Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
jamani kuna uzi wa jamaa kule anaelezea alikuwa anaumwa jino. Nimeona na mimi nielezee jinsi sikio la kulia lilivyochakaza!
Yaani sikio,jino,macho sio vitu vya kuchezea kabisaaa..
Mimi nilikaaa week 2 navumilia tuu. inahitaji moyo bandugu!!
Usiku nilikuwa napanda dirishani, nakaa chini, navua Nguo, navaa tena, naoga hata mara kumi! ila ndo kwanza sikio linachochea! yaani mpaka nilikuwa naimba kwaya, singeli ila wapi!!
usiku nauona una masaa 70 sijui???
Ikabidi nijisalimishe general hospital mwenyewe!
Njiani Dereva bajaji anaendesha taratiibuuuu! nikaona huyu mshenzi ataniuwa! nikakamatia chuma mwenyewe!!
Kufika hospitali nakuta madingi mawili na mtoto mmoja yupo na mamake ..yule mtoto alikuwa analia ila sauti yake ilishakauka! yule dingi mmoja alikuwa kalala chini.. mwingine yupo stoo sijui alikuwa ndo anapooza maumivu!.
Nikapewa dawa niliambiwa kuna kidonda ndani! so kama kawa usiku dozi ikaendelea! Nikawa nachukua mpira nacheza nje usiku! ila wapi!
Mpaka nilipokuja kuwekewa bangi!(msokoto) /(chiga) kwenye sikio...
Huwezi amini hiyo siku iliofuata nilijiona niko uko akhera nikiwa na mabikra 70 na mto wa pombe
Mpaka leo haliumi tena. Kweli bangi ibarikiwe!
Yaani sikio,jino,macho sio vitu vya kuchezea kabisaaa..
Mimi nilikaaa week 2 navumilia tuu. inahitaji moyo bandugu!!
Usiku nilikuwa napanda dirishani, nakaa chini, navua Nguo, navaa tena, naoga hata mara kumi! ila ndo kwanza sikio linachochea! yaani mpaka nilikuwa naimba kwaya, singeli ila wapi!!
usiku nauona una masaa 70 sijui???
Ikabidi nijisalimishe general hospital mwenyewe!
Njiani Dereva bajaji anaendesha taratiibuuuu! nikaona huyu mshenzi ataniuwa! nikakamatia chuma mwenyewe!!
Kufika hospitali nakuta madingi mawili na mtoto mmoja yupo na mamake ..yule mtoto alikuwa analia ila sauti yake ilishakauka! yule dingi mmoja alikuwa kalala chini.. mwingine yupo stoo sijui alikuwa ndo anapooza maumivu!.
Nikapewa dawa niliambiwa kuna kidonda ndani! so kama kawa usiku dozi ikaendelea! Nikawa nachukua mpira nacheza nje usiku! ila wapi!
Mpaka nilipokuja kuwekewa bangi!(msokoto) /(chiga) kwenye sikio...
Huwezi amini hiyo siku iliofuata nilijiona niko uko akhera nikiwa na mabikra 70 na mto wa pombe
Mpaka leo haliumi tena. Kweli bangi ibarikiwe!