neysima
Member
- Oct 23, 2019
- 18
- 26
hahhahhahha jaman maisha haya, baada ya kulewa nini kilifataDah..... Shimo lilitema...nikakamata kama 500m....nikazunguka dunia nzima.... Siku nashuka JNIA najikuta Nina $75 tu....nikaona nikalewe tu[emoji87]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahhahhahha jaman maisha haya, baada ya kulewa nini kilifataDah..... Shimo lilitema...nikakamata kama 500m....nikazunguka dunia nzima.... Siku nashuka JNIA najikuta Nina $75 tu....nikaona nikalewe tu[emoji87]
Ungekua mwanangu sijui ningekufanyaje[emoji848]Nilipewa kama zawadi na Mother, nianzishe firm yangu ya mambo ya Upimaji ardhi, nilinunua baadhi ya vifaa tu (kama 3 M) nikabaki na 26M, kilichomaliza hela ni 'kuhonga ' madem wa tegeta, mbezi beach, kawe,ubungo,nakumbuka Kuna demu nilimnunulia passo 5 M, na mambo mengine ya kuhonga honga na statrue nyingine hadi 26M ikaisha, nikauza vifaa vya survey vyote
ikaisha yote (3m).
Vitu Vikubwa nilivyojifunza kwenye huu uzi..
1.Ni bora usiwe na hela kabisa kuliko kupata ukiwa hauna wazo la biashara.
2.Ogopa Pombe na mademu + marafiki wa ghafla ukipata hela..
3.Assets ndiyo mtunzaji mzuri wa hela kuliko bank..
Mbona niloweza kipindi kile 2005-7Ujerumani pagumu ndugu@KANYEGELO,
Mbona niloweza kipindi kile 2005-7
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hufai kufarijiwa kbs aisee...hv mnazuzuka nn kuhonga gari??yaan bora ungemfungulia biashara ila iwe yako lakini usimamiz na ww unakuwepo..akizengua unamfukuza mapemaaa!mtu wa kumnunulia gari ni wife tu!..ww hufai ht kubenbelezwa jibembeleze mwenyewe
Ungekua mwanangu sijui ningekufanyaje[emoji848]
hahahahMimi nikiwa na pesa huwa nafilisika ila zikiisha basi sifilisiki tena hadi nipate nyingine ndipo nifilisike tena na tena!
Wewe uliwahi kufilisika ukiwa huna pesa?hahahah
Trector lipo vizuri kwenye kuingiza kipato ila kwa mimi la kwangu nalitumia msimu tu wa kilimo ni berlaus kutoka urusi mashine ya kazi ,NIPO MAENEO YA WILAYA YA BUSEGA MKOA WA SIMIYUMkuu pole
Tractor vipi kwenye kuingiza kipato?
Ulikuwa maeneo gani@KANYEGELO,
Tractor lenyewe ndio hili....limebaki kama ukumbusho wa pesa nilizojichanga kutoka nazo ujerumaniMkuu pole
Tractor vipi kwenye kuingiza kipato?
Ulikuwa maeneo gani@KANYEGELO,
Ngoja ufilisike km kukuMimi nikiwa na pesa huwa nafilisika ila zikiisha basi sifilisiki tena hadi nipate nyingine ndipo nifilisike tena na tena!
hujambo
Free basicHela ya bando umetoa wapi?
Umevaa viatu?