Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

Me wakati naanza kujifunza gari mwaka 2003,nilikurupua gari yangu baada yakumaliza kuoshwa ilikuwa ISUZU JOURNEY MINIBUS, ,,,BASI BREAK ya kwanza nilimgonga mtu then nikaenda kuvaa Fensi ya mtu,,,,gari ilichakaa na jamaa alivunjika mkono na mimi mwenyewe nilizimia kwenye stering nikaenda kuzindukia lockup sina leseni wala chochote ,,, sitoisahau Ile ajali, ,,,,,,,,
 


nimejikuta nacheka jaman hahahaha pole!hahah had kuzima nimecheka sana
 
Mbuuuulaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilikua na BM ya Morogoro Arusha December 2014.Basi aina Ya Yutong lilitaka kuovatake magari madogo na bahati mbaya kukawa na nyingine unakuja ikabidi arudi.Kurudi kwenye line yake na kona ghafla na imebaki gari ya gasi.ikabidi aliingize porini.Liliturusha na kuyumba sana ila likatulia.ilikua hatare
 
Alafu BUMIJA
 
Nakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani
Hii ajali ilikuwa mbaya sana sana...
Pole sana na muweke muumba karibu yako.
 
Mh..[emoji102] [emoji102]
 
Mkuu tuache kidogo. .[emoji23] [emoji23]
 
Duh pole sana mke wangu kipenz, sijui leo hii ningekuwa nafurah na nan kama ungetangulia mbele za hak
 
Duh pole sana mke wangu kipenz, sijui leo hii ningekuwa nafurah na nan kama ungetangulia mbele za hak


hahaha mpk leo huwa siamin km nilipona ! yaan nahis nna mwili mzuri tu kwa jinsi nilivyookuwa na leo hii !asalaale! asante sana mume wangu kipenz
 
ahaaaaaa umenichekesha usiku huu
 
we
we bibi acha nongwa hii jf sio ile ya enzi zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…