Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Nassib hajawahi kuwa na roho mbaya ustaadh wa watu. Unamkumbuka madame Munyao? Alikuwa anaipenda Arsenal mkenya yuleFr Maziku,papaa Mulongo,sir Kiura,Munyao,Nassib(mzee wa roho mbaya),Omutiti na Njura(Rest in peace)
Sijawahi papenda mazingira ya chuo niliwamaind tcu 2011 kunichagua ila nilijikaza kusoma M 13 PR mwili mzima niliishi nje nayo nilimaind first year kupanga enzi hizo wanafunzi nyomi lecture wangu njura ( rest in peace) Octavian Mahamba katoka German anatupa story enzi hizo tupo third year.. all mwanza pazuri
Alafu French waka iweka mwaka wa 3 semister ya pili ebhanaeeee π₯Saut kimasomo ilikua fresh kweli msuli msuli ila hii coarse ya French ilikua inapasua kichwa hasa
Siku watu wanafanya supplementary ya French unaweza hisi chuo kimefunguliwa maana papa alikua yuko vizuri ktk kushika watu, nitamkumbuka sana Mr mashiku yule babu alitufundisha Procurement akifika sehema ya ethics of Procurement somo linakuingia hata ukija kwenye upambanaji wa maisha zile 10% unazipiga chini kwa sababu ya ethics of Procurement
Kopoka nae nasikia alivuta dahNjura alifariki kimasihara sana. Katupatia notice kwa group asubuhi ya saa nne ila jioni tunaambiwa tayari kafariki.
Yale magodown nime ingia sana kusapua πKumbe na ww mwamba ni product ya saut
Umepanda magorofa mwanjonde
M5 m7 m13
Nilisign corse work ya ajabu French siku matokeo yametoka nilishukuru sana Mungu kutokushikwa lile somo, nilikua nalihofia na ningeshikwa ingekua supp yangu ya kwanza kwa maisha ya chuoAlafu French waka iweka mwaka wa 3 semister ya pili ebhanaeeee π₯
Hahahahaha nimecheka sana pr mwili mzima, marafiki zangu walikua BASO na PR sasa ukiwakuta wakijitapa Pr mwili mzima, weekend bata bata ila tunatoka mbali kweliNjura alifariki kumbe? oohhh sikujua kabisa.. PR mwili mzima, BASO mbwe mbwe πππ BAMC shout out to Mr Rubaba, Mpagaze, e.t.c
ππChuo cha charismatic fella.
Mwendo wa kukaririr parts of the body, masculine and feminine wordsAlafu French waka iweka mwaka wa 3 semister ya pili ebhanaeeee π₯
Mambo mengine bhana watu wazima mna fundishwa lugha ya kigeni semister moja πMwendo wa kukaririr parts of the body, masculine and feminine words
Tena ukifeli inakubakisha, nakumbuka Kuna quiz tulichelewe kipindi tukaenda kumwomba papaa kufika ofisini kwake anasema anataka tuongee nae kifaransa sio kingereza rafiki yangu akaona isiwe tabu akasema put zero in my coarse work hakutaka kuumiza kichwa kuongea maana hata cha kuongea angeishia salamu tuMambo mengine bhana watu wazima mna fundishwa lugha ya kigeni semister moja π
Tukalijenge jiji la munguBinafsi nimepata maari ya kutosha kutoka saut Mwanza
Nimehitimu pale 2015
Chuo cha SAUT kimetoa wanasiasa wanaojiamini na wanalitumikia Taifa Kwa uadilifu
Baadhi ya wanasiasa ni Naibu waziri mkuu Ditto Biteko, David Kafulila, Heche, Malisa, n. K
Mtu aliyesoma SAUT laZima awe na maarifa ya kutosha na awe mwana mapinduzi Kwa namna Moja ama nyingine
Njooni hapa tukumbuke enzi zetu na maisha Kwa ujumla
Walioishi nje ya chuo kama Ngaza, Kwa Masha, Sweya n. K na baadhi ya hostel maarufu
Tuwakumbuke lecturers wetu kutoka course tofauti na vimbwenga vyao
Tukumbuke msuri wa kusaka course work, n. K
Najivunia kusoma na kupata maarifa ya kutosha kutoka SAUT Mwanza
SAUT: " Building the City of God'
Alifariki Bwana hivi madam mpuya yupoNjura alifariki kumbe? oohhh sikujua kabisa.. PR mwili mzima, BASO mbwe mbwe πππ BAMC shout out to Mr Rubaba, Mpagaze, e.t.c
Ur rightUkiwa humu mtandaoni comment za kusifia hizi high schools zilizochangamka unaweza ukapagawa.
washaurini hivyo vyuo vyenu vitu kadha vya kufanya;
1. Ikishindikana kabisa kuwe na SPECIAL ORIENTATION ya Matumizi sahihi ya vyoo, ni ukweli usiopingika vyoo vingi katika the so called vyuo ni vichafu na havina maji.
2.Wa update mazingira, hapo sauti hata kantini ya chakula ni maajabu.
3.Vyuo vijengwe kwa mpangilio, unakuta chuo kimejengwa kama vichuguu vya siafu hakuna mpangilio hakuna walking pavement, hakuna parking za kueleweka mazingira machafu hakuna hostel za kutosha wala halls.
Mpunguze kujisifu leteni OUTPUT ya mlivyosoma na muonyeshe utofauti, wasomi wengi saivi ndo MACHAWA.Kuja humu mtandaoni na kujiHYPE ni kutaka tuanze kuwararua bila sababuπππ
Nimehitimu SAUT miaka 9 iliyopita, na sijapata wasaa wa kurudi kuona hizi tuhuma zako, kwaiyo siwezi kukubali wala kukataaUkiwa humu mtandaoni comment za kusifia hizi high schools zilizochangamka unaweza ukapagawa.
washaurini hivyo vyuo vyenu vitu kadha vya kufanya;
1. Ikishindikana kabisa kuwe na SPECIAL ORIENTATION ya Matumizi sahihi ya vyoo, ni ukweli usiopingika vyoo vingi katika the so called vyuo ni vichafu na havina maji.
2.Wa update mazingira, hapo sauti hata kantini ya chakula ni maajabu.
3.Vyuo vijengwe kwa mpangilio, unakuta chuo kimejengwa kama vichuguu vya siafu hakuna mpangilio hakuna walking pavement, hakuna parking za kueleweka mazingira machafu hakuna hostel za kutosha wala halls.
Mpunguze kujisifu leteni OUTPUT ya mlivyosoma na muonyeshe utofauti, wasomi wengi saivi ndo MACHAWA.Kuja humu mtandaoni na kujiHYPE ni kutaka tuanze kuwararua bila sababuπππ