Tuliowahi kuchukua mikopo tukafanya ndivyo sivyo

pole mkuu
 
September ntaichukua mzigo wangu wa 5ml nifanye finishing mjengo Wang nihamie na familia

Then pesa kidogo nichukue pisi Kali Moja niende nayo nchi za nje (npo border ya Holil-kenya huk acha kushangaa ngo'mbe ww) nikajipongezee Kwa mafankio yangu

Ili nnapo Anza msoto wangu nisiwe na Cha kujilaumu as long as naishi kwangu sidaiwi Kodi

Sitaki ushauri wowote,nishauri jinsi ya kupata pesa ila tusipangiane matumizi

Wacha kuogopa mikopo ukiwa kijana u have the power of trial and error
Yesterday u said today just do it
 
Mkuu upewe maua yako. Uzi wako kiboko
 
Mkuu upewe maua yako. Uzi wako kiboko
Sasa hiv nshakuwa nunda sisikii Cha ustadhi Wala askof I do my thing
Ila nilikuwa na akili kidogo nkafungua ka kikundi ka vikoba Kwa ajili ya sis vijana kufanya saving na mikopo so viela vangu vingi navtupia huko

Assurance na pesa Yako ni 100%coz tulifungua account ya kikundi kabisa CRDB BANK

Nkiishiwa ela ya beer tu,chaaap nakopa 50k na mm nawakalisha wanyonge wangu
 
.
 
ngoja niujazie huu uzi
nilishawahi kukopa mara mbili mikopo ya watumishi nmb....wakati huo nipo natumikia jamuhuri....nilikuwa nawashangaa wafanyakazi wanakopa mikopo umizas balaa wanakopa laki wanalipa laki na nusu ndani ya miezi mitatu(maswi financial)..nikakopoa wakwanza 1.2 wakakata kata ikbaki 1.04m kwenye acc nikarisk kazi nkatoroka kwenda kusoma certificate moja hivi...fedha nikaitumia kidogo kwenye kibiashara changu enzi hizo cha kupiga picha na kurusha nyimbo....kama 0.5m nyingine nikazila pasipo kujua vila mara the kiss mara delux(mwanza) mshahara kiduchu unaingia 2008..nikapiga certifiacate nkarudi job nkazuga nikaupdate mkopo...hahaha....hapo diashara yangu ishakuwa stationery inakimbiza mbaya vifaa vya kutoshankapata kama 3.5 m hata sijui nilichukua ya nini ila nilikuwa nshaamua ku risk kazi nifanye mishe zangu...ile hela nikanunua vifaa vya stationery fully na material nkaweka mtu pesa ikafia hapo haikutoka jamani bora ile biashara ya zamani daftari caton nilitumia pamoja na kuziuza zaidi ya miaka miwili....nkasema fedha ya mkopo kuanzisha biashara ni kubet colateral......nkazingua kazi nkapigwa chini..ila life is going well mkopo naochukua ni wa kishkaji kwa mtu kama mia 7 unamrudishia baada ya mwezi basi ila ya kwenye taaasisi..ukikopa 1m ujue kila 1000 utakayotumia ina dhamani ya 1300 hadi 1500 kwa hio ukola laki kwenye bia na hela ya mkopo ujue umekula 150k..kwa hio ni gharama ya hali ya juu..ukinunua nyumba au nguo kwa hela ya mkopo mfano nyumba m10 kwa hela ya mkopo jua hio nyumba umeinunua m13 mpaka 15 na kuna taasisisi riba zake zinazidi hapo...kama hela ya mkopo sio ya kutatua janga ni bora ujifunze kusave.na kama sio ya kucover demand over shot supply of your business ujue ni bad debts....good debts unachukua unanunua asset(something that earn money for you)utajua mwenyewe ni nini?that money you will you use to pay your debts. hi ndi salama yako..
 
Bro we learn from mistakes....... Machungu uliyopitia sasa kula matunda yake.

Yaani unavyokua kuna vitu unajifunza..... Usijerudia makosa
 
Tayari una uraibu wa kukopa, sio mbaya lakini
 
Bora utumie kujenga kuliko biashara ni risk sana
 
Upo border ya holili, mimi nakujaga huko sana ni kama maskani sana mangi....nina shamba pia juu kule.
 
Binafsi mkopo wangu wa kwanza ulikuwa kama nuksi, unawekeza na yenyewe inajiwekeza!!! Pole sana napitia pitia mikasa 2023 !!!
Huwa nawaangalia wanaoelezeaga ishu za motivation speaker ,,,, yaaan maisha ya vitabuni utadhani ni rahisi vile !!!
Ila tunajifunza kupitia makosa
 
Hakika kwenye suala la pesa umakini mkubwa sana unahitajika maana watu wengi si waaminifu. pole sana brother. Hope your state is just fine by now.
 
Taratibu za kukopa vision fund zipoje mkuu, na inachukua muda gani mpaka kupata mkopo.... you're respond pls
 
Mkuu ulifukuzwa kazi na ukiwa bado una mkopo, Ilikuaje kuhusu huo mkopo? Au huwa kuna namna government wanalipa deni la mtumishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…