Tuliotoka Chuo na GPA ya 2.0-2.6, tufanyeje ili tusome Masters?

Tuliotoka Chuo na GPA ya 2.0-2.6, tufanyeje ili tusome Masters?

Mpaka vikue ubora ndio Mana Kuna ligi kuu, na ligi daraja la kwanza

perhaps it seems you're less than average according to you're comments you need to improve, and kama ni research bas we ni sample unae wakilisha udsm hahahahahahah, fake product, from fake .........ty
 
Hyo new GPA hyo according to prospectus na hyo ilikuwa kwa waliosoma undergraduate the rest vyuo vingine GPA walichukuliwa kubwa zaidi vile hawajasoma hapo. Udsm Wana guideline yao hyo ya tcu ndo naona hata GPA ili uwe lecturer chuo Kikuu ni 3.5 Ila pale hawakuchui hata Kama una first class vyuo vya kata pale hawakuchukui so there is difference
Vyuo vya kata ndio vipi hivyo?
Wengine wageni hapa mjini
 
Hapo mm ndo hua wananchanganya. Tumemaliza pale mob ya watu lkn karibia kila mmoja ana HONOURS.
Honours inapatikana kwa ambao wanapiga GPA kwa ascending order.

Graph yako isome kwa style hii: 3.5 , 3.7, 3.8, 4.0, 4.2,4.3! hapa unakula jiwe kwa heshima.

Sio: 4.5, 4.1, 4.2, 3.4, 3.1, 3.6, 3.5!
Hapa unaonekana mzinguaji! Hupewi honors.
 
Wewe ni muongo,,, weka wazi kwa majina Wataje.. vyuo vya usa hasa states university havitoi ufadhili bila sababu maalumu.. sababu vinaendeshwa kwa tax payers money wa hiyo state.. marekani hata ukiwa from out of state unalipia ada kubwa kuliko in state resident.. taja hao watu waliopata ufadhili marekani kisha wakaja kuajiriwa TGS,

Wachezaji wanawapa scholarships sababu college sports in USA ni multi billion dollar industry.. inaleta profit kubwa sana kwa university ndio maana zimejaa scholarships za michezo.. na vyuo vikuu vyao vina viwanja vikubwa na vya gharama kuliko uwanja wa taifa.. mfano uwanja wa timu ya football ya university of michigan ni mkubwa kuliko old traffold uwanja wa mancheter utd.

Acha uongo.. taja huyo aliesoma michigan alisoma kwa scholarship gani.. ama hao walioajiriwa TGS

Kina martin chegere waulize wakwambie ugumu wa vyuo vya marekani kupata scholarship
Freshman a.k.a first year kwanini unamuwekea mwenzako goti shingoni ?[emoji3][emoji3][emoji3]
 
What do you mean vyuo vya kata? udsm jina tuu, bora ata ungeniambia sua udsm its just name
for me best university naangalia vitu vifuatavyo
innovation and creativity je unadai umetoka udsm bado unatembeza bahasha this is ridiculous what're the meaning of education you claim to be graduate from udsm ? you've a lot of people claim to be scientist and engineers still tooth peek tunaagiza kutoka china and you still claim to be best students from best university , above all what do you think make you( udsm) to feel sospecial and see other kuwa vyuo vya kata
if you're zero creativity
zero innovation , research za kukopi na kupest dunia ya sasa atuangalii uwezo wa kukariri kwani computa zipo zinauwezo mkubwa tu wa kuifathi information. huuni ulimwengu wa kutatua changamoto kwa kutumia mawazo walio tumua mudawao vizuri apa duniani ili kuweza kutatua changamoto za sasa GPA without creativity and innovation its just like kumpiga tembo na chelewa
Kwann mkisikia neno KATA mnahamaki sana. Tatizo huwa nini ?
 
FROM CERTIFICATE TO PhD mmeongeza nn ktk elimu ya tz au mmefanya mchango gan kwenye jamii tofaut ya kuongeza idadi ya people ambao jobless na walalamikaji wanaoilaumu serikali na kuongeza dependent ratio et udsm swali ni je kipindi cha corona udsm mna ma professor kibao kwenye field kama biochemistry ,chemistry ,molecular biology and biotechnology , microbiology and other wote kipindi cha vorona nao walikua kwa lock-down nawote walikua wanapiga nyungu hahahaah elimu ganii colonial education,
Kama huwezi kuona au kutambua mchango wa UDSM kwa nchi yetu na Afrika kwa ujumla, unatakiwa kumuona Daktari wa tiba ya akili ASAP
 
paher


perhaps it seems you're less than average according to you're comments you need to improve, and kama ni research bas we ni sample unae wakilisha udsm hahahahahahah, fake product, from fake .........ty
Bwana wewe jiamini na chuo chako tu, chuo chetu Cha jalalani utaishia kukiona kwenye tv.
 
u


unavyo sema wasomi wameongeza mengi ktk taifa je vyuo ivyo vya kata avitaongeza ?
Kama hujui. Vichwa wa Udsm ndio wameenda kuweka misingi ya kuamsha vyuo vya kata kama Udom et al.

Kuna neno baya zaidi ambalo Magufuli anapenda kulitumia anapowa address graduates wa vyuo vya kata. Nisngependa kulitumia
 
Honours inapatikana kwa ambao wanapiga GPA kwa ascending order.

Graph yako isome kwa style hii: 3.5 , 3.7, 3.8, 4.0, 4.2,4.3! hapa unakula jiwe kwa heshima.

Sio: 4.5, 4.1, 4.2, 3.4, 3.1, 3.6, 3.5!
Hapa unaonekana mzinguaji! Hupewi honors.
Sio kweli.
Kuna watu ambao GPA ilikuwa inashuka na Honours wameipata kama kawa
 
Watu wanachukuliani Mambo serious, ud yenyewe chuo Cha jalalani pale
Udsm ilipoitwa jalalani , alumni wa udsm hawakuhamaki ila jamaa zetu wakiambiwa wanatoka vyuo vya Kata watalalamika kila mahali[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom