Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
We dogo vipi? Umeambiwa waliopata na kunusurika ambao wapo humu!!Bahati mbaya wengi waliopata/watakaopata ajali hawakupata/hawatapata nafasi ya kusimulia...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dogo vipi? Umeambiwa waliopata na kunusurika ambao wapo humu!!Bahati mbaya wengi waliopata/watakaopata ajali hawakupata/hawatapata nafasi ya kusimulia...!
Kweli ndo maana jicho lako moja dogoTarehe 24.12.2014 Niko na shynrey yangu nafuata kuku wa kufuga sibwesa barabara ya kwenda Karema, nashuka kigongo napandisha, Mara kabinti kanaendesha baiskeli kako upande wa kulia kwangu, kwa mwendo 80 km/h nikataka kupita kushoto kwangu... Duuuuuuu nafika nakenyewe kakahama kuja left....... Paaaaaaaaa.... Ajali mbaya sana, suruali ikawa kaptula upande mmoja, binti anajaribu kuinuka anaanguka..... Watu wanaanza kujaaa... Nikajua wataniua... Nikajaribu kutoroka Kwa pkpk, tairi la mbele nimenasa kwenye shokapu.... Nasukuma pkpk had nyumba iliyokuwa jirani na barabara, upande wa kushoto jicho halioni Kwa uvimbe na tayari na la kulia linaanza kufunga... Napata lift had district hospital..... Nalazwa ck 3 na Baada ya uvimbe kuisha nagundua jicho la kushoto limekuwa dogo kutokana na mbonyeo wa fuvu left side.... Duuuuuuu kweli hujafa hujaumbika... Nilikuwa nikiuona muonekano wangu Mpya Nashindwa kuelewa how will I stand in front of my students.... Safari had Ikonda hospital Dr akanambia no way they can return my skull to normal.....Hadi Leo najiuliza kwa nn skufa.... God is love.....
Hiyo si ajali. Mapenzi yangu kwako ni mpango wa Mungu.Aah ajali yangu ya kwanza hii
Hiyo si ajali. Mapenzi yangu kwako ni mpango wa Mungu.
Inasikitisha poleni Ila nimecheka sana26/12/2014 jion samojaa kasoro moshi 2arusha tumetoka kulaa skukuu tupo na korola familia ya wanaume 4 na mwanamke mmoja mchepu wa mmoja wetu. Me nmekamatia steling wengine wamekamatia kata za kitu pendwa cha moshi, tumekaribia kia sasa magari simengi mchepu wenyewe umetoroka kwao. Imagine unapigiwa cm kwao unasema upo round about ya kijenge afu kwao ninjiro na sisi ndo hataa KIA hatujafikaa. Ile jam jam yamagari ikatokea jamaa aliyeko mbele yangu anaprimio new model akatanua kihere changu name nikafuata shughuli ikaanzia hapoo. Nkakanyagaa zutu weee nkicheki kushoto magari mengi yako spid sioni hata gap lakujichomeka nikajipa moyo tuu. Bahati Nzuri walevi wangu nao wakakaa kimya tuu yule waprimio akajitahid akamaliza msururu kama gari nane hivii kama sikosei akarud kushoto. Nikabaki mimi pakuchomeka cpaoni gari pulling hainaa nkasema hapaa nimekwisha. Nikakazaa nikabakiza fuso sasa ndo lamwisho honiii nyingi hataa nihurumiwe nipate kagap wap ghaflaa kuna escudo inakujaa mbelee nikasemaa tumeishaa sasaa jamaa anaekuja namuwashia taa japo atanue kidogo nipenye ndo kwanza kaweka gari yake katikat ya chaki na taaa kawasha fulu. Kucheki kushoto niko usawa wa tairi lambele la fuso nikawaza nikibana kushoto tumeisha nikasema ngoja nimkazie anaekujaa atapisha chaaaaa!!!!! Jamaaa kakomaaa kitendo chakufumba macho nakufumbua huyu hapaa sikuweza kuangalia fuso tenaa ila nadhan alituhurumia akapunguza mwendo. Jamaa wa escudo nikapindisha usukan kichele tuu alivyopita na huo ubavu nakwakuwa nilikata kushoto gari ikavuta upande kuirudisha kuliaa tairi ya nyuma kushoto ikaliaa gari ikatoka nje ya bara baraa nikajaribu kushika brake ikanyanyuka upande nikaachia,nikagusa zutu kidogo ile fuso ikasimama na msururu wote nao ukapaki wanatizama kitakachojiri waje kuokota mizoga ya binadamu. Namshukuru MUNGU mpaka Leo kwa anaepajua lile eneo la kia kwa nyuma kuko tambarare kiasi na hakuna miti wala ngema yoyote nikacheza nayo nikairudisha lami nikasimama pembeni ya bara baraa. Ile mawenge tukashuka wote tunalikimbia gari tumeloa mbegee vumbi lakutoshaa. Watu wanashangaa tumeponaje yule wa escudo hatukumuona tena. Tukabadil tairi tukaendelea tukapita KIA salama hapoo me nimegoma kuendesha akachukua mwenzangu nae alikuwa yuko mafuta kidogo kichwani. Ndo tunaanza panda kamlima cha pale katiti gari ikapoteza nguvu mwisho ikazima. Tukahangaika bila kujua kumbe kwenye purukushani ya mwazo kulitoboka uko chin oil ikaisha na gari ilikuwa ingine imechemka na maji yaliisha mawenge yetu tukajua rejeta ndo imezingua tukaijaza mbegee piga start kitu ikanock ingine kilichofuata kuomba msaada kutoka town wakuvutwa. ishaingia sanne kasoro ucku Magar hayasimami ovyo kuofia wakora. Wakaja washkaji na rvr kutuvuta shughuli ingine ikaanzia hapo kwanza wamelewa wanatuvuta sisi wanakimbiaa balaa na wana over take ni ucku gari yetu inategemea hand brake ndo isimame yan pombe zilikata zote. Kufika usa kidogo tuvae daraja kuchezesha gari yetu inayovutwa tari ya nyuma kushoto ikajibamiza kwenye kingo za daraja na kamba ikakatikaa wanao tuvuta hawajua wanatembea tuu. Tukawapigia cm wakapiga cha nyoro kutufuata kumbe ile tairi ilojibamiza rim ikapinda ikawa inatoa upepo kichele bwanaa wee walev wanaotuvuta wakasema tufunge kamba shala shalaa tuwahi tufike mjini kablaa haijaisha upepo mziki ukaanzaa tenaa satano unusu tunaingiza gari gerij sakina tumechoka. Sitokaa nisahu nilikaa mwezi siwez kuendesha gari na mpaka Leo niko na heshima na gari bora niendeshwe
Pole sanaAjali njia ya MSATA bagamoyo karibia kabisa na geti la maliasili SAA NNE usiku, nikielekea Dar, kwenye zile daraja zisizo na kingo niliona kabisa daraja linahama na katika kulikwepa .......ne next moment nilijikuta chini ya daraja gari ikiwa imegeuka juu chini
Nilitoka mzima bila jeraha kutokana na aina ya gari niliyokuwa nayo... Ingekuwa mjep sijui kama ningesalimika
Ilikuwa 2013 siku masaa machache kabla ya IDD
Ni siku ambayo asubuhi yake kuna NOAH ilipata ajali njia hiyohiyo na kuondoka na roho nane hapohapo
I av this thng for models nkikuona huwa nashindwa hata kuongeaMbona hukunihadithia sasa?!
Tatizo hupendi kukisikia kilio changuHahaah kwa kubadilisha maneno haujambo
Mungu ana mipango na maisha yako mshukuru amekupa kilema cha jicho ila kuna wengine walikatika mikono wamepata strock ila wanamshukuru Mungu kwa uhaiTarehe 24.12.2014 Niko na shynrey yangu nafuata kuku wa kufuga sibwesa barabara ya kwenda Karema, nashuka kigongo napandisha, Mara kabinti kanaendesha baiskeli kako upande wa kulia kwangu, kwa mwendo 80 km/h nikataka kupita kushoto kwangu... Duuuuuuu nafika nakenyewe kakahama kuja left....... Paaaaaaaaa.... Ajali mbaya sana, suruali ikawa kaptula upande mmoja, binti anajaribu kuinuka anaanguka..... Watu wanaanza kujaaa... Nikajua wataniua... Nikajaribu kutoroka Kwa pkpk, tairi la mbele nimenasa kwenye shokapu.... Nasukuma pkpk had nyumba iliyokuwa jirani na barabara, upande wa kushoto jicho halioni Kwa uvimbe na tayari na la kulia linaanza kufunga... Napata lift had district hospital..... Nalazwa ck 3 na Baada ya uvimbe kuisha nagundua jicho la kushoto limekuwa dogo kutokana na mbonyeo wa fuvu left side.... Duuuuuuu kweli hujafa hujaumbika... Nilikuwa nikiuona muonekano wangu Mpya Nashindwa kuelewa how will I stand in front of my students.... Safari had Ikonda hospital Dr akanambia no way they can return my skull to normal.....Hadi Leo najiuliza kwa nn skufa.... God is love.....
Loh upo? Long time no see you bestPole sana
Mkuu ulivyotoka mkoani kuja Dar hukuwa na mwejeji?mkuu sintosahau siku nilipo kuja dar kwa mara ya kwanza barabara ya mandela road nilipogogwa na gari nikapoteza mguu wangu mmoja daaah kwa kweli sintosahau .