Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Shikilia hapo hapo Mzee .....
 
Huwa tunaziloga kwanza
 
zilienda huku[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mnamo 2019 SEP hadi2020july,nilipoteza zaidi ya milioni12,nilizokopa kutoka Ajira yaserikali nikatia katika kilimo cha ufuta naununuzi waufuta,hakika nilifeli Sana kutokana namvua kunyesha sana napia kulipia garmaa zauendeshaji napia ununuzi WA ufuta kwanjia ya kangomba bei zilikuja chini,Hadi sahizi KAZI niliyonayo naioma chungu kutokana namakato ya Benki,naishi kikachelo Tu kwakubangaiza maisha ghali,majukumu yameongezeka yakifamilia hela nayoipata Kwa mwezi haikidhi mahitaji.
 
Hii comment yako mkuu, imehamasisha wengi. Shukrani sana
 
Pole sana brother, hakuna mapambano marahisi katika kujikomboa na umaskini.
Kuanguka na kuinuka ni kwingi sana , wakati utakuja wa kuinuka tena
 
[emoji38][emoji38][emoji38] mkuu bhana
 
[emoji2][emoji2]
 
Na yawezekana pia na mshahara utakua unaingia lakini unakua diverted, atafute mwanasheria amsaidie
Mi sijasomea Sheria nachojua kama hawajakupa termination letter means wanakutambua kama mfanyakazi wao pengine ukipata mtu anaejua Sheria anaweza kukupa abc za kupata haki yako. Kila la heri mkuu
 
Malinda yapo kwel
 
Asante kwa funzo mkuu
 
Kwakweli ukifilisika Akili inakukaa Sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…