Mkuu acha tu umeni kumbushs mbali ilifika muda safari za kwenda chanika na kisarawe sitaki kusikia kabisa huko gar zina kimbia sana...nakumbuka mwaka 2015 mwezi wa sita nimetoka zangu chanika (geto) naenda safari msanga chole huko kisarawe mbelembele umapita kijiji cha masaki alipozikwa marehemu mzee ngurumo,safari yenyeww ilikuwa ya kushtukiza tu maana ex wangu alifanya kunipigia simu alaniambia niende huko msanga chole kwa kuwa çhanika na kisarawe jirano safari niliona rahisi basi nikafika kisarawe mwisho picha lina anza gar za kwenda huko zimechoka sana ni kama gari zilienda kupelek askar wetu vita ya kageta uganda ,ukikaa kwenye siti nauli buku nane ukisimama nauli buku tano kwa bahati mbaya nilikosa siti nikaishia kusimama safari ikaenda,asili ya kule ni kona na milima sasa gar ikawa ina changanya mwendo kwenye kona kona aseeee break zika feli na starling ika katika nimesimama nikaiona gari ina poteza mwendo siku paniki nikatulia ila malaika mtoa rohooo nilikuwa na mwona maana gari ina acha njia kwenda kuanguka ghafla gari ikapinduka sikumbuki nguvu nilipata wapi za kupita dirishani baada ya kutua mguu nilikuwa nimeumia watu wengi walifariki kwa ajir ya mshituko eneo tulipata ajar mzee wa pale asbh alikuwa na nauli pungufu konda na dereva waka mzuia kwenda aka wambia mtarud tu hapa hivyo tulivy pata ajar mzde akaja akasema nilikwambia mtarud tu maana tulikuwa tunatak jembe kufukua gari isimame tulikaaa masaa 5 kusubir gar jingine