Muda huu naenda kukamata nyumba ya mtu na mnada juu, yule mama lazima aniroge yaani.analia anasema ninvumilie ana misiba mitatu, sijui nani kafa, lakini ashapewa notice muda mrefu sana na mnunuzi ninae tiyari na ninaambiwa ni mchawi.[emoji1787]
Mwingine lazima nimuondowe pale maana sio kwa kiburi kile hataki kutoka kwa hiari, mama yake ni mzee sana nilienda nikamuelezea kuhusu majanga ya mwanae, cha ajabu yule bibi ni mzeee sana ila ati alikuwa mganga juzi niliona kwenye ndoto wamenitumia nyota nyiiingi naziona kwenye kona ya chumba nikaanza kukemea. Moyo ulienda mbio nikasali sana
Hii mikopo hii kuuza lazima niuze.