Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Hii D9 hii ilitaka kunipiga dole la kijambio...
Jamaa yangu alinishawishi sana nitafute 4.8 Millioni nijiunge package ya Gold+ ya D9.
Kwa mahesabu ni kuwa kila week nalipwa 170 USD, hivo kwa mwezi napata 630 USD (baada ya makato) ambayo ni zaidi ya 1.3 Millioni.
Hivo nilikua na uhakika ule mtaji wa 4.8 Millioni ningerudisha ndani ya miezi mitatu hivi na week mbili...

Nikaenda kuomba mkopo taasisi moja hivi, mkopo wa 5 Millioni. Marejesho jumla ningetakiwa kulipa 6.5 Millioni.
Mkopo ilikua nipate cku hiyo hiyo tatizo nilikua sina Salary Slip ya mwezi mmoja hivi, ikabidi niende kuifatilia kesho waniingizie mpunga.
Kesho yake niko njiani kupeleka Slip, nikaingia Jamiiiforums, nakuta uzi watu wanasema Danilo Santana CEO wa D9 amekamatwa na Polisi wa Brazil... Account zake zimekua suspended...

Kubabake, nikageuza kwanza kurudi ghetto. Jamaa wa mkopo kanipigia simu kishenz "Boss mbona hauji, si ushapata Salary Slip.. Wahi nakusubiri uweke signature hapa tukuwekee pesa yako"
Nikamwambia nampeleka mama yangu Kairuki nakuja kesho boss...

Nikasema ngoja kwanza nisikilizie hatma ya D9 kwanza...
Mpaka leo bado natembea na ile Salary Slip kwenye bag langu la Ofisini na bado sijajua D9 itarudi lini.
Kubabake leo hii ningelikua nakatwa mshahara kwa mkopo ulioyeyuka hewani.
Duuh! Mkuu kweli maisha ni darasa
 
Hii D9 hii ilitaka kunipiga dole la kijambio...
Jamaa yangu alinishawishi sana nitafute 4.8 Millioni nijiunge package ya Gold+ ya D9.
Kwa mahesabu ni kuwa kila week nalipwa 170 USD, hivo kwa mwezi napata 630 USD (baada ya makato) ambayo ni zaidi ya 1.3 Millioni.
Hivo nilikua na uhakika ule mtaji wa 4.8 Millioni ningerudisha ndani ya miezi mitatu hivi na week mbili...

Nikaenda kuomba mkopo taasisi moja hivi, mkopo wa 5 Millioni. Marejesho jumla ningetakiwa kulipa 6.5 Millioni.
Mkopo ilikua nipate cku hiyo hiyo tatizo nilikua sina Salary Slip ya mwezi mmoja hivi, ikabidi niende kuifatilia kesho waniingizie mpunga.
Kesho yake niko njiani kupeleka Slip, nikaingia Jamiiiforums, nakuta uzi watu wanasema Danilo Santana CEO wa D9 amekamatwa na Polisi wa Brazil... Account zake zimekua suspended...

Kubabake, nikageuza kwanza kurudi ghetto. Jamaa wa mkopo kanipigia simu kishenz "Boss mbona hauji, si ushapata Salary Slip.. Wahi nakusubiri uweke signature hapa tukuwekee pesa yako"
Nikamwambia nampeleka mama yangu Kairuki nakuja kesho boss...

Nikasema ngoja kwanza nisikilizie hatma ya D9 kwanza...
Mpaka leo bado natembea na ile Salary Slip kwenye bag langu la Ofisini na bado sijajua D9 itarudi lini.
Kubabake leo hii ningelikua nakatwa mshahara kwa mkopo ulioyeyuka hewani.
Mkuu kuna mengine yanaitwa "Bitcoon"huku.Natilia shaka yatakuwa ndiyo matapeli yenyewe haya
 
Mimi nimechukua mwaka huu, lakini ni wa mwaka mmoja. Mwezi wa tatu namaliza deni. Nilichukua ninunue boda boda lakini huyu jamaa niliyempa boda boda badala ya kuleta hela analeta stories. Yaani najuta kwanini nilichukua. Kuna wakati natamani niichukue halafu nipige bei ili nikalipe deni lililosalia lakini nahofia jamaa ni Kachawi kweli na baba yake nadhani ni msaidizi wa Lucifer mwenyewe, asije akanifanya mbaya bure! Basi najikaza kiume hivyo hivyo
Hahahahaha.....Mkuu wewe kiboko, ila wakati unamkabidhi chombo hukua unajua hayo yote? Au ulijitoa ufahamu?
 
Nilichukua mkopo 2010, 2ml nmb kwa miaka mitatu. Nikaingiza shambani kule babati Manyara kilimo cha alizeti. Nikalima ekari 20. Nilipovuna nikakamua mafuta nikapata 450000. Tangu siku hiyo kilimo na mimi hapa dunia baibai, labda kama na mbinguni kipo itakuwa kesi nyingine.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu usikate tamaa. ukifuatilia matajiri wote walipitia shida kama hizo
 
Baada ya kuchoka mishahara ya wahindi niliamua kujiajiri, nikawa nafanya biashara ndogondogo maisha yanaenda, nilikuwa nachukia Mikopo Sana, baada kuingia Kwenye biashara hukuhuku nikaona bora niingie Kwenye vikundi vya wanawake pamoja na Vicoba, nilikuwa na Vicoba vitatu na vikundi vinne vyote nilikuwa na vihudumia naweka tu Pesa sikopi.

Baada ya story za Mikopo za wanachama wenzangu Sasa na Mimi nikaona acha nikope bank nifungue biashara yangu moja ya uwakika nikakopa mil 10 marejesho miaka mitatu, Pesa yote niliingiza Kwenye mzunguko wa biashara mwaka wa kwanza marejesho yalienda Safi Kabisa mwaka wa pili matatizo yakaanza biashara zikafa nikabaki na shamba la korosho na msimu Kama mnavyojua mwaka kwa mwaka. ikawa ikifika tarehe ya rejesho nakopa Kwenye kikundi napeleka bank ikafika wakati vikoba vyote vitatu na vikundi mpaka wanachama wananidai Huku rejesho bado halijaisha la bank.

Nikavuna korosho nikasema Pesa Itanisaidia kupunguza madeni, mwanaume niliyekuwa naye akanishauri usilipe Pesa yote madeni zungushia biashara Huku unalipa madeni kidokidogo. Pesa nikampa mpenzi tuzungushe biashara akanidhulumu ikafika wakati sina hata mia mfukoni marafiki wote wamenikimbia bank nadaiwa, kila kona na madeni Sina kazi Sina biashara nilala ndani Kisa madeni ya watu ya riba mitaan sitaki kukumbuka nilisota nakusota. Ndugu Zangu ikabidi wajichangishe kulipa Mkopo WA bank iliyobaki maana ilibaki miez michache niliiweka dhamana viwanja vyangu viwili. Wakaona bora wanisaidie kuliko vipigwe mnada wakati nilibakisha kidogo.

Hii Mikopo mingine ya vikundi, vikoba na mitaani watu walinidai mpaka walikaa kimya na kuchoka maana Sina kitu Niko mweupeeeee. Baada ya kuumalizika Mkopo WA bank nikauza kiwanja kimoja nikalipa lipa madeni ya mitaani nikabakiza Pesa kidogo nikaaza na moja biashara

Sasa hivi sitaki kusikia Mikopo, vikoba Wala vikundi maana kwa wanawake wengi humo Ndio Huwa Chanzo cha matatizo na wahanga ni wengi maana humo watu wana ushawishi wa ajabu, Kama Sina najua Sina ila Sina Deni na mtu kuliko huna alafu udaiwe utatamani ufe kwa muda. Mikopo inaumiza .
Mbona hujasema hutamani na wanaume.??
 
We learn through mistakes. Haya maisha philosophy yake ni nguumu muno.Kuwa maskini na kufa maskiini Ukiwa mtumishi wa Umaa inawezekana. Na kwa uzoefu wangu Uwe Mwl.au Kada nyingne wote hatuchekani.Labda uwe mpiga dili ndo utacheka.

Hizi habari za mikopo hasa hasa mkopo wa kwanza hasikwambie mtu wanao ufaidi ni wachache saana.
Tumekumbwa na Haya majanga ila yanatufundisha na maisha yanaendelea. Bora umechukua umeona ulikosea wapi Imagine ndo pension... Unakufa na pressure. Tu wengi victims na hakuna cha ohh mara Mwl. Labda wapiga dilii.

Nashukuru kutufariji hata sisi tuliochemka .
 
Uchagani ukikopeshwa laki tano halafu ukafilisika inabidi Moshi uisikie tu kwenye vyombo vya habari maana utatengwa na kijijini kizima
Mkuu yani kama kwetu ukienda bila pesa wanakudharau wanaanza kukuambia si bora ubaki hapa nyumbani tu sasa unawekwa chini unaambiwa cheki yule fulani yupo kijijini lakini ana nyumba nzuri ww umeenda mjini kutafuta wanawake na starehe tu watakusimanga ukiondoka usipo zipata itabidi urudi kwenye sanduku tu
 
Mikopo si mibaya ndio maana utaona wengi waliopata changamoto ni kutokana na kupoteza pesa kupitia watu wengine waliowaamini. Pia kitu kingine kinachofanya watu washindwe kulipa ni tabia ya ku-divert fund ,yaani mtu anakopa mil 50 aziingize kwenye biashara lakini unakuta nusu ya hizo anapeleka kwenye matumizi mengine kama kununua gari mfano... Ila amini nawaambia mkopo ukiutumia kwa malengo yaliyokusudiwa sio rahisi ukashindwa kulipa. Hata hivyo uzi mzuri unafundisha japo hapa nilipo mbavu zangu zinauma kwa kucheka
 
Mkuu yani kama kwetu ukienda bila pesa wanakudharau wanaanza kukuambia si bora ubaki hapa nyumbani tu sasa unawekwa chini unaambiwa cheki yule fulani yupo kijijini lakini ana nyumba nzuri ww umeenda mjini kutafuta wanawake na starehe tu watakusimanga ukiondoka usipo zipata itabidi urudi kwenye sanduku tu
Mmmh mkuu mbona hatar
Mkuu,hayo yametokea wengi hasa kipindi hiki vyuma vikiendelea kukaza. Mmoja alinisimulia aifanya mchezo unafanana na huo. Huyu,alikimbia na hela,akatafutwa miezi minne ndo akapatikana. Duh,ilikuwa seleka acha kabisa. Alimtupa ndani,akampeleka kwa court,amefungwa mwaka na nusu,na akitoka alipe pesa zote.
 
Hii D9 hii ilitaka kunipiga dole la kijambio...
Jamaa yangu alinishawishi sana nitafute 4.8 Millioni nijiunge package ya Gold+ ya D9.
Kwa mahesabu ni kuwa kila week nalipwa 170 USD, hivo kwa mwezi napata 630 USD (baada ya makato) ambayo ni zaidi ya 1.3 Millioni.
Hivo nilikua na uhakika ule mtaji wa 4.8 Millioni ningerudisha ndani ya miezi mitatu hivi na week mbili...

Nikaenda kuomba mkopo taasisi moja hivi, mkopo wa 5 Millioni. Marejesho jumla ningetakiwa kulipa 6.5 Millioni.
Mkopo ilikua nipate cku hiyo hiyo tatizo nilikua sina Salary Slip ya mwezi mmoja hivi, ikabidi niende kuifatilia kesho waniingizie mpunga.
Kesho yake niko njiani kupeleka Slip, nikaingia Jamiiiforums, nakuta uzi watu wanasema Danilo Santana CEO wa D9 amekamatwa na Polisi wa Brazil... Account zake zimekua suspended...

Kubabake, nikageuza kwanza kurudi ghetto. Jamaa wa mkopo kanipigia simu kishenz "Boss mbona hauji, si ushapata Salary Slip.. Wahi nakusubiri uweke signature hapa tukuwekee pesa yako"
Nikamwambia nampeleka mama yangu Kairuki nakuja kesho boss...

Nikasema ngoja kwanza nisikilizie hatma ya D9 kwanza...
Mpaka leo bado natembea na ile Salary Slip kwenye bag langu la Ofisini na bado sijajua D9 itarudi lini.
Kubabake leo hii ningelikua nakatwa mshahara kwa mkopo ulioyeyuka hewani.
hahahahhah nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sana. JF never boring kwa kweli
 
Back
Top Bottom