Tuliowahi kupata ajali na kunusurika tukutane hapa

Mm nimeshauriwa nimrudie Mungu kiukamilifu....ajari nimepata nyingi sana tangu mwaka juzi...ila cha ajabu mm nimesalimika zote. Dom ajari mbili, Arusha 1, Mara ajali 1, Moro ajali 1, Singida ajari 1. Kila siku nashauriwa nikae kwa Mungu na nipunguze kusafiri
 
Mimi naisikiaga ajali tu kwenye TV!!!
Sijawai pata ajali serious ya kumkwaruza mtu...
Nashukuru Mungu.
Poleni kwa waliopata ajali, ila namshukuru Mungu kwa kuwaponya na kuwapa nafasi ya kushuhudia leo!
 
Fikiria maisha ya wengine mkuu!
Kuendesha ukiwa umelewa ni hatari sana
 
Nakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani
Muongo
 
Ajali Zote Huwa Natoka Mzima Niliingia Mtaroni Na Ist Nikawakosa Kosa Wauza Matunda Wanaopanga Pembeni Mwa Barabara Ya Pili Suzuki Carry Ilifeli Brake Nimkosa Bibi Wa Watu Nikaparamia Mawe Ya Tatu Pikipiki Ilinishinda Kuiongoza Nikawakosa Wanywa Kahawa Nikaparamia Mitungi Ya Ges Dukani Kwa Mangi Ya Tatu Toyota Carina Nataka Kuondoka Kwenye Makutano Watoto Wamejibeba Kwenye Bike Wakajaa Mlangoni Ila Hawakuumia Hata Kidogo Nilishawahi Kuzama Na Mtumbwi Ila Wote Tulitoka Salama Mungu Mkubwa
 
Poleee mzeee. Lakini darajaa linahama ulikuwa ushafanya uchenjuaji wangano au ulipigwa mambo ya ozanga na nefunefuu!!!! Yani daraja linahama kabisaa???

Hahahahaaa., nimecheka sana hiyo sentensi.
 
Nakumbuka mwaka jana mwezi wa saba natoka dar na CITY BOY tulipokaribia manyoni basi likagongana uso kwa uso na CITY BOY ya kutoka mwanza zaidi ya watu 30 walipoteza maisha nashudia Mungu saidia skuumia hata kidogo.sitaisahau sku hyo maishani

Duh, pole sana na ninaamini ulifanya ibada ya shukrani. Ajali ile ilikuwa kati ya ajali mbaya sana kupata kutokea.
 
Kusemaa vyaukwelii pombee na garii tenaa spid safari ndefuu haifaii. Niwatuu wanajikutagaa manunda et nikilewa nakuwa makini [emoji23][emoji23][emoji23]unakuwa makini kablaa haijachanganyaa lakini ikikufikaa hapaa ujue umeishaa.

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…