Alhamdullilah, Ni jambo jema sana.Hakika Mungu Yupo Na Ni Mwema Sanaa.
Katuvusha na vikwazo vingi mpaka sasa tunaishi jina lake litukuzwe yeye Pekee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alhamdullilah, Ni jambo jema sana.Hakika Mungu Yupo Na Ni Mwema Sanaa.
Katuvusha na vikwazo vingi mpaka sasa tunaishi jina lake litukuzwe yeye Pekee.
:-* ahsante mkuumie nilijisemea bora udead mazima kuliko kusikilizia yale maumiv aic,pole
l
Bado uko nae?Ajali nyngne boyfriend wng alipata 2012 alitoka club ananifata mimi nipo sinza katokea posta na kalewa basi mie nampelekesha bwana mie narudi nyumbani kama hutaki kuja yani nikikaa dk 2 sim dk 2 sim jamaa katoka posta mkuku na gari ananiwahi mie bwana we kufika kijitonyama akala mzinga uso kwa uso sasa nimekaa kama 1 hour mtu hafiki napiga sim ipo busy kutwa kumbe yupo hospital mwananyamala wanahangaika kupiga sim yake no yangu hao wasamalia wema ndo kupiga tena nikampata kuongea nao wananiambia jamaa yko kapata mzinga knyama njoo mwananyamala hospital yani sikuamini nikamkuta kapasuka kichwani alishonwa nyuzi kama 10 uso umeumuka madamu kibao nusu nizimie nililia jamani nilikua nimekunywa bia5 zote ziliruka aisee ajali iskie tu
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenHakika Mungu Yupo Na Ni Mwema Sanaa.
Katuvusha na vikwazo vingi mpaka sasa tunaishi jina lake litukuzwe yeye Pekee.
Pole mkuu, vp uliendelea na shughuli za majini.Mimi bado, ila nimewahi kunusurika kufa,nilizama ziwani toka siku hiyo mpaka sasa ni zaidi ya miaka 20 ila naogopa sana maji
Pole mkuu, vp uliendelea na shughuli za majini.
dah iliondoka na ndinga mkuu😭😭😭2017 igunga. Mimi na mdogo wangu. Ila hatukutoka hata na mchubuko mmoja. Tuligongana na semi.View attachment 1426858View attachment 1426859
Sent using Jamii Forums mobile app
ya gari mkuu???Baiskeli na gari.
Hii ya baiskeli nilishaandika humu...
Hahhahhaa...sijui kwanini nimecheka😅😅😅Baiskeli na gari.
Hii ya baiskeli nilishaandika humu...