Daaah hapo lazima shemu yako ndio anamlazimisha sister achukulie kiwanja chenu tuDadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi,hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
Kiwanja kina hati?Wenzetu mikopo mnapataje sie tuna mashamba ya urithi lakini tunaambiwa hatukopesheki
Aisee mkuu daahBhana eee nilikopa 15m, nikanunua Bati na kulipa fundi hela ikaisha, nikasota miaka 4 kurudisha, nikivyomjinga si nikakopa tana baada ya miaka 4 kuisha huku nikihaidiwa kusaidia kulipa mkopo, mbona na henya mwenyewe!
Cha ajabu Sasa nikakopa tena 3m kutoka kwa ndugu yangu niliyemwambia ntarejesha mwaka ujao kabla ya March ha ha ha ha ..Sina hela na nyumba haijaisha!
nyie haya maisha daah nakonda peke yangu
Ndio kina hatiKiwanja kina hati?
HahahahMimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Hata mimi naunga mkono mkopo wa kuendeleza biasharaJe tukichukua kuendeleza biashara na si kuanzisha kama uliyosema hii imekaaje?
Rejesho la kuanzia milioni kwa mwezi ni kwa wababe wachache kama wewe. Komaa tu utalipa.Milioni moja na Laki 5 kiongozi miezi 12
Milioni 5.8 kwa mwezi parefu kinyama. Anyway, inategemea na biashara pia.Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Mkopo hauna chama.
Pole zigo la nnya Hilo nduguDadangu anafosi nimwandikie barua ya mkopo,
Anakopea kiwanja cha urithi,hii ni mali yetu mimi na yeye....hii pesa nina wasiwasi hatarudisha.
Naandika kesho kuepuka lawama ila najua ili deni nitalipa mimi dadeki.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nina mkopo wa milioni 14 hapa,biashara zinaenda mwendo wa kobe bank wanavyopiga simu soon nitakimbilia Burundi [emoji276]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mimi mkopo ulichonifanya sitokaa nikope milele mpk naingia kaburin
Nitaridhika na ninachopata
Bora sahiz nasave hela naiona aisee
Mkopo ulikuwa unifirisi kabisa
Ila afsa mkopo ni mbwa hawana huruma
Rejesho mil 5.8 kwa mwez halaf sikuwa mzoefu wa mikopo hata kunishaur nisogeze mbele mkopo ilo marejesho yapungue wakashindwa wakaniacha nakufa na tai shingon mbwa wale sitowasahau kamwe
Kuna kikampuni hapo dodoma kinakopesha kwa dhamana ya kiwanja, chombo cha moto, ama nyumba, muhimu uwe mmiriki halali, watafute hao, uwapige hela, ukishindwa kurudisha wanachukua chako kinakuwa chao, unakuwa kama umeuza mali na kupata pesa...THE DEAL DONE, hivyo ndivyo maharamia tulifanya biashara bila kuhangaika na wateja[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mimi nataka kukopa lakini sina biashara bali nina nyumba yenye HATI safi Dodoma,sasa kama kuna Mfanyabiashara anayekopesheka anahitaji kukopa Bank lakini hana dhamana mimi ninayo aje inbox tuyajenge,Nyumba ipo Dodoma Mjini,thamani ya Nyumba ni zaidi ya Milioni 50 na ni Nyumba mpya,karibuni
Tutahakikisha kabla hujakimbilia burundi basi utakimbilia gerezan ukiwa umelipa deni letu kwa 99%[emoji16][emoji16]Nina mkopo wa milioni 14 hapa,biashara zinaenda mwendo wa kobe bank wanavyopiga simu soon nitakimbilia Burundi [emoji276]