Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

Kama huna usimamizi wa moja kwa moja baba hiyo pesa itapotea kopa mkopo wa muda mfupi kwanza at least 1yr ufanye hizo biashara ujue hasara na faida zake then next year uchukue pesa nzur uiboreshe hiyo business au uachane nayo

Trust me hutajuta
Wee jamaa ndo umeongea point kubwa mnoo 100%
 
Juzi kati tu hapo nimevuta milioni 5 na mpaka sasa ishaisha na sioni cha maana nilichofanyia.Nakatwa 800K kwa mwezi kwa mwaka mzima ila nashukuru ni mkopo wa ofisini hauna riba.

Nilikopa kabla ya kufanya tathmini nzuri ya biashara nikajikuta naipeleka kwenye mambo ambayo hayakuwa priority so nimejifunza kitu.
Aiseee[emoji16][emoji16][emoji16]Umehongaa zotee
 
Daaah!!mi wakati naanza kazi nilikopa 5mil,nilitoa hela yote kwenye account,nikanunua pikipiki ya kutembelea na iliyobaki niliweka gheto ktk bukta flan zile timberland si unajua zinakuaga na mifuko mingi!!bhas bhana mi nakula ugimbi nikiishiwa narudi gheto nazama ndani nachomoa mzigo nasepa naenda kula vyombo!sitosahau Kuna siku naingiza mkono kwenye mfuko imebaki 30,ikabidi niichomoe ile nguo kwenye msumali nikapekua mifuko yote na kukung'uta hamna kitu!!ikabidi nikatoka njee nikaingiza pikipiki ndani nikalala zangu!!
 
Daaah!!mi wakati naanza kazi nilikopa 5mil,nilitoa hela yote kwenye account,nikanunua pikipiki ya kutembelea na iliyobaki niliweka gheto ktk bukta flan zile timberland si unajua zinakuaga na mifuko mingi!!bhas bhana mi nakula ugimbi nikiishiwa narudi gheto nazama ndani nachomoa mzigo nasepa naenda kula vyombo!sitosahau Kuna siku naingiza mkono kwenye mfuko imebaki 30,ikabidi niichomoe ile nguo kwenye msumali nikapekua mifuko yote na kukung'uta hamna kitu!!ikabidi nikatoka njee nikaingiza pikipiki ndani nikalala zangu!!
Hahaaaa watu mna visa ninyi
 
Tafuta mteja kubaliana nae halafu mwambie naomba uendelee kumtumia dereva wangu baada ya kukuuzia chombo. Halafu mwambie dereva wako kuwa umepata tatizo hivyo pikipiki unaiuza lakini asijali mama ataendelea kuwa dereva wa hiyo pikipiki...ukishauza kama ataendelea kumpelekea storie tajiri mpya itakula kwake na wewe utakuwa huna lawama nae tena
Mteja gani ataekubali hii idea takataka?
 
Daaah!!mi wakati naanza kazi nilikopa 5mil,nilitoa hela yote kwenye account,nikanunua pikipiki ya kutembelea na iliyobaki niliweka gheto ktk bukta flan zile timberland si unajua zinakuaga na mifuko mingi!!bhas bhana mi nakula ugimbi nikiishiwa narudi gheto nazama ndani nachomoa mzigo nasepa naenda kula vyombo!sitosahau Kuna siku naingiza mkono kwenye mfuko imebaki 30,ikabidi niichomoe ile nguo kwenye msumali nikapekua mifuko yote na kukung'uta hamna kitu!!ikabidi nikatoka njee nikaingiza pikipiki ndani nikalala zangu!!
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Peaa ya kutumia tu inaishaa dak sifurii mkuu
 
Juzi kati tu hapo nimevuta milioni 5 na mpaka sasa ishaisha na sioni cha maana nilichofanyia.Nakatwa 800K kwa mwezi kwa mwaka mzima ila nashukuru ni mkopo wa ofisini hauna riba.

Nilikopa kabla ya kufanya tathmini nzuri ya biashara nikajikuta naipeleka kwenye mambo ambayo hayakuwa priority so nimejifunza kitu.
Kama ni 5mil tena bila riba na unakatwa 800k per month haiwezi kuchukua mwaka mzima.
 
Poleni kwa changamoto za hapa na pale wakuu, kama Mada ilivyo hapo juu katika harakati za kujikwamua unafika Mahali bora ukope ili uweze kufanya shuguli kama vile biashara na mengineyo.

Hata hivyo wapo baadhi ya watu tayari walikopa wakafanikiwa na wapo wakapata hasara hatimaye wakataifishwa Mali zao.

Naomba kwa wale waliokafanya ndivyo sivyo mje mtupe ABC zenu ili sisi tunaotarajia kuchukua mkopo tuchukue tahadhari kabla ya hatari Asante!
 
Mimi nilikopa mwaka jana NMB 9 M kwa miaka mitano. Nikachukua pikipiki mbili. Moja ya bodaboda na nyingine ya kwangu kutembelea. Mil.4 nikachukua kiwanja na shamba kwa ajili ya kilimo. Laki 5 nikalimisha shmaba na kupanda mahindi na laki tano nikafanyia mambo yangu menginene. Mshahara nikabaki 247,000

Matokeo yake;

i)Bodaboda ilidumu miezi sita ikaibiwa.
ii) mahindi sikupata hata nusu gunia,kwa sababu ya ukame.
iii)mipango yangu ilikuwa mwaka huu nioe kama mambo yangeenda vizur kinyume chake nimeshindwa,mchumba wangu alipoona hali imekuwa tete akaanza visa kumbe kashaanza mahusiano na mwanaume mwingine,nikabaki mimi kama mimi.
iv)Baada ya bodi ya mkopo kuanza kukata 15% nikaanza kuchukua 197,000/= kwa mwezi
v) kwa sasa siwezi saidia chochote kwa mama na ndugu zangu kibaya zaidi mdogo wangu kachaguliwa chuo cha afya diploma ada mil.2. 5 sijaweza kumpa hata mia.

Sina bahati kabisa
Tunafanana Mkuu.
2016 Nilichukua mkopo NMB 9,000,000.00
4.5 M Boda boda mbili za biashara.
1 M - Nilituma home kwa wazee kulikua na ujenzi wa nyumba ya washua.
3. 5 M sijui ilipoenda mpaka sasa.
matokeo
boda mbili zilikua za mkataba zilizaa boda moja, baada ya mwaka mmoja nadhani nilikula mtaji, bodi walipoweka makato nikawa napokea 195,000.00.
Naendelea kupambana na hali yangu.
 
Hii mpya ukope ujenge . Utachanganyikiwa hata barabara ya vumbi utavushwa na watoto.
Kuna mshikaji ni mtu wangu wa karbu mwez uliopita kavuta mkopo benk flan hv,,,sasa now hana kila kitu,,juzi kati tupo nae mzgon night,,kaamshwa toka usingizin kakurupuka anataja jina la ile benki,,dah mkopo bila malengo ni shida tupu
 
Back
Top Bottom