KASULI
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 599
- 677
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Haha utakuwa mwalimu wewe
pole mkuuMimi nilikopa mwaka jana NMB Mi. 9 kwa miaka mitano. Nikachukua pikipiki mbili. Moja ya bodaboda na nyingine ya kwangu kutembelea. Mil.4 nikachukua kiwanja na shamba kwa ajili ya kilimo. Laki 5 nikalimisha shmaba na kupanda mahindi na laki tano nikafanyia mambo yangu menginene. Mshahara nikabaki 247,000
Matokeo yake;
i)Bodaboda ilidumu miezi sita ikaibiwa.
ii) mahindi sikupata hata nusu gunia,kwa sababu ya ukame.
iii)mipango yangu ilikuwa mwaka huu nioe kama mambo yangeenda vizur kinyume chake nimeshindwa,mchumba wangu alipoona hali imekuwa tete akaanza visa kumbe kashaanza mahusiano na mwanaume mwingine,nikabaki mimi kama mimi.
iv)Baada ya bodi ya mkopo kuanza kukata 15% nikaanza kuchukua 197,000/= kwa mwezi
v) kwa sasa siwezi saidia chochote kwa mama na ndugu zangu kibaya zaidi mdogo wangu kachaguliwa chuo cha afya diploma ada mil.2. 5 sijaweza kumpa hata mia.
Sina bahati kabisa
😀 😀 😀 😀Yani unakatwa 800k kwa mwezi kwa mwaka mzima halafu unasema hauna riba are you serious?[emoji848] yani umekopa M5 unarudisha M9.6[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee tamaa ya pesa za haraka haraka hzi
Mkuu upewe maua yako. Uzi wako kibokoSeptember ntaichukua mzigo wangu wa 5ml nifanye finishing mjengo Wang nihamie na familia
Then pesa kidogo nichukue pisi Kali Moja niende nayo nchi za nje (npo border ya Holil-kenya huk acha kushangaa ng'mbe ww) nikajipongezee Kwa mafankio yangu
Ili nnapo Anza msoto wangu nisiwe na Cha kujilaumu as long as naishi kwangu sidaiwi Kodi
Wacha kuogopa mikopo ukiwa kijana u have the power of trial and error
Yesterday u said today just do it
Sasa hiv nshakuwa nunda sisikii Cha ustadhi Wala askof I do my thingMkuu upewe maua yako. Uzi wako kiboko
.Mimi nilikopa mwaka jana NMB Mi. 9 kwa miaka mitano. Nikachukua pikipiki mbili. Moja ya bodaboda na nyingine ya kwangu kutembelea. Mil.4 nikachukua kiwanja na shamba kwa ajili ya kilimo. Laki 5 nikalimisha shmaba na kupanda mahindi na laki tano nikafanyia mambo yangu menginene. Mshahara nikabaki 247,000
Matokeo yake;
i)Bodaboda ilidumu miezi sita ikaibiwa.
ii) mahindi sikupata hata nusu gunia,kwa sababu ya ukame.
iii)mipango yangu ilikuwa mwaka huu nioe kama mambo yangeenda vizur kinyume chake nimeshindwa,mchumba wangu alipoona hali imekuwa tete akaanza visa kumbe kashaanza mahusiano na mwanaume mwingine,nikabaki mimi kama mimi.
iv)Baada ya bodi ya mkopo kuanza kukata 15% nikaanza kuchukua 197,000/= kwa mwezi
v) kwa sasa siwezi saidia chochote kwa mama na ndugu zangu kibaya zaidi mdogo wangu kachaguliwa chuo cha afya diploma ada mil.2. 5 sijaweza kumpa hata mia.
Sina bahati kabisa
Bro we learn from mistakes....... Machungu uliyopitia sasa kula matunda yake.Sasa hiv nshakuwa nunda sisikii Cha ustadhi Wala askof I do my thing
Ila nilikuwa na akili kidogo nkafungua ka kikundi ka vikoba Kwa ajili ya sis vijana kufanya saving na mikopo so viela vangu vingi navtupia huko
Assurance na pesa Yako ni 100%coz tulifungua account ya kikundi kabisa CRDB BANK
Nkiishiwa ela ya beer tu,chaaap nakopa 50k na mm nawakalisha wanyonge wangu
Tayari una uraibu wa kukopa, sio mbaya lakiniSeptember ntaichukua mzigo wangu wa 5ml nifanye finishing mjengo Wang nihamie na familia
Then pesa kidogo nichukue pisi Kali Moja niende nayo nchi za nje (npo border ya Holil-kenya huk acha kushangaa ngo'mbe ww) nikajipongezee Kwa mafankio yangu
Ili nnapo Anza msoto wangu nisiwe na Cha kujilaumu as long as naishi kwangu sidaiwi Kodi
Sitaki ushauri wowote,nishauri jinsi ya kupata pesa ila tusipangiane matumizi
Wacha kuogopa mikopo ukiwa kijana u have the power of trial and error
Yesterday u said today just do it
Bora utumie kujenga kuliko biashara ni risk sanaSeptember ntaichukua mzigo wangu wa 5ml nifanye finishing mjengo Wang nihamie na familia
Then pesa kidogo nichukue pisi Kali Moja niende nayo nchi za nje (npo border ya Holil-kenya huk acha kushangaa ngo'mbe ww) nikajipongezee Kwa mafankio yangu
Ili nnapo Anza msoto wangu nisiwe na Cha kujilaumu as long as naishi kwangu sidaiwi Kodi
Sitaki ushauri wowote,nishauri jinsi ya kupata pesa ila tusipangiane matumizi
Wacha kuogopa mikopo ukiwa kijana u have the power of trial and error
Yesterday u said today just do it
Upo border ya holili, mimi nakujaga huko sana ni kama maskani sana mangi....nina shamba pia juu kule.September ntaichukua mzigo wangu wa 5ml nifanye finishing mjengo Wang nihamie na familia
Then pesa kidogo nichukue pisi Kali Moja niende nayo nchi za nje (npo border ya Holil-kenya huk acha kushangaa ngo'mbe ww) nikajipongezee Kwa mafankio yangu
Ili nnapo Anza msoto wangu nisiwe na Cha kujilaumu as long as naishi kwangu sidaiwi Kodi
Sitaki ushauri wowote,nishauri jinsi ya kupata pesa ila tusipangiane matumizi
Wacha kuogopa mikopo ukiwa kijana u have the power of trial and error
Yesterday u said today just do it
Binafsi mkopo wangu wa kwanza ulikuwa kama nuksi, unawekeza na yenyewe inajiwekeza!!! Pole sana napitia pitia mikasa 2023 !!!Mimi nilikopa mwaka jana NMB Mi. 9 kwa miaka mitano. Nikachukua pikipiki mbili. Moja ya bodaboda na nyingine ya kwangu kutembelea. Mil.4 nikachukua kiwanja na shamba kwa ajili ya kilimo. Laki 5 nikalimisha shmaba na kupanda mahindi na laki tano nikafanyia mambo yangu menginene. Mshahara nikabaki 247,000
Matokeo yake;
i)Bodaboda ilidumu miezi sita ikaibiwa.
ii) mahindi sikupata hata nusu gunia,kwa sababu ya ukame.
iii)mipango yangu ilikuwa mwaka huu nioe kama mambo yangeenda vizur kinyume chake nimeshindwa,mchumba wangu alipoona hali imekuwa tete akaanza visa kumbe kashaanza mahusiano na mwanaume mwingine,nikabaki mimi kama mimi.
iv)Baada ya bodi ya mkopo kuanza kukata 15% nikaanza kuchukua 197,000/= kwa mwezi
v) kwa sasa siwezi saidia chochote kwa mama na ndugu zangu kibaya zaidi mdogo wangu kachaguliwa chuo cha afya diploma ada mil.2. 5 sijaweza kumpa hata mia.
Sina bahati kabisa
Hakika kwenye suala la pesa umakini mkubwa sana unahitajika maana watu wengi si waaminifu. pole sana brother. Hope your state is just fine by now.Huu mkasa nilishautoaga humu, sio mbaya nikirudia. Okay nitaelezea in first person view.
Mwaka 2011, nilikuwa nimeacha kazi serikalini, nikaamua kuanza biashara ndogo ndogo kwani zililipa kuliko mshahara wa kazini. Hapa nilikuwa na girlfriend ambae nilimtambulisha nyumbani na kwao pia walinijua. Mimi na huyu gf wangu tulifungua kampuni moja, nitaaiita Xcorp. Gf wangu yeye alikuwa muajiriwa wa serikali(mwanasheria), kwahiyo alikuwa vizuri in terms of lifestyle. Basi tukaamua kuexpand business, tuliplan kujenga kumbi nne ambazo zitakuwa za kisasa... Tuliplan kuweka swimming pool, malls humo humo. Ilitakiwa 1bil. Tukasema we can make it. Wakati naendelea na vibiashara vidogo vidogo vya kwenda China, rafiki yangu wa kike akanitambulisha kwa rafiki yake. Nae alikuwa mdada. Huyu dada nitamuita Grace. Grace alionekana ni mtu mwenyewe mafanikio sana. Aliishi Masaki nyumba ina swimming pool, na counter, pia alikuwa akitumia magari ya bei; BMW X5, Hilux new model, Brevis, Mark X na Range Rover. Kwa kweli enzi hizo Mark X na Brevis zilikuwa za kuhesabu barabarani. Huyu dada akaniambia yeye ni mfanyakazi wa kampuni ya mtandao mkubwa hapa Tz. Basi akaniambia wanaproject lakini inaitaji investors. Hii project ilikuwa kama ndoto ya mchana kwani ndani ya mwaka mmoja ningepata 1B.
Nikamueleza gf, akanielewa. Basi mwanzo tukawekeza 40m tu. Kweli ndani ya wiki mbili tulipata faida ya 40m!!! So tukarudishiwa 80m!!! Aisee nikapiga picha, ile biashara ya China bora niiache kwanza mikiki mikiki ya bandarini na mzigo hapa Tz unakaa miezi miwili plus kuja kuisha na faida ni kama 40% tu. Basi Grace akanichombeza ningeongeza hela ya kuwekeza to 400m. Ningepata 800m faida na ningekaribia goal ya 1b. Nikauza viwanja vyote, magari yote(nilikuwa nayo 8) sikubakiza hata moja, mtaji wa China wote nikakusanya. Nikawa na kama 230m. Nikamuomba Gf aniongezee, akagoma, akaingiza maswala ya kwamba mimi natembea na Grace(hii story nyingine) ila sio kweli. Baadae Gf akaniambia kwanini usiombe mkopo kwa nyumba yako. Duh nikasema poa. Gf ndio alikuwa na connection na watu wa benki basi tukaomba mkopo kwa kutumia kampuni yetu, nikaweka nyumba dhamana. Hapa ndipo natamani ningerudisha siku nyuma.
Wiki ambayo mkopo ulikuwa unatakiwa utoke sikupigiwa wala nini. Nikakaa kimya. Wiki ya pili nikaenda ile benki. Wakaniambia mbona ulikuja kuchukua na ukasign kabisa. Duh nikaenda kuangalia, signature sio yangu, na hela kweli zimeingia, lakini ajabu zimeingia kwenye account ya Gf. Nikampigia hapo hapo. Nilimuwakia sana. Akaniambia hela alishampa Grace 400m. Mkopo tulipata 156m, ilibidi turudishe 200m in 1 year. Dadeki nikaona huu utani. Nikamfata Gf home tulifokeana sana(advice usioe/usiolewe na mwanasheria kama hujui ubishi) nikatulia. Akaingiza mambo ya mimi kutoka na Grace, mara haniamini. Ajabu ni kwamba asilimia kubwa ya vitu at risk ni vyangu yeye kwenye biashara ya China alinipaga kama 30m tu. Kwasababu nilimpenda nikakausha. Grace wiki ya kwanza tuliongea freshi tu, ila baada ya wiki akapotea.
Duh wasiwasi ukanijia. Ila nikasema tusubiri ule muda aliosema hela zitarudi. Muda ukapita Grace hatujui alipo. Gf akanigeuzia kibao mimi. Mara mimi ndio nilimtambulisha kwake. Basi nikamfata yule dada aliyenitambulisha. Akaniambia yeye hayupo karibu nae. Aisee nilitamani kuua mtu. Yeye mwenyewe kweli alivyoniunganisha nae sikumueleza yaliyoendelea. Kwanza alikuwa hajui kama nafanya biashara na Grace. Kwenda kwake Grace nakuta kahama na nyumba ilikuwa ya kupanga sio yake. Magari ya kukodi, yeye alikuwa na BMW X5 tu. Nikaenda kampuni ya simu aliosema ni mfanyakazi, hajulikani!!! Nilikaa chini kwenye floor. Miezi ikapita.
Gf alivyoona nimeishiwa, akawa distant, mara hapokei simu. Matusi kwa wingi, baada ya muda akaniacha. Life lilikuwa gumu. Mwezi uliobidi turudishe mkopo ukaingia, sina mia. Ndugu ndio wananitumia hela ya kula. Siku mbili zinaweza pita nyumbani giza, sina hela ya LUKU. Mboga nzuri ilikuwa dagaa mchele. Grace hajulikani halipo. Basi nikaanza kumkazia Gf, kumtishia kuwa alifoji signature yangu. Basi akawa na uwoga nae akaanza kunisaidia kumtafuta Grace. Akafanikiwa, alimuweka Grace ndani kama wiki nzima kabla hajapata mdhamana. Nikaja kujua ukweli, kumbe Grace ni tapeli hata zile hela za mwanzo zilirudi kwasababu aliwachimba wengine. Kiukweli life lake ni show tu ya kuwateka watu. Basi tukambana, akatupa documents za nyumba yake moja. Akasema ndio alichonacho, BMW lake kuna victim mwingine alishalichukua na bado ana mdai Grace 40m. Therefore nae akagangania documents za nyumba. Tukaongea na polisi, maana Mimi nadai 400m mwenzangu 40m bora nipewe Mimi. Polisi wakasema twende court, mwenyewe sina hata mia. Na yule mdai mwingine yupo vizuri kifedha, as you all know bila hela mahakamani... Acha nisimalizie. Nikaongea na mdai, nikamwambia tuuze nyumba nitamlipa 40m alafu nitachukua iliyobaki. Akakubali ila yeye abaki na documents.
Mzaa. Nyumba haina hati, kwanza value 260m ya kwangu ilikuwa 516m. Kwasababu sina kitu nikakubaliana na hali halisi. Nyumba ya Grace ilikuwa haijamalizika, matengenezo kama 40m, ilikuwa golofa. Nyumba haikuuzika mwaka mzima. Baada ya muda wa kupiga stop order, benki wakapiga mnada nyumba yangu nikahamia ghetto. Nikaanza kupaona kuzimu aisee. Nikasema nisue benki maana walicheza mchezo na Gf, na hela sina za kupambana nao. Nikaona nikimtubua Gf nitajiharibia mwenyewe. Basi Grace tukaachana nae kwani na yeye kapigika mbaya.
Huu mwaka wa 5 tangu nyumba yangu iuzwe. Nakaa jumba amabalo mvua ikinyesha maji yanaingia godoro linaloa. Sina gari wala baiskeli. Nikiona mtu ana starlet namuona Mungu. Msosi nasaidiwa na ndugu. Bado nipo kwenye harakati za kutafuta mteja wa nyumba ya Grace hata kwa 150m nauza nianze upya.
Back to third person view. Gf ana life jingine na kidume mwingine, life is good. Ila Gf yupo hatarini, kwani soon TAKUKURU will be after her. Huu mkasa umemtokea ndugu yangu wa karibu sana. Siku anatimuliwa na polisi kwake alilala mpaka kwenye mchanga analia. Na nyumba yake mpaka leo wateja wanakuja na kuchomoa, haijauzwa. Mpaka watu wa benki wanaleta waganga wafanye manyanga. Nyumba imekaa haina watu mpaka walinzi wa benki wanapangisha vyumba vya ndani. Huyu ndugu yangu kakimbiwa na watu wengi wa karibu kwasababu wanajua kaishiwa. Anyway lesson learnt, Mimi namuomba Mungu aniepushe na haya. Bora niishi na salary au biashara ndogo kuliko kukopa. Ukikopa unakuwa mtumwa.
-callmeGhost
Kuna watu wanakatwa hadi 12,500,000 (million kumi na mbili na laki tano) kila mweziHuu uzi unafundisha na kusikitisha pia
uko njema, kukatwa 800k kwa mwezi itakuwa salary yako ni heavy
Taratibu za kukopa vision fund zipoje mkuu, na inachukua muda gani mpaka kupata mkopo.... you're respond plsWandugu hamjambo?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, lengo ni kukutana sisi wajasiriamali na tupeane mbinu za kukuza vipato vyetu kupitia mikopo ambayo tunaipata kutoka taasisi mbalimbali za kifedha.
Mimi binafsi niliwahi kukopa kwenye taasisi moja ya mikopo inayoitwa VISION FUND, lengo hasa la mkopo huo nilitaka kuongeza mtaji kwenye Grocery yangu. Lakini mambo yalienda vingine kabisa na kusudio na kujikuta mkopo huo ukiwa anguko kuu la biashara yangu!! Iliniuma sana na ukizingatia kabla ya hapo nilikuwa napata pesa nzuri sana kutokana na hiyo grocery yangu.
Mpaka nilijiuliza au mikopo hii ina mapepo? Niliachwa nikihangaikia marejesho ya hela ndefu kila mwezi, Alhamdulillah nimemaliza marejesho hayo mpaka ninaogopa kukopa tena aisee!!
Njooni tuelimishane namna ya kunufaika na mikopo hii.
Mkuu ulifukuzwa kazi na ukiwa bado una mkopo, Ilikuaje kuhusu huo mkopo? Au huwa kuna namna government wanalipa deni la mtumishi?ngoja niujazie huu uzi
nilishawahi kukopa mara mbili mikopo ya watumishi nmb....wakati huo nipo natumikia jamuhuri....nilikuwa nawashangaa wafanyakazi wanakopa mikopo umizas balaa wanakopa laki wanalipa laki na nusu ndani ya miezi mitatu(maswi financial)..nikakopoa wakwanza 1.2 wakakata kata ikbaki 1.04m kwenye acc nikarisk kazi nkatoroka kwenda kusoma certificate moja hivi...fedha nikaitumia kidogo kwenye kibiashara changu enzi hizo cha kupiga picha na kurusha nyimbo....kama 0.5m nyingine nikazila pasipo kujua vila mara the kiss mara delux(mwanza) mshahara kiduchu unaingia 2008..nikapiga certifiacate nkarudi job nkazuga nikaupdate mkopo...hahaha....hapo diashara yangu ishakuwa stationery inakimbiza mbaya vifaa vya kutoshankapata kama 3.5 m hata sijui nilichukua ya nini ila nilikuwa nshaamua ku risk kazi nifanye mishe zangu...ile hela nikanunua vifaa vya stationery fully na material nkaweka mtu pesa ikafia hapo haikutoka jamani bora ile biashara ya zamani daftari caton nilitumia pamoja na kuziuza zaidi ya miaka miwili....nkasema fedha ya mkopo kuanzisha biashara ni kubet colateral......nkazingua kazi nkapigwa chini..ila life is going well mkopo naochukua ni wa kishkaji kwa mtu kama mia 7 unamrudishia baada ya mwezi basi ila ya kwenye taaasisi..ukikopa 1m ujue kila 1000 utakayotumia ina dhamani ya 1300 hadi 1500 kwa hio ukola laki kwenye bia na hela ya mkopo ujue umekula 150k..kwa hio ni gharama ya hali ya juu..ukinunua nyumba au nguo kwa hela ya mkopo mfano nyumba m10 kwa hela ya mkopo jua hio nyumba umeinunua m13 mpaka 15 na kuna taasisisi riba zake zinazidi hapo...kama hela ya mkopo sio ya kutatua janga ni bora ujifunze kusave.na kama sio ya kucover demand over shot supply of your business ujue ni bad debts....good debts unachukua unanunua asset(something that earn money for you)utajua mwenyewe ni nini?that money you will you use to pay your debts. hi ndi salama yako..