Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Tuliowahi kufukuzwa kwa watu/kwa ndugu tukumbushiane ilikuwaje

Mimi nilikuwa nikifika kwa ndugu kama walikuwa wanataka kuandaa chakula wanahairisha mpaka niondoke na mm nilikuwa najifanya naondoka halafu naludi nakuta wanakula aisee walikuwa wanachukia balaa kweli sasa nmekuwa sihitaji kudoea kwa mtu maana unakuta anakushupalia usogee kula kumbe kwenye ulmwengu wa roho yake hataki usogee "wanakunjua sura wanakunja roho".....
Kwenye ulimwengu wa roho anakua hana fursa!!!!
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa watu hakufai...nimezaliwa miaka mingi iliyopita...ila nilisimuliwa nilipozaliwa mama alikuwa akiishi kwa kaka yake...ile kukojoa kwangu kama kichanga kitandani mama akatimuliwa...nilisimuliwa hadi leo huyo mjomba namwona Hitila....yeye amesahau mimi nakumbuka!
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
Hahaha ebwana nascreenshot hii post yako
 
Kwa uzoefu wangu mdogo ni bora ndugu wa mama kuliko ndugu wa baba. Kuishi kwa ndugu wa mama kuna afadhali sijui kwanini. Ndugu wa baba wanakuwa sijui wanakuonaje yani hata ukiwa na shida sio rahisi wakusaidie kama ndugu wa upande wa mama.

Ila kwa upande wangu nimeishi na dingi yangu mdogo miaka kadhaa enzi nasoma secondary asee nilikua naishi kwa raha sana na mke wake ni mama ambaye ilifikia hatua kwa kaili zangu za kitoto nikatamani ndio angekuwa mama yangu mzazi. Dingi mdogo alipata mke kwakweli asee maza mdogoo wewe ni mwanamke wa kuigwa na wote, kama upo JF utaninyaka tu kirahisi.

Kwa upande wa ndugu za mama nimeishi kwa mama mdogo ni mtu ambae yupo strict sana na hapendi ujinga kabisa na kuna baadhi ya ndugu zangu wengine wameshindwa kuishi nae maana hatakagi ujinga kabisa na ukizingua tu lazima akuseme hakawizi. Kwa maza mdogo nimekaa sana na huwa ikipita miezi kadhaa sijaenda lazima wanipigie simu niende. Yani huwa nafeel at home kuliko hata nikiwa kwetu kabisa jinsi nilivyoishi vizuri.


Haya mambo yanategemea mtu na mtu, maana kuna ndugu zangu wa rika moja na madogo ambao ni wazinguaji hata mimi mwenyewe huwa siwezi kuishi nao kabisa kwa tabia zao. Pia nadhani masuala ya kabila na asili yanachangia, kuna wengine wana asili ya uchoyo hivyo ni ngumu kuishi na ndugu.
 
Kwa uzoefu wangu mdogo ni bora ndugu wa mama kuliko ndugu wa baba. Kuishi kwa ndugu wa mama kuna afadhali sijui kwanini. Ndugu wa baba wanakuwa sijui wanakuonaje yani hata ukiwa na shida sio rahisi wakusaidie kama ndugu wa upande wa mama.

Ila kwa upande wangu nimeishi na dingi yangu mdogo miaka kadhaa enzi nasoma secondary asee nilikua naishi kwa raha sana na mke wake ni mama ambaye ilifikia hatua kwa kaili zangu za kitoto nikatamani ndio angekuwa mama yangu mzazi. Dingi mdogo alipata mke kwakweli asee maza mdogoo wewe ni mwanamke wa kuigwa na wote, kama upo JF utaninyaka tu kirahisi.

Kwa upande wa ndugu za mama nimeishi kwa mama mdogo ni mtu ambae yupo strict sana na hapendi ujinga kabisa na kuna baadhi ya ndugu zangu wengine wameshindwa kuishi nae maana hatakagi ujinga kabisa na ukizingua tu lazima akuseme hakawizi. Kwa maza mdogo nimekaa sana na huwa ikipita miezi kadhaa sijaenda lazima wanipigie simu niende. Yani huwa nafeel at home kuliko hata nikiwa kwetu kabisa jinsi nilivyoishi vizuri.


Haya mambo yanategemea mtu na mtu, maana kuna ndugu zangu wa rika moja na madogo ambao ni wazinguaji hata mimi mwenyewe huwa siwezi kuishi nao kabisa kwa tabia zao. Pia nadhani masuala ya kabila na asili yanachangia, kuna wengine wana asili ya uchoyo hivyo ni ngumu kuishi na ndugu.


Haha sio uchoyo tu, pia roho mbaya, chuki za kisiri siri, kutokupenda watu, ubinafsi, pamoja na MTU kutaka privacy yake yeye na familia yake...sometimes ukute huyo anaekufukuza nae aliteseka kipindi anakaa kwa watu, so analipiza. chaliifrancisco
 
Haha sio uchoyo tu, pia roho mbaya, chuki za kisiri siri, kutokupenda watu, ubinafsi, pamoja na MTU kutaka privacy yake yeye na familia yake...sometimes ukute huyo anaekufukuza nae aliteseka kipindi anakaa kwa watu, so analipiza. chaliifrancisco
Yeah zipo sababu nyingi lakini bora mtu akukatae mapema tu kabla hujaingia kwake kuliko uingie alafu akufanyie vimbwanga. Pamoja na hayo kweli lakini kuna ndugu wengine nao wazinguaji hawabebeki. Unakuta dogo anaishi kwa ndugu anakula, analala, anavaa kila huduma anapata lakini ni mzigo hata kazi hafanyi, mwingine mlevi mlevi wa kiduanzi, mwingine ndio starehe za ngono kwa sana...

aise hata mimi kama nina mtoto wa ndugu yangu au hata mdogo wangu kabisa wa ian ahiyo lazima nimfyekelee mbali akatie akili kwanza.
 
Siku tunafukuzwa kwa ndugu tena mvua ikinyesha siwezi sahau alituambia "MNAKULA KUKU KWA MRIJA SODA KWA UMA" tulihamia kwnye chumba kimoja, tukawa na kitanda kimoja hakifai hata kulala watu wawili ila mm na ndugu yangu tukawa tunabanana hapo, mama analala kwenye mfuko wa sandarusi chini....!! ngoja niishie hapa.

MUNGU HUYU SI ATHUMANI Leo nimekuwa mtu kwenye watu.
 
Nakumbuka ilikuwa Dar mitaa ya Sinza Vatican, nilimtembelea ndugu yangu, asee jamaa alikuwa mkorofi balaa. Akirudi toka kazini lazima aguse li TV lake la uchogo, kama limechemka huo moto wake hata kwa gari la zima moto hauzimiki!!

Siku ikipikwa nyama anahesabia jikoni. Mkishakula lazima ahesabu zilizobaki.

Vitimbi vilikuwa vingi na alikuwa anatusurubu ka vile si ni wafungwa!! Siku moja nilitoka nduki kali, sikuwahi kurudi huu ni mwaka wa 11.

Nilipofika home mkoani nilimsimulia mama, siku hiyo alinipikia kilo nzima ya wali, akapakua kwa sinia kubwa na juu kasimika bakuli kubwa la nyama za kuku! Nilivua shati kuanza kutupia nyali tumboni huku nikijisemea, "ewe ndugu mchoyo wa Dar, njoo uhesabu minyama inayoshuka tumboni"
Ahahahahaaaa
 
Back
Top Bottom