atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Amen kwa sotePoleni sana mliopatwa na masaibu ya ajali mungu atuepushe maana nasoma Uzi mpaka nasisimka ukizingatia sijawahi hata kuona ajali labda kwenye mitandao ,sio kwamba Mimi ni bora au sina dhambi nikwa Neema tuu
Mmeoana lknAjali nyngne boyfriend wng alipata 2012 alitoka club ananifata mimi nipo sinza katokea posta na kalewa basi mie nampelekesha bwana mie narudi nyumbani kama hutaki kuja yani nikikaa dk 2 sim dk 2 sim jamaa katoka posta mkuku na gari ananiwahi mie bwana we kufika kijitonyama akala mzinga uso kwa uso sasa nimekaa kama 1 hour mtu hafiki napiga sim ipo busy kutwa kumbe yupo hospital mwananyamala wanahangaika kupiga sim yake no yangu hao wasamalia wema ndo kupiga tena nikampata kuongea nao wananiambia jamaa yko kapata mzinga knyama njoo mwananyamala hospital yani sikuamini nikamkuta kapasuka kichwani alishonwa nyuzi kama 10 uso umeumuka madamu kibao nusu nizimie nililia jamani nilikua nimekunywa bia5 zote ziliruka aisee ajali iskie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kbs poleni sn wenzangu mlonusurika na ajali km Mimi,mwaka 2013 maeneo ya kimara Suca nilipata ajali ya Gari mguu wa kulia ukavunjika km muwa kwenye kifundo kujaribu kunyanyuka mguu umening'ia naona damu tele na mfupa ilikua mwezi wa 10 saa5 ucku mpk nafikishwa muhimbil ni saa 7 ucku pale moi nikapigwa ganzi,kesho yk saa 6 mchana nikaingizwa theatre mpk natoka ni saa 11 jioni nikiwa nimeekewa vyuma kwa ndan wanaviita disc,docter akanambia baada ya miezi 6 ndo ntaanza kutembea Dede lkn Mungu ni mwema kwani christmass yaan miezi miwili mbele kakaangu Dereva wa serikali ananichukua na kunipeleka bar pale makabe na kulikua na live band hua napenda Sana bas wakagonga copy wimbo Tx Moshi Ajali nikipandwa na mzuka wa ajabu nikiwa na magongo yangu machozi usoni nikanyanyuka nikacheza sn na waungwana wakanitunza cent c haba mzuka wa mziki na nyagi mixer zanzi nikatupa gongo moja broo akaliokota ooh duh,in short January mwishon nikaweka magongo pembeni na kuanza kutembea mwenyewe kila mtu alishangaa mpk madocter pale muhimbili maana nilikua nakwenda clinic ila mi nilijua ni wema wa mola tu kwangu kiumbe dhaifu! Namshukuru Mungu kwani mwaka Jana mwanzoni nilirudia operation nikatoa vyuma na nikitembea huwezi jua km nilipata ajali ile,cfa na utukufu ni kwa bwana alieumba mbingu,ardhi na viumbe wake!nalengwa machozi najihis nna deni bd ooh[emoji32]
Ashukuriwe Mungu kwa ushuhuda wako tusiache kufanya mambo ya kumpendezaKwanza kbs poleni sn wenzangu mlonusurika na ajali km Mimi,mwaka 2013 maeneo ya kimara Suca nilipata ajali ya Gari mguu wa kulia ukavunjika km muwa kwenye kifundo kujaribu kunyanyuka mguu umening'ia naona damu tele na mfupa ilikua mwezi wa 10 saa5 ucku mpk nafikishwa muhimbil ni saa 7 ucku pale moi nikapigwa ganzi,kesho yk saa 6 mchana nikaingizwa theatre mpk natoka ni saa 11 jioni nikiwa nimeekewa vyuma kwa ndan wanaviita disc,docter akanambia baada ya miezi 6 ndo ntaanza kutembea Dede lkn Mungu ni mwema kwani christmass yaan miezi miwili mbele kakaangu Dereva wa serikali ananichukua na kunipeleka bar pale makabe na kulikua na live band hua napenda Sana bas wakagonga copy wimbo Tx Moshi Ajali nikipandwa na mzuka wa ajabu nikiwa na magongo yangu machozi usoni nikanyanyuka nikacheza sn na waungwana wakanitunza cent c haba mzuka wa mziki na nyagi mixer zanzi nikatupa gongo moja broo akaliokota ooh duh,in short January mwishon nikaweka magongo pembeni na kuanza kutembea mwenyewe kila mtu alishangaa mpk madocter pale muhimbili maana nilikua nakwenda clinic ila mi nilijua ni wema wa mola tu kwangu kiumbe dhaifu! Namshukuru Mungu kwani mwaka Jana mwanzoni nilirudia operation nikatoa vyuma na nikitembea huwezi jua km nilipata ajali ile,cfa na utukufu ni kwa bwana alieumba mbingu,ardhi na viumbe wake!nalengwa machozi najihis nna deni bd ooh[emoji32]
Ahsante kk,ilikua kitu live wee acha tu aisee [emoji16][emoji16]Natamani ningekuona ukifanya yako huku machozi yakikutoka Mkuu, bila ya shaka uliwatoa machozi wengi sana pale ukumbini. Poleni sana Wakuu wote Mwenyezi Mungu ni mwema sana.
Ni kweli mkuu,nilikaa nikatafakar Sana ckuona cha kumpa Mungu zaidi ya kukabizi njia zangu kwake!Ashukuriwe Mungu kwa ushuhuda wako tusiache kufanya mambo ya kumpendeza
Duh Mzee una majanga......hata hivyo inaonyesha sio dereva mzuriAjali Zote Huwa Natoka Mzima Niliingia Mtaroni Na Ist Nikawakosa Kosa Wauza Matunda Wanaopanga Pembeni Mwa Barabara Ya Pili Suzuki Carry Ilifeli Brake Nimkosa Bibi Wa Watu Nikaparamia Mawe Ya Tatu Pikipiki Ilinishinda Kuiongoza Nikawakosa Wanywa Kahawa Nikaparamia Mitungi Ya Ges Dukani Kwa Mangi Ya Tatu Toyota Carina Nataka Kuondoka Kwenye Makutano Watoto Wamejibeba Kwenye Bike Wakajaa Mlangoni Ila Hawakuumia Hata Kidogo Nilishawahi Kuzama Na Mtumbwi Ila Wote Tulitoka Salama Mungu Mkubwa
Hallelujah amenKuna siku moja wakati natokea Moro Na Abood.Ghafra magari yakawa yamesimama kuulizia eti.Kuna gari do go limeingia chini ya semitela.Tukashuka baadhi kwenda kuangalia.Aiseee kweli kama hukupangiwa kufa hufi.Ni nini ??pamoja Na gari kufinywangwa Dereva pekee aliyekuwa ndani ya gari alitoka nzima kiasi cha watu kuanza kumpigia vigeregere Na yeye asiamini kilichotokea.Nakumbuka nilienda Kumpa mkono.Na sio kwamba aliruka wkt ajali inatokea.Alikuwemo ndani Na watu kumtoa.( Hallelujah)
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzidi kubarikiwa MkuuNi kweli mkuu,nilikaa nikatafakar Sana ckuona cha kumpa Mungu zaidi ya kukabizi njia zangu kwake!
Mh,mshana daraja linahamaje!Ajali njia ya MSATA bagamoyo karibia kabisa na geti la maliasili SAA NNE usiku, nikielekea Dar, kwenye zile daraja zisizo na kingo niliona kabisa daraja linahama na katika kulikwepa .......ne next moment nilijikuta chini ya daraja gari ikiwa imegeuka juu chini
Nilitoka mzima bila jeraha kutokana na aina ya gari niliyokuwa nayo... Ingekuwa mjep sijui kama ningesalimika
Ilikuwa 2013 siku masaa machache kabla ya IDD
Ni siku ambayo asubuhi yake kuna NOAH ilipata ajali njia hiyohiyo na kuondoka na roho nane hapohapo
Uwanja wa ndege kivipi tena..ulikuwa wapelekwa nje kwa matibabu niniUuuuph, sitakaa nisahau, kwanza nitangulie tu kusema Mungu yu mwema, ilikuwa ni sa2 natoka mwenge kwa pikipiki naendesha mwenyewe, pikipiki BAJA cc250, Chuma kimekolea na njia ni nyeupe, naendesha kuelekea ferry kwenye pantone, ghafla nafika maeneo ya palm Beach kwenye mgawanyiko wa road, sijui ni nini kilitokea, pikipiki ilikataa kukata kona nikaparamia kuta ama kingo za bara bara, sawa Mimi ni mtundu wa pikipiki lkn kwa pale sijisifii ujinga, ni Mungu pekee, sijui nihadithie vipi maana kila aliekuwa karibu alilia kwa anavyojua yeye, basi mwisho nilidondoka na pkpk yangu, waliokuja kutoa msaada walidhani nimeshasafiri kwa baba but steel nilikuwa mzima, nikaliamsha japo ilivunjika, nikawasha ikawaka, sasa kosa wale jamaa waliniruhusu kuondoa, ilhali bado Nina mawenge, nili loose direction kabisa, akili iliruka na nilikuja kushtuka nipo uwanja wa NDEGE, usicheke!!! Dah,,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka uliyopata wewe hiyo aje boy friend wako asimulie hapaAjali nyngne boyfriend wng alipata 2012 alitoka club ananifata mimi nipo sinza katokea posta na kalewa basi mie nampelekesha bwana mie narudi nyumbani kama hutaki kuja yani nikikaa dk 2 sim dk 2 sim jamaa katoka posta mkuku na gari ananiwahi mie bwana we kufika kijitonyama akala mzinga uso kwa uso sasa nimekaa kama 1 hour mtu hafiki napiga sim ipo busy kutwa kumbe yupo hospital mwananyamala wanahangaika kupiga sim yake no yangu hao wasamalia wema ndo kupiga tena nikampata kuongea nao wananiambia jamaa yko kapata mzinga knyama njoo mwananyamala hospital yani sikuamini nikamkuta kapasuka kichwani alishonwa nyuzi kama 10 uso umeumuka madamu kibao nusu nizimie nililia jamani nilikua nimekunywa bia5 zote ziliruka aisee ajali iskie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka 2005 nilianguka na baiskeli kwny mteremko wa kilima cha kinyonga huko Maneromango nilipata homa na "mtoki" juu...mpk leo nina makovu[emoji52][emoji52]
Sent using Jamii Forums mobile app