Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

Hapo ilikosa kitu kimoja tu,Nidhamu ya Pesa🥱.Hapo ilikuwa bahati mbaya zaidi kama ulikuwa Ntu ya Zotoz au Ntu ya Gilasi🏃🏃
 
Kelsea njoo huku uone kuwa tako mtaji watu wanahongwa hadi mil 50
 
Mkuu toa darasa kidogo nini umuhimu wa kuendesha biashara kama kampuni, je mtaji unapaswa kuwa kiasi gani ili kufungua biashara, mtu ana salon anaweza kuiendesha kama kampuni?
Mtaji wowote, Ili mradi uwe na shareholder. Unaweza kumpa mtu asilimia 3% baba au mama.
LLC ni body corporate kwa hiyo itashitaki na kushitakiwa, itaweza kukopeshwa na benki.
Itakuwa na akaunti yake, TIN namba yake.
Itakuwa na assets zake na liabilities zake.
Muhimu zaidi itatofautisha kati ya wewe na biashara zako. Huu ndiyo mwanzo wa heshims ya matumizi ya hela.
Ukiwa na hela nyingi kiasi, kopa na uendeshe biashara yako kwa kutumia mkopo wa benki.
Ndiyo matajiri wanachofanya. Kopa benki, kwa kutumia LLC.
Itakusaidia kwenye Kodi. Loans don't get taxed.
 
Kuongwa Mali zingine siyo za kupokeaa utaishiaa kudhalilika tu unaongwa milion 59 ssiter ako rinda lake liko salama kweli samahani lkn kwa lugha hyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…