Blood of Jesus Christ
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 538
- 984
Hahahaaaaa mimi mwanzo Nono hostel nikahamia pale kwa muhindi kwa kina ShaiduKatika sehemu ambayo sijawahi kupenda kukaa ni mitaa ya Masha. Vumbi shida ya maji nk.
Ulikuwa huniambii kitu kwa Nyamalango na Sweya. Sweya pale nilikaa mwisho wa barabara ya mawe. Nyamalango nilikaa hostel moja ipo karibu na BMCC church
Wakongwe laZima wakae mbali hasa Sweya au NganzaKatika sehemu ambayo sijawahi kupenda kukaa ni mitaa ya Masha. Vumbi shida ya maji nk.
Ulikuwa huniambii kitu kwa Nyamalango na Sweya. Sweya pale nilikaa mwisho wa barabara ya mawe. Nyamalango nilikaa hostel moja ipo karibu na BMCC church
Nilikuwa nasoma nsumba enzi hizo kabla yako wewe kuwa sauti, aisee nilikuwa najiona mwanachuo. Ijumaa ilikuwa siku magari yanakuja soma wanachuo bure kuwapeleka club na sisi tunazamia kama kawa tukijifanya wanachuo.Binafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K
Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine
Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu
Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao
Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K
Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza
SAUT: " Building the City of God'
Walikua na course nyingi ili muwe busy...busy... haaahaa πMimi first year, first semester nilikuwa na course 10
Haya sasa, na waliosoma MUCE anzisheni uzi.
Wapi DUCE??
Wapi TEKUπ
Sijjo dingi ni katili Hadi anasema even God is not fairFr. Dkt. Leons Maziku, papaaa Mulongo, Katigula, Prof. Chiteji, Sijo, Thobias, karuhawe, Munga, nk
EE MBILI HUINGII SAUT main campasi DIVISION THREE YA 13 Sana Sana..na 14Enzi zetu Saut walikua wanaenda watu wenye E 2 za form 6 au diploma za kuunga unga.siku hizi sijui mambo yako vipi.
Alooo ila Mwanza nikipapenda na still nitazidi kupaelewaWakongwe laZima wakae mbali hasa Sweya au Nganza
Nyamalango na Masha ni sehemu za mademu na first year
Hiki ni chuo cha nini? Maana watu wanachanganya vyuo vikuu na High School zilizochangamkaBinafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K
Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine
Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu
Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao
Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K
Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza
SAUT: " Building the City of God'
Njura alifariki kumbe? oohhh sikujua kabisa.. PR mwili mzima, BASO mbwe mbwe πππ BAMC shout out to Mr Rubaba, Mpagaze, e.t.cSijawahi papenda mazingira ya chuo niliwamaind tcu 2011 kunichagua ila nilijikaza kusoma M 13 PR mwili mzima niliishi nje nayo nilimaind first year kupanga enzi hizo wanafunzi nyomi lecture wangu njura ( rest in peace) Octavian Mahamba katoka German anatupa story enzi hizo tupo third year.. all mwanza pazuri