Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Anzisha kampuni(LLC).
Hiki ni kitu unachotakiwa kuwa nacho kama wewe ni mtu wa biashara.
Always uwe ume-register kampuni BRELA.
Mkuu toa darasa kidogo nini umuhimu wa kuendesha biashara kama kampuni, je mtaji unapaswa kuwa kiasi gani ili kufungua biashara, mtu ana salon anaweza kuiendesha kama kampuni?
 
Pole mkuu
Hebu elezea ilikuwaje ukafilisika?
 
Wazo bora, ila hapo kwenye acc ya fixed mimi ningeshauri liquid fund ya utt.
 
Pole sana
 
Aisee kuna mwanawake wakuoa!
 
Mi sister angu aaah alikua anahongwa hadi mil 50, mil 20, mil kumi......Kuna rfk ake na Ridhiwani Mzungu mmja hiv kam spoil sana sister sir tupo tunatoa mimacho tu.....eeh ukimuona sa hv sister angu yani sio yule R Dangote yani hata ukimwambia ccy twende ukanispoil anakwambia mdg angu sina ubavu huo

Mim kuhongwa pesa kubwa kabisa ni mil 5 nkahongwa mara ya pili tena mil 3 nkaongezea nkafungua biashara siku ya siku nliibiwa kila kitu dukani nlikua chizi fresh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…