Tuliotoka Chuo na GPA ya 2.0-2.6, tufanyeje ili tusome Masters?

Tuliotoka Chuo na GPA ya 2.0-2.6, tufanyeje ili tusome Masters?

mbona hamjibu swali la apo juu "GPA inatafutwaje wanachukua total wanagawanya kwa idadi ya semista 6 au kila mwaka una GPA yake " nyie si mmemaliza chuo mna coment mnajua adi masters sasa mnashindwaje kujibu ili swali inamaanisha hamna vyeti ni waropokaji tu
 
Hii mindset ya kuona UDSM ndo chuo Bora vingine unaviita vyuo vya kata ni ushamba na uzwazwa, watu wamepiga vyuo vingine na wapo competent tuu. Badilika unakua usishikilie ubaguzi wa kijinga na ushamba wa kitaaluma.
Vyuo gani hivyo walivyopiga hao watu wengine mkuu?
 
Ukijoin master's pale ukiwa na GPA ya 3.8 unaanza ka tutorial assistance Sasa hao wengine hata assignment za kawaida huwa zinawashinda wengine kupata supplementary kabisa, na wengi ufaulu huwa below so hawachukuliwi next step maana GPA haijafika na sio kuonewa huwa fair.

Pia chuoni huwa Kuna ukabila flani na kubebana GPA kwa watu wanaowataka hata kufaulishwa Kuna department unakuta wahaya tu, au Kanda flani basi watafaulisha watu wachache kiupendeleo ili wabaki.

Nadhani huyo wa MIT wivu tu uliwasumbua wakaamua kumchinjia baharini, in short udsm Kuna Mambo yawapasa kubadilika sio kukumbatia conservative tu siku zote.
Wapo watu Kitivo cha sheria Udsm hizo GPA za 3.8 hawana na wanafundisha mkuu...
 
Wapo watu Kitivo cha sheria Udsm hizo GPA za 3.8 hawana na wanafundisha mkuu...
Kwingine mbona hawapokei huwa Wana weka 3.8 undergraduate na master's 4.0 kamili kulikoni?
 
Ukijoin master's pale ukiwa na GPA ya 3.8 unaanza ka tutorial assistance Sasa hao wengine hata assignment za kawaida huwa zinawashinda wengine kupata supplementary kabisa, na wengi ufaulu huwa below so hawachukuliwi next step maana GPA haijafika na sio kuonewa huwa fair.

Pia chuoni huwa Kuna ukabila flani na kubebana GPA kwa watu wanaowataka hata kufaulishwa Kuna department unakuta wahaya tu, au Kanda flani basi watafaulisha watu wachache kiupendeleo ili wabaki.

Nadhani huyo wa MIT wivu tu uliwasumbua wakaamua kumchinjia baharini, in short udsm Kuna Mambo yawapasa kubadilika sio kukumbatia conservative tu siku zote.
Hivi kigezo cha udsm kutoa degree with HONOURS ni kipi ? Maana kuna mtu ana second class lkn ana degree with honours ukizingatia kua degree with honours ni kwa wale wenye first class tu.
 
Hivi kigezo cha udsm kutoa degree with HONOURS ni kipi ? Maana kuna mtu ana second class lkn ana degree with honours ukizingatia kua degree with honours ni kwa wale wenye first class tu.
Hata wenye second nao ni Honour's hata lower na sijawahi fatilia vigezo
 
Ni kweli hizo 2.5 -3.0 ndo GPA za UDSM wenyewe wanaziita GPA za kuning'inia...
Tena hzo ulizoandika kubwa wengine wanachezea chini ya hapo Kuna option ukienda ujue hufaulu kupata A.
 
e

niambie wana tafuta vp GPA
Mimi nilishasahau Ila Kuna namna ya kutafta maana Kuna course nyingine Zina unit kubwa nyingine unit sio kubwa Sana. Mimi sikuhangaika nilisubiria transcript yangu maana wengine hesabu tulipata fa fa fa fa.
 
Hivi kigezo cha udsm kutoa degree with HONOURS ni kipi ? Maana kuna mtu ana second class lkn ana degree with honours ukizingatia kua degree with honours ni kwa wale wenye first class tu.

Honors inaanzia upper second pia gpa yako shart iwe inapanda au kubakia the same isishuke tu ata mwaka mmoja.

Mfano first year ukapata 3.4 second year 3.4 third year 3.5 na fourth year 4.0 na overall ukapiga 3.6 hapo utapewa degree with honors hope umeelewa mkuu na mwisho usiwe umewahi kupata sup ata moja toka umeanza
 
Honors inaanzia upper second pia gpa yako shart iwe inapanda au kubakia the same isishuke tu ata mwaka mmoja.

Mfano first year ukapata 3.4 second year 3.4 third year 3.5 na fourth year 4.0 na overall ukapiga 3.6 hapo utapewa degree with honors hope umeelewa mkuu na mwisho usiwe umewahi kupata sup ata moja toka umeanza
Ahaaaa, hapo nimekupata sasa. Shukran boss. Swali lilkua linansumbua hili.
 
Back
Top Bottom