naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Nipo rafiki, shughuli nyingiLoh upo? Long time no see you best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo rafiki, shughuli nyingiLoh upo? Long time no see you best
Fikiria maisha ya wengine mkuu!Nakumbuka miaka ya 2005 natokea babati naenda tarangire nilikuwa nimelewa sana nasukuma PUMA TD6 mvua ya hatar kuna vikona havieleweki hapo kati wanapaita kona S hahahah nikakutana na nusu mkate ka RAJU wahind flan waliokuwa na magari ya usafir babati, Jamaa akanibana kaganda katikati ya bara bara mbuuuuuula nakujakustuka naona naserereka pombe ikakata kwa muda mungu bariki tuligonga ngema ila Raju bofla kalianguka kabisa,
Ila sikomi napiga pombe na kuendesha ila tokea ile ajali nimekuwa makini sana nikilewa hata vipi wewe niweke tu kwenye staring nafika kabisa sema kushuka ndio kitendawili sasa
Unideep cm niliporwa na wenye nguvuNipo rafiki, shughuli nyingi
MuongoNakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani
Pole sana rafiki nitafanya hivyoUnideep cm niliporwa na wenye nguvu
Poleee mzeee. Lakini darajaa linahama ulikuwa ushafanya uchenjuaji wangano au ulipigwa mambo ya ozanga na nefunefuu!!!! Yani daraja linahama kabisaa???
Nakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani
Pole sana mkuumkuu sintosahau siku nilipo kuja dar kwa mara ya kwanza barabara ya mandela road nilipogogwa na gari nikapoteza mguu wangu mmoja daaah kwa kweli sintosahau .
Kusemaa vyaukwelii pombee na garii tenaa spid safari ndefuu haifaii. Niwatuu wanajikutagaa manunda et nikilewa nakuwa makini [emoji23][emoji23][emoji23]unakuwa makini kablaa haijachanganyaa lakini ikikufikaa hapaa ujue umeishaa.nimepata ajali nyingi ikiwemo za pikipiki na sababu kubwa ni ulevi!ila ajali iliyonitia akili ni mwaka huu siku ya juma3 ya pasaka niko na mshkaji wangu tumelewa ile chapachapa baada ya kuendeleza gambe toka pasaka!tuko na haria kufika sehemu flani ilikuwa mida ya saa 8 mchana jamaa alikosa kumgonga mtu wa bodaboda mi sikuwa na habari ya chochote wakati huo nimelala kwenye siti wale bodaboda wakaanza kufkuza gari huku wamebeba mawe ili wavunje vioo jamaa wangu akapata wenge na zile akaweka mafuta ya kutosha ilikuwa spidi 130 hivi kwa mbele kuna gari inaingia upande wa kulia yaani basi tukaigonga ile gari kishindo ndo kikanishtua usingizini nikaona gari imepaa mara miti inazunguka huku kurudi naona mawingu juu angani na sikuwa nimefunga belt.nikawa naskia kelele watu wanasema itakuwa wamekufa hawa,nilivyoskia hvyo nikasema embu niinuke nijue km nimekufa nikajiona mzima nikamvuta mshkaji miguu hadi nje akaamka tukaondoka eneo la tukio tukaenda baa ya jirani tukaendelea kunywa hadi askari walivyotufata tukalala nondo.ila mungu mkubwa hatukupata hata skrechi na gari ilipinduka zaid ya x7 gari hakuna fundi amesema itafaa tena hata irudishwe japan ni skrepa tu
Poleee manmkuu sintosahau siku nilipo kuja dar kwa mara ya kwanza barabara ya mandela road nilipogogwa na gari nikapoteza mguu wangu mmoja daaah kwa kweli sintosahau .