Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

Tuliowahi kutuma SMS kimakosa kisha zikatutia aibu na kashikashi tuje hapa

Dah Mimi ilinipata hi niliitwa na jamaa Sasa nikawaza natokaje home nikamzuga baba angu mdogo (Marika yetu yalikuwa sawa) nikamwambia twende nisindikize ntakutoa

Sasa tukarudi late mzee keshafunga mlango bamdogo akagonga mzee akafungua akawaka kidogo Sana na hakuwa na wasi wasi kwakuwa nilikuwa na bamdogo
Sasa nikawa naandika massage kumtumia jamaa kumshukuru kwa muda mzuri tuliokuwa nao na kumweleza jinsi bamdogo alivyouwa Soo ile massage ikaenda kwa baba arooooo kilichotokea Siri yangu
 
mi nakumbuka nilipambana kutoa betrii nikasahau simu hata haina mfuniko,
batan ya power nayo haishikikiiii, msg icon n km inaterezaa, sijakaa vizur naambiwa msg derivered,
nilichofanya ni kuendelea kujichatisha maneno km yale yalee,
halaf mwishoni nikamwambia...
'nijibu haraka hamna umeme nimeomba tuu simu nikaweka laini kwa rafk yangu hapa anataka aichukue'.

Ujinga mwingne ni wasap, ile ku set popup msg, unatype unamjib huyu kwenye ku send ishaingia nyingnee inaungaaaa,
haya mambo hayaaa banaa, waweza umuombe dingi yako papuchuu, tena unafanya kumbembelezaa, unamwambia usiogopeee hawatajuaaa, nitakununulia chipsi na gauni, aloooo hio kesi hata hakimu haingilii, umnunulie dingi yako chipsi na gauni?

usiombee uwe unasubiria akutumie ada au pocket money, alooo mpk aje kukuelewa ushakula vyakula vyote vya mifugo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23]hii umetungaa

Serious man, yani nimerudi home nimekaa dining kuna sms ya wife ilichelewa kufika so ikafika wakati nipo pale mezani....wakati namtumia sms mtoto Nasra kumbe namwandikia wife ile nakuja kushtuka nishaisend...halaf ilikua sms ya kawaida hata kudelete huwezi
 
Sorry nje ya mada kidogo ila scenario zinafanana sana, jamaa yangu 1 ana mambo mengi sana kama unga wa ngano.. juzi kati niilimuomba ile video ya bi dada Meny,, hasa badala anitumie inbox kumbe anaipost status (afu kideo yenyewe ndo ile bi dada anakatikia mkunyenge) jamaa kaipost watu wana i view mwana hana hata habari anashangaa simu ya mzee wake inaingia si muda bi mkubwa wake nae kampigia.. Sms za ndugu zake ma aunt, wajomba ndio usipime.. Mwana alienda chooni kuharisha ghafla aka delete acc ya whatsapp huko huko toilet
 
Sorry nje ya mada kidogo ila scenario zinafanana sana, jamaa yangu 1 ana mambo mengi sana kama unga wa ngano.. juzi kati niilimuomba ile video ya bi dada Meny,, hasa badala anitumie inbox kumbe anaipost status (afu kideo yenyewe ndo ile bi dada anakatikia mkunyenge) jamaa kaipost watu wana i view mwana hana hata habari anashangaa simu ya mzee wake inaingia si muda bi mkubwa wake nae kampigia.. Sms za ndugu zake ma aunt, wajomba ndio usipime.. Mwana alienda chooni kuharisha ghafla aka delete acc ya whatsapp huko huko toilet
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii noma aisee

Daaaah aibu lake si mchezo. Ilo kama ni mimi ningewekwa na kikao
Sorry nje ya mada kidogo ila scenario zinafanana sana, jamaa yangu 1 ana mambo mengi sana kama unga wa ngano.. juzi kati niilimuomba ile video ya bi dada Meny,, hasa badala anitumie inbox kumbe anaipost status (afu kideo yenyewe ndo ile bi dada anakatikia mkunyenge) jamaa kaipost watu wana i view mwana hana hata habari anashangaa simu ya mzee wake inaingia si muda bi mkubwa wake nae kampigia.. Sms za ndugu zake ma aunt, wajomba ndio usipime.. Mwana alienda chooni kuharisha ghafla aka delete acc ya whatsapp huko huko toilet
 
Nakumbuka ilikua niko chuo mwaka wa pili, nilikua na appointment na demu ili niwe nawe faragha usiku huo. Sasa niliaga nyumbani kua naenda kumsalimia rafiki yangu anaumwa. Sasa wakati demu yupo njiani ana kuja. Nikamwambia atamikuta stand na nimechukua gest ya jirani na stand. Sasa kutuma nikakosea ikaenda kwa mdogo wangu wa kike na anajua kua niliaga naenda kulala kwa rafiki yangu. Basi ile natoka akanambia kaka safari njema. Daaahh nikabaki nazuga tu, aibu kibao, demu yupo njiani katoka mkoa mwingine kurudi haiwezekani.
 
haya mambo ya kumsave demu "mamy,,,"(tina,happy..or pendo) na mama kumsave "mamy" yalishaniponza...ile nyege zimenishka na mtoto wa watu anamori,,nikaandka, baby uwahi guest leo ntakukunja kama kambale..badala ya kusend kwa mamy tina,,nkasend kwa "mamy" ambae ni mama....asa nashangaa majibu hayaji na haikua smartphone..na huku home nlisem.. naenda church..weee nlichokaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa tupe mrejesho ilikuajee
 
Kuna siku manzi angu alikua anachat na kabishoo kake kanaitwa ka Rahim sijui!!Si akatuma kwangu et"Raheem nakupenda sana naomba usiniumize plz"Nikajua tu uyu boya kazama chakiume,nikamjibu"Duh.!Ilo jina la Raheem umenibatiza lini mamiloo?"akajichekesha kinafiki uku ana vibrate et analipenda tu ilo jina anapenda awe ananiita ivo au tukizaa mtoto tumuite Raheem,Nilichofanya ni kumualika ahudhurie geto anibatize rasmi ilo jina,Nilimhondomola kinyama alaf nikamtema apo apo.
Ilinimutaga hiyo, kuna demu nilikua nina mahusiano nae na nilikua nampenda sanaa, siku akakosea sms ya jamaa yake mwingine akatuma kwangu. Nilichofanya ni kumtafuta kwa namba nyingine nikamwambia nimeibiwa simu, ila nikipiga haipokelewi, ili asijue kua nimeiona sms yake, na yeye wala hakusema kua alikosea sms ilipita kama wiki 2 hiv tukaja kuonana na nina simu ileile, alikua mpoleee na mm wala sikumuuliza
 
Mtakuwa mnaishi uzunguni...
Siku moja tulikua sebuleni tunacheki movie,nilikua mimi,sister angu kanizidi miaka kama miwili hivi alaf na mshua sasa,,Movie yenyewe ni Spartacus kila muda ni sexy scene,,Ile imefikia Scene watu wananyanduana nikamcheki mshua anajifanya haoni eti anaangalia simu yake,kumcheki Dada nae akanicheki mimi uku akinionesha ishara ya kuipeleka movie mbele..Nikamwandikia sms sister kuwa'Mcheki mshua anazuga yuko bize na simu'Asalaaleh.!!kumbe nilikosea nikamtumia Dingilii!!Nashangaa dingi ananikata jicho kali hadi nikaenda kulala.
 
Mwaka 2008 hiyo nipo 6, tulikuwa tunakaa hostel na madogo wa O level humo ndani kulikuwa na makuzi hatari, hiko kipindi Xtreme ndio imepamba moto. Siku hiyo jpili tunasubiri msosi mchana kila mtu yupo dekani kwake, mara kidogo tukamuona mshikaji karuka kutoka juu dekani mpaka chini simu akairusha kitandani

Tukamuuliza vipi!? Akanipa simu niisome hizo texts zake, kuna namba mpya ikawa imeingia hakuitambua.

No mpya: hujambo?
Jamaa; sijambo, habari yako
No mpya; salama za siku
Jamaa; salama
Jamaa; nani mwenzangu?
No mpya; ur mom
Jamaa; hebu kuwa serious, nani wewe!?
No mpya; ur mom
Jamaa; sasa nikusave Ur mom au Mkumer!?


Ikaingia sms inamwambia"Umelaaniwa we mtoto yaani unaniita mimi mama yako Mkum*!!!? Na usirudi nyumbani mbwa we, utafute pa kwenda. Kumbuka hiyo likizo ya Dec ilikuwa inakaribia.
 
Mwaka 2008 hiyo nipo 6, tulikuwa tunakaa hostel na madogo wa O level humo ndani kulikuwa na makuzi hatari, hiko kipindi Xtreme ndio imepamba moto. Siku hiyo jpili tunasubiri msosi mchana kila mtu yupo dekani kwake, mara kidogo tukamuona mshikaji karuka kutoka juu dekani mpaka chini simu akairusha kitandani

Tukamuuliza vipi!? Akanipa simu niisome hizo texts zake, kuna namba mpya ikawa imeingia hakuitambua.

No mpya: hujambo?
Jamaa; sijambo, habari yako
No mpya; salama za siku
Jamaa; salama
Jamaa; nani mwenzangu?
No mpya; ur mom
Jamaa; hebu kuwa serious, nani wewe!?
No mpya; ur mom
Jamaa; sasa nikusave Ur mom au Mkumer!?


Ikaingia sms inamwambia"Umelaaniwa we mtoto yaani unaniita mimi mama yako Mkum*!!!? Na usirudi nyumbani mbwa we, utafute pa kwenda. Kumbuka hiyo likizo ya Dec ilikuwa inakaribia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Goite
 
Hili kosa la kutuma sms kimakosa nahakikisha sitalirudia tena. Nakumbuka niliwahi kumtumia mama yangu mzazi sms ambayo ilikuwa inatakiwa iende kwa demu fulani hivi [emoji23], bahati mbaya ikaenda kwa B. mkubwa. SMS yenyewe ilikuwa ni zile za kulazimisha kuomba show (sex); niliandika SMS yenye maneno mazuri mno, alafu ile sijaangalia vizuri, nikaituma hapohapo ikaandika "sms delivered". Daah! macho yalinitoka balaa. Haikupita dakika mbili mama anapiga simu na alikuwa mtu wa dini kwelikweli; simu inaita jasho linanivuja nawaza nimdanganye nini. Kuna SMS zingine hata kama mzazi anajua mwanangu amekua sasa, lazima zitakutia aibu. Nikapokea simu mama anasema "Mwanangu nini sasa hiki na wewe? Maliza masomo yako ya chuo kwanza, mapenzi yapo tu kila siku , ngono zitakuua baba"

Ile fedheha siwezi kuisahau kabisa.
Dah aise umenichekesha sana!
Pole mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom