Msela Baharia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 766
- 1,104
Bado una ulimbukeni Wa vyuo, unaweza ukamchukua mtu wa udsm na DIT wa udsm akachemka. Japokuwa kwa mawazo yako mgando utaamini DIT ni chuo cha kata.
Sio mindset ya dharau ni ukweli mtupu wallah, mbona hata shule za kata zipo, ni sawa ulinganishe MIT, Oxford na vyuo vya uchochoroni huko, duniani vitu havijawahi kuwa sawa kamwe.