captain dunga
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 282
- 634
Safi kabisa, umeona vyemaVitu Vikubwa nilivyojifunza kwenye huu uzi..
1.Ni bora usiwe na hela kabisa kuliko kupata ukiwa hauna wazo la biashara.
2.Ogopa Pombe na mademu + marafiki wa ghafla ukipata hela..
3.Assets ndiyo mtunzaji mzuri wa hela kuliko bank..
Mkuu ng'ombe walikamatwa, watu wa wilayani wakaja kufanya evaluation nilipwe, hapo figisu zikaanza mizunguko kibao nikaamua niachane naoDooooh mkuu una moyo, mim ningechukua hao ng'ombe wa mang'ati... Mkuu labda kilimo kimekukataa acha tu
Amina kaka,tunajaribu kukumbushana sisi hapa jukwaani ni kama ndugu japo hatujuani ila kushauriana ni muhimu.Asante kwa ushauri mkuu..
Mungu akubaliki sana..
Maneno mazito sana haya..
Ahsante Mkuu, Ila unapowasoma wahusika na matukio mbalimbali yaliyowatokea ni exprience nzuri kuliko mawazo ya mtu mmoja yaliyowekwa kwenye kitabu,Mwandishi anaweza asipate exprience tofauti tofauti kama Live exprience toka kwa wahusika, Hii inavutia sana na wasio na uwezo wa kununua vitabu wanajifunza kwa gharama nafuu na uhalisia sana, wengi wamekuwa sio wachoyo kwenye kufunguka.Tafuta kitabu kinachoitwa ''The anatomy of failure'' cha Praise George. Utajifunza mengi sana mle. Soma piakingine cha The Law of Success by Napoleon.
Utagundua why people fail.
Hakika wewe ni mpambanaji, Nimeikubali spirit uliyonayo katika kupambana, unaweza kufanya chochote kikafanikiwa kwa kuwa hali yako ni juu sana, HONGERA.Kiukwel leo naweza kwenda popote,muda wwte,naweza kula cchte,naweza nunua ving ambavyo watu wanataman kua navyo,wala sitok jasho,nilale,niamke hela napata tu,japo uchum umebadilika lakin siwez kushindwa kuyamudu maisha kwa hali yyte kwa sasa,na mwaka jana nilitaka kujenga shule ya awali mpk sekondar sema kuna ukiritimba flan nikakutana nao nikaghairi. So anaefilisika usimcheke hata siku moja maana anauwezo wa kurud barabarani na akafanikiwa zaid.
Pole, hilo ni funzo kubwa sana naamini sasa hivi utakuwa ni mwalimu mzuri kwa wenzakoMiaka 3 iliyopita nililima eka 40 za mpunga na 30 za mahindi nilipokuja kuuza mazao niliingiza faida ya mil 55 ukitoa na pesa ya mtaji.
Leo tar 1 nina laki moja tu..wanawake sio viumbe vya mchezo na kazi nimefukuzwa..niliowasaidia wamenitupa.
Nimejifunza mistake zote nilizofanya ila nikikumbuka naumia mno..kwa vile nina nguvu sina ulemavu naendelea kupambana.
Nimerudi home kwa wazazi maana hali ni tete ninaweza kuwa tahaira
Tufahamishe zaidi ndugu maana Forex inawafuasi wengi na kuna uzi humu wa hiyo forex.. elezea kiurefutupa pesa kwenye forex daah pesa zoooote kwishney sijakata tamaa ntarudi tena
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tufahamishe zaidi ndugu maana Forex inawafuasi wengi na kuna uzi humu wa hiyo forex.. elezea kiurefu
Hahahahahahah nimejifunza nidhamu hii baada ya kupoteza mtaji wangu wote wa mchele.Siku za hivi karibuni nilipata pesa nyingi sanaaaa....ila nilichojifunza ni kuwa na discipline ya matumizi. Matumizi yasizidi kipato. Bora ushinde njaa siku moja ila usile pesa ya mtaji.