Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
Bora hata wewe umekiri, kibao wamewapa na hela ya kutolea mimba.
Hahahahahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata wewe umekiri, kibao wamewapa na hela ya kutolea mimba.
Jamani najuta, tayari nakatunza kabinti kangu kazuuriiiii.
Sitasahau kisa hiki, kipindi hicho nimemaliza shule ya msingi na kubaki mkulima tu kijijini kwetu, nikaanza kutembea na mtoto wa shule, hamadiii!! akapata mimba, siku hiyo mida ya jioni naona wazee wameongozana na yule binti, wakagonga hodi baba katoka, nikajua msala huu, nikapitia dirishani na kupotea, kesho yake nikatimkia kijiji cha jirani kwa mjomba wangu, nilikaa huko takribani miaka 3 ndo nikarudi nyumbani nikakuta nina katoto kabinti kazuuuriii. Najutia kosa hili. Karibuni wenzangu tuliowahi kukututwa na mkasa huu, ilikuwaje siku hiyo na kwa nini ukimbie? Mimi niliogopa kufungwa wakati huo sheria ilikuwa kali sana.
Tatizao mna siri sana... Si unamuona yulee aliyemuweka mtoto kwenye box... Utadhani alitaka kumsafirisha kama mzigo..
hahhaha umenikumbusha kitu,kastori nilipewa na mzazi,Wakati mama yangu anajifungua mimi alipoteza fahamu siku kama 3 akawa hajui hata sura ya mtoto inafananaje, alipokuja kukaa sawa akaanza kuwadai manesi wamembadilishia mtoto,sababu kwenye mabano....sahiz huwa ananiambia,"yaani kwakweli ningepoteza mwanangu kwa ujinga na mungu angenadhibu kunipa mtoto jambazi"
she always proud of me, nami nampenda sana,japo kipindi cha utoto alikuwa akinikosesha sana raha pale napomuudhi kwa kuniambia "wewe mimi niliwaambia manesi wamenibadilishia mtoto,sikuwa na mtoto asiye sikia kama wewe"...hahahhhahahaah nacheka sana kila nikikumbuka hili...
So wale watiaji mimba na kukimbia hakika mnakimbia Neema na Baraka za Mungu
Hapo kwenye red, sas hivi sheria sio kali! ?
mkuu yapo mambo ya kufanyiana utani si katika hilo.
Sitasahau kisa hiki, kipindi hicho nimemaliza shule ya msingi na kubaki mkulima tu kijijini kwetu, nikaanza kutembea na mtoto wa shule, hamadiii!! akapata mimba, siku hiyo mida ya jioni naona wazee wameongozana na yule binti, wakagonga hodi baba katoka, nikajua msala huu, nikapitia dirishani na kupotea, kesho yake nikatimkia kijiji cha jirani kwa mjomba wangu, nilikaa huko takribani miaka 3 ndo nikarudi nyumbani nikakuta nina katoto kabinti kazuuuriii. Najutia kosa hili. Karibuni wenzangu tuliowahi kukututwa na mkasa huu, ilikuwaje siku hiyo na kwa nini ukimbie? Mimi niliogopa kufungwa wakati huo sheria ilikuwa kali sana.
hahhaha umenikumbusha kitu,kastori nilipewa na mzazi,Wakati mama yangu anajifungua mimi alipoteza fahamu siku kama 3 akawa hajui hata sura ya mtoto inafananaje, alipokuja kukaa sawa akaanza kuwadai manesi wamembadilishia mtoto,sababu kwenye mabano....sahiz huwa ananiambia,"yaani kwakweli ningepoteza mwanangu kwa ujinga na mungu angenadhibu kunipa mtoto jambazi"
she always proud of me, nami nampenda sana,japo kipindi cha utoto alikuwa akinikosesha sana raha pale napomuudhi kwa kuniambia "wewe mimi niliwaambia manesi wamenibadilishia mtoto,sikuwa na mtoto asiye sikia kama wewe"...hahahhhahahaah nacheka sana kila nikikumbuka hili...
So wale watiaji mimba na kukimbia hakika mnakimbia Neema na Baraka za Mungu
No usiseme hivyo..kila mzazi anamwazia mema mtoto/watoo wao/wake.....Hongera best inaonesha ur parent is proud of u....binafsi sielewi wazazi wangu wanawaza nini kuhusu mimi
umeongea kwa hisia sana hadi nimetokwa na chozi, ooooooh my God, nisamehe mimi kiumbe dhaifu.
Kaka yangu afadhali yako wewe unaona uzito wa tatizo hili na unajutia. Hakuna mkamilifu wote tunakosea na cha maana ni ku correct makosa yako kadri unavyoweza. Mi nimeongea kwa uchungu ndio kwa kuwa kuna baadhi ya wanaume huchukulia jambo hili kwa mzaha mkubwa wakati kwa kweli wanawake wanateseka.
Mwenyezi Mungu awasaidie katika malezi ya mtoto na awape furaha
No usiseme hivyo..kila mzazi anamwazia mema mtoto/watoo wao/wake.....
Am sure wazazi wako wanakupenda sana na kukuwazia mema labda tu hawajakuambia,ila ni hivyo