Tuliosoma SAUT MWANZA ( main campus) tukutane hapa

Mwamba mmoja anaitwa Mwila,, katigula nasikia kastaafu amepumzika sasa,, Dr sanga, Papaa mzee wa misifa ukimsifia vizuri cozwork unayo
 
Mwamba mmoja anaitwa Mwila,, katigula nasikia kastaafu amepumzika sasa,, Dr sanga, Papaa mzee wa misifa ukimsifia vizuri cozwork unayo
Katika maisha yangu ya kusoma nasi ukiniuliza mtihani mrefu zaidi niliowahi kuufanya ni education measurement and evaluation wa mwila. Aloo hakuna aliyewahi kutoka mapema. Nashukuru siku supp
 
Vyuo kibongo bongo ni SUA, UDSM, ARUna Mzumbe & MUHAS kidogo vingine ni vyuo vya Kata
 
Katika maisha yangu ya kusoma nasi ukiniuliza mtihani mrefu zaidi niliowahi kuufanya ni education measurement and evaluation wa mwila. Aloo hakuna aliyewahi kutoka mapema. Nashukuru siku supp
Dah uyo jamaa pepa lake nilifanya maswali mawili na nusu ila nilipata C, pepa halikua na mtu wa kwanza kutoka yan hadi wasimamizi waliposema shusha peni apo ndio wadau wanaanza kukusanya asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…