nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,124
- 1,839
wewe endelea tu kupiga hela mtaaanina mimi mwenye 2.3 nifanyeje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe endelea tu kupiga hela mtaaanina mimi mwenye 2.3 nifanyeje?
Vyuo vya uchochoroni huko ndo vyuo vya kata, ulipo sema Sua tu kumbe na wewe kule kule kwenye comparison,
Bwana wee kwa Tanzania udsm inaongoza , innovation ipo kila sehemu ni matter ya ku capitalize hyo innovation
[emoji23][emoji23][emoji23]eti uniangalie lohUmemjibu vizr huyu mzungu wa Kolomijee
Hadi natamani niwe karibu yakoo nikuangaliee tuuu ulivyo mzuri anzia kichwani hadi kila mahalii
Keep it up[emoji173][emoji173][emoji173][emoji173][emoji173]
Wasomi wameongeza Mambo mengi tu kwenye taifa labda wewe huoni hizo jitihada za kila sector.FROM CERTIFICATE TO PhD mmeongeza nn ktk elimu ya tz au mmefanya mchango gan kwenye jamii tofaut ya kuongeza idadi ya people ambao jobless na walalamikaji wanaoilaumu serikali na kuongeza dependent ratio et udsm swali ni je kipindi cha corona udsm mna ma professor kibao kwenye field kama biochemistry ,chemistry ,molecular biology and biotechnology , microbiology and other wote kipindi cha vorona nao walikua kwa lock-down nawote walikua wanapiga nyungu hahahaah elimu ganii colonial education,
Vyuo vya uchochoroni huko ndo vyuo vya kata, ulipo sema Sua tu kumbe na wewe kule kule kwenye comparison,
Bwana wee kwa Tanzania udsm inaongoza , innovation ipo kila sehemu ni matter ya ku capitalize hyo innovation
Wasomi wameongeza Mambo mengi tu kwenye taifa labda wewe huoni hizo jitihada za kila sector.
Yani kuwa prof, Dr ndo usichukue tahadhari mbona itakuwa matumizi sio sahihi hayo ya akili. Being prof sio tija ya kuji expose sehemu hatarishi
Mpaka vikue ubora ndio Mana Kuna ligi kuu, na ligi daraja la kwanzau
unavyo sema wasomi wameongeza mengi ktk taifa je vyuo ivyo vya kata avitaongeza ?
Project ziko nyingi Sana kuanzia kutunga sera na za kimaendeleo, ni wewe tu ku Googleok, udsm kama chuo cha tz kama unavyo dai nitajie project 3 ambazo zime fanywa na udsm ambazo zime leta impact ktk society
G.P.A ya 3.4 je anaweza kupata elligibility pale mlimani ?Inawezekana vizuri tu ila unajilipia kila kitu.
Mimi nina 3.3. Naweza kusoma Udsm ?Mbona hyo GPA ndogo kwa chuo ka udsm huwezi kusoma, ka undergraduate ulipata hyo master's unaweza ku Disco maana mziki wake si wakitoto.
Una Soma kabisa hyoMimi nina 3.3. Naweza kusoma Udsm ?
Punguza hasira. Kunywa maji halafu vuta pumzi ya kutosha.Hii mindset ya kuona UDSM ndo chuo Bora vingine unaviita vyuo vya kata ni ushamba na uzwazwa, watu wamepiga vyuo vingine na wapo competent tuu. Badilika unakua usishikilie ubaguzi wa kijinga na ushamba wa kitaaluma.
Ndio aliyoipata mh Rais Mstaafu JKHivi hii GPA ndio inaitwa gentleman?
Project ziko nyingi Sana kuanzia kutunga sera na za kimaendeleo, ni wewe tu ku Google
Wahaya bado wameidhibiti UDSM ?Ukijoin master's pale ukiwa na GPA ya 3.8 unaanza ka tutorial assistance Sasa hao wengine hata assignment za kawaida huwa zinawashinda wengine kupata supplementary kabisa, na wengi ufaulu huwa below so hawachukuliwi next step maana GPA haijafika na sio kuonewa huwa fair.
Pia chuoni huwa Kuna ukabila flani na kubebana GPA kwa watu wanaowataka hata kufaulishwa Kuna department unakuta wahaya tu, au Kanda flani basi watafaulisha watu wachache kiupendeleo ili wabaki.
Nadhani huyo wa MIT wivu tu uliwasumbua wakaamua kumchinjia baharini, in short udsm Kuna Mambo yawapasa kubadilika sio kukumbatia conservative tu siku zote.
[emoji3][emoji3][emoji3]Undergraduate gani hiyo yenye kipindi kimoja cha lisaa limoja a week.
Ulisoma course ipi pale Mlimani /Mkwawa/Duce ?Vipindi vingi tu one hour, the rest seminars.
Mimi nina 3.3 ya SEKOMU, wanaweza kunipa heshima kidogo ?Ni kweli hizo 2.5 -3.0 ndo GPA za UDSM wenyewe wanaziita GPA za kuning'inia...
Sidhani kama ni hivyo.Honors inaanzia upper second pia gpa yako shart iwe inapanda au kubakia the same isishuke tu ata mwaka mmoja.
Mfano first year ukapata 3.4 second year 3.4 third year 3.5 na fourth year 4.0 na overall ukapiga 3.6 hapo utapewa degree with honors hope umeelewa mkuu na mwisho usiwe umewahi kupata sup ata moja toka umeanza