wa watu. Unamkumbuka madame Munyao? Alikuwa anaipenda Arsenal mkenya yuleFr Maziku,papaa Mulongo,sir Kiura,Munyao,Nassib(mzee wa roho mbaya),Omutiti na Njura(Rest in peace)