Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

Ajali nyngne boyfriend wng alipata 2012 alitoka club ananifata mimi nipo sinza katokea posta na kalewa basi mie nampelekesha bwana mie narudi nyumbani kama hutaki kuja yani nikikaa dk 2 sim dk 2 sim jamaa katoka posta mkuku na gari ananiwahi mie bwana we kufika kijitonyama akala mzinga uso kwa uso sasa nimekaa kama 1 hour mtu hafiki napiga sim ipo busy kutwa kumbe yupo hospital mwananyamala wanahangaika kupiga sim yake no yangu hao wasamalia wema ndo kupiga tena nikampata kuongea nao wananiambia jamaa yko kapata mzinga knyama njoo mwananyamala hospital yani sikuamini nikamkuta kapasuka kichwani alishonwa nyuzi kama 10 uso umeumuka madamu kibao nusu nizimie nililia jamani nilikua nimekunywa bia5 zote ziliruka aisee ajali iskie tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeoana lkn
 
Natamani ningekuona ukifanya yako huku machozi yakikutoka Mkuu, bila ya shaka uliwatoa machozi wengi sana pale ukumbini. Poleni sana Wakuu wote Mwenyezi Mungu ni mwema sana.

Kwanza kbs poleni sn wenzangu mlonusurika na ajali km Mimi,mwaka 2013 maeneo ya kimara Suca nilipata ajali ya Gari mguu wa kulia ukavunjika km muwa kwenye kifundo kujaribu kunyanyuka mguu umening'ia naona damu tele na mfupa ilikua mwezi wa 10 saa5 ucku mpk nafikishwa muhimbil ni saa 7 ucku pale moi nikapigwa ganzi,kesho yk saa 6 mchana nikaingizwa theatre mpk natoka ni saa 11 jioni nikiwa nimeekewa vyuma kwa ndan wanaviita disc,docter akanambia baada ya miezi 6 ndo ntaanza kutembea Dede lkn Mungu ni mwema kwani christmass yaan miezi miwili mbele kakaangu Dereva wa serikali ananichukua na kunipeleka bar pale makabe na kulikua na live band hua napenda Sana bas wakagonga copy wimbo Tx Moshi Ajali nikipandwa na mzuka wa ajabu nikiwa na magongo yangu machozi usoni nikanyanyuka nikacheza sn na waungwana wakanitunza cent c haba mzuka wa mziki na nyagi mixer zanzi nikatupa gongo moja broo akaliokota ooh duh,in short January mwishon nikaweka magongo pembeni na kuanza kutembea mwenyewe kila mtu alishangaa mpk madocter pale muhimbili maana nilikua nakwenda clinic ila mi nilijua ni wema wa mola tu kwangu kiumbe dhaifu! Namshukuru Mungu kwani mwaka Jana mwanzoni nilirudia operation nikatoa vyuma na nikitembea huwezi jua km nilipata ajali ile,cfa na utukufu ni kwa bwana alieumba mbingu,ardhi na viumbe wake!nalengwa machozi najihis nna deni bd ooh[emoji32]
 
Kwanza kbs poleni sn wenzangu mlonusurika na ajali km Mimi,mwaka 2013 maeneo ya kimara Suca nilipata ajali ya Gari mguu wa kulia ukavunjika km muwa kwenye kifundo kujaribu kunyanyuka mguu umening'ia naona damu tele na mfupa ilikua mwezi wa 10 saa5 ucku mpk nafikishwa muhimbil ni saa 7 ucku pale moi nikapigwa ganzi,kesho yk saa 6 mchana nikaingizwa theatre mpk natoka ni saa 11 jioni nikiwa nimeekewa vyuma kwa ndan wanaviita disc,docter akanambia baada ya miezi 6 ndo ntaanza kutembea Dede lkn Mungu ni mwema kwani christmass yaan miezi miwili mbele kakaangu Dereva wa serikali ananichukua na kunipeleka bar pale makabe na kulikua na live band hua napenda Sana bas wakagonga copy wimbo Tx Moshi Ajali nikipandwa na mzuka wa ajabu nikiwa na magongo yangu machozi usoni nikanyanyuka nikacheza sn na waungwana wakanitunza cent c haba mzuka wa mziki na nyagi mixer zanzi nikatupa gongo moja broo akaliokota ooh duh,in short January mwishon nikaweka magongo pembeni na kuanza kutembea mwenyewe kila mtu alishangaa mpk madocter pale muhimbili maana nilikua nakwenda clinic ila mi nilijua ni wema wa mola tu kwangu kiumbe dhaifu! Namshukuru Mungu kwani mwaka Jana mwanzoni nilirudia operation nikatoa vyuma na nikitembea huwezi jua km nilipata ajali ile,cfa na utukufu ni kwa bwana alieumba mbingu,ardhi na viumbe wake!nalengwa machozi najihis nna deni bd ooh[emoji32]
Ashukuriwe Mungu kwa ushuhuda wako tusiache kufanya mambo ya kumpendeza
 
Kuna siku moja wakati natokea Moro Na Abood.Ghafra magari yakawa yamesimama kuulizia eti.Kuna gari do go limeingia chini ya semitela.Tukashuka baadhi kwenda kuangalia.Aiseee kweli kama hukupangiwa kufa hufi.Ni nini ??pamoja Na gari kufinywangwa Dereva pekee aliyekuwa ndani ya gari alitoka nzima kiasi cha watu kuanza kumpigia vigeregere Na yeye asiamini kilichotokea.Nakumbuka nilienda Kumpa mkono.Na sio kwamba aliruka wkt ajali inatokea.Alikuwemo ndani Na watu kumtoa.( Hallelujah)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani ningekuona ukifanya yako huku machozi yakikutoka Mkuu, bila ya shaka uliwatoa machozi wengi sana pale ukumbini. Poleni sana Wakuu wote Mwenyezi Mungu ni mwema sana.
Ahsante kk,ilikua kitu live wee acha tu aisee [emoji16][emoji16]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ajali Zote Huwa Natoka Mzima Niliingia Mtaroni Na Ist Nikawakosa Kosa Wauza Matunda Wanaopanga Pembeni Mwa Barabara Ya Pili Suzuki Carry Ilifeli Brake Nimkosa Bibi Wa Watu Nikaparamia Mawe Ya Tatu Pikipiki Ilinishinda Kuiongoza Nikawakosa Wanywa Kahawa Nikaparamia Mitungi Ya Ges Dukani Kwa Mangi Ya Tatu Toyota Carina Nataka Kuondoka Kwenye Makutano Watoto Wamejibeba Kwenye Bike Wakajaa Mlangoni Ila Hawakuumia Hata Kidogo Nilishawahi Kuzama Na Mtumbwi Ila Wote Tulitoka Salama Mungu Mkubwa
Duh Mzee una majanga......hata hivyo inaonyesha sio dereva mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna siku moja wakati natokea Moro Na Abood.Ghafra magari yakawa yamesimama kuulizia eti.Kuna gari do go limeingia chini ya semitela.Tukashuka baadhi kwenda kuangalia.Aiseee kweli kama hukupangiwa kufa hufi.Ni nini ??pamoja Na gari kufinywangwa Dereva pekee aliyekuwa ndani ya gari alitoka nzima kiasi cha watu kuanza kumpigia vigeregere Na yeye asiamini kilichotokea.Nakumbuka nilienda Kumpa mkono.Na sio kwamba aliruka wkt ajali inatokea.Alikuwemo ndani Na watu kumtoa.( Hallelujah)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hallelujah amen
 
Poleni kwa wote mlionusurika kupata umauti baada ya ajali hizo mbaya, poleni sana na hata Mungu azidi kuwalinda na kuwapa uzima maradufu.
 
Ajali njia ya MSATA bagamoyo karibia kabisa na geti la maliasili SAA NNE usiku, nikielekea Dar, kwenye zile daraja zisizo na kingo niliona kabisa daraja linahama na katika kulikwepa .......ne next moment nilijikuta chini ya daraja gari ikiwa imegeuka juu chini
Nilitoka mzima bila jeraha kutokana na aina ya gari niliyokuwa nayo... Ingekuwa mjep sijui kama ningesalimika
Ilikuwa 2013 siku masaa machache kabla ya IDD
Ni siku ambayo asubuhi yake kuna NOAH ilipata ajali njia hiyohiyo na kuondoka na roho nane hapohapo
Mh,mshana daraja linahamaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uuuuph, sitakaa nisahau, kwanza nitangulie tu kusema Mungu yu mwema, ilikuwa ni sa2 natoka mwenge kwa pikipiki naendesha mwenyewe, pikipiki BAJA cc250, Chuma kimekolea na njia ni nyeupe, naendesha kuelekea ferry kwenye pantone, ghafla nafika maeneo ya palm Beach kwenye mgawanyiko wa road, sijui ni nini kilitokea, pikipiki ilikataa kukata kona nikaparamia kuta ama kingo za bara bara, sawa Mimi ni mtundu wa pikipiki lkn kwa pale sijisifii ujinga, ni Mungu pekee, sijui nihadithie vipi maana kila aliekuwa karibu alilia kwa anavyojua yeye, basi mwisho nilidondoka na pkpk yangu, waliokuja kutoa msaada walidhani nimeshasafiri kwa baba but steel nilikuwa mzima, nikaliamsha japo ilivunjika, nikawasha ikawaka, sasa kosa wale jamaa waliniruhusu kuondoa, ilhali bado Nina mawenge, nili loose direction kabisa, akili iliruka na nilikuja kushtuka nipo uwanja wa NDEGE, usicheke!!! Dah,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uuuuph, sitakaa nisahau, kwanza nitangulie tu kusema Mungu yu mwema, ilikuwa ni sa2 natoka mwenge kwa pikipiki naendesha mwenyewe, pikipiki BAJA cc250, Chuma kimekolea na njia ni nyeupe, naendesha kuelekea ferry kwenye pantone, ghafla nafika maeneo ya palm Beach kwenye mgawanyiko wa road, sijui ni nini kilitokea, pikipiki ilikataa kukata kona nikaparamia kuta ama kingo za bara bara, sawa Mimi ni mtundu wa pikipiki lkn kwa pale sijisifii ujinga, ni Mungu pekee, sijui nihadithie vipi maana kila aliekuwa karibu alilia kwa anavyojua yeye, basi mwisho nilidondoka na pkpk yangu, waliokuja kutoa msaada walidhani nimeshasafiri kwa baba but steel nilikuwa mzima, nikaliamsha japo ilivunjika, nikawasha ikawaka, sasa kosa wale jamaa waliniruhusu kuondoa, ilhali bado Nina mawenge, nili loose direction kabisa, akili iliruka na nilikuja kushtuka nipo uwanja wa NDEGE, usicheke!!! Dah,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwanja wa ndege kivipi tena..ulikuwa wapelekwa nje kwa matibabu nini
 
Ajali nyngne boyfriend wng alipata 2012 alitoka club ananifata mimi nipo sinza katokea posta na kalewa basi mie nampelekesha bwana mie narudi nyumbani kama hutaki kuja yani nikikaa dk 2 sim dk 2 sim jamaa katoka posta mkuku na gari ananiwahi mie bwana we kufika kijitonyama akala mzinga uso kwa uso sasa nimekaa kama 1 hour mtu hafiki napiga sim ipo busy kutwa kumbe yupo hospital mwananyamala wanahangaika kupiga sim yake no yangu hao wasamalia wema ndo kupiga tena nikampata kuongea nao wananiambia jamaa yko kapata mzinga knyama njoo mwananyamala hospital yani sikuamini nikamkuta kapasuka kichwani alishonwa nyuzi kama 10 uso umeumuka madamu kibao nusu nizimie nililia jamani nilikua nimekunywa bia5 zote ziliruka aisee ajali iskie tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka uliyopata wewe hiyo aje boy friend wako asimulie hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom