Tuliowahi kuumwa sikio/masikio tukutane hapa

Tuliowahi kuumwa sikio/masikio tukutane hapa

Mm majino mawili yanauma kesho naenda kutafuta dawa nimeelekezwa
Mpendwa pole sana ukute ni jino moja tu hapo mimi nilipo umwa jino nilijua yameharibika meno matatu maana maumivu yake ni moto nilipo fika kwa doctor namwambia meno matatu yote ngo'a alicheka sana kuja kuangalia moja.
 
Mpendwa pole sana ukute ni jino moja tu hapo mimi nilipo umwa jino nilijua yameharibika meno matatu maana maumivu yake ni moto nilipo fika kwa doctor namwambia meno matatu yote ngo'a alicheka sana kuja kuangalia moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha, uumii kung'oa meno matatu kwa mpigo, mm hayo mawili yote yamevunjika upande wa kushoto na kulia
 
jamani kuna uzi wa jamaa kule anaelezea alikuwa anaumwa jino. Nimeona na mimi nielezee jinsi sikio la kulia lilivyochakaza!

Yaani sikio,jino,macho sio vitu vya kuchezea kabisaaa..
Mimi nilikaaa week 2 navumilia tuu. inahitaji moyo bandugu!!

Usiku nilikuwa napanda dirishani, nakaa chini, navua Nguo, navaa tena, naoga hata mara kumi! ila ndo kwanza sikio linachochea! yaani mpaka nilikuwa naimba kwaya, singeli ila wapi!!
usiku nauona una masaa 70 sijui???
Ikabidi nijisalimishe general hospital mwenyewe!
Njiani Dereva bajaji anaendesha taratiibuuuu! nikaona huyu mshenzi ataniuwa! nikakamatia chuma mwenyewe!!
Kufika hospitali nakuta madingi mawili na mtoto mmoja yupo na mamake ..yule mtoto alikuwa analia ila sauti yake ilishakauka! yule dingi mmoja alikuwa kalala chini.. mwingine yupo stoo sijui alikuwa ndo anapooza maumivu!.
Nikapewa dawa niliambiwa kuna kidonda ndani! so kama kawa usiku dozi ikaendelea! Nikawa nachukua mpira nacheza nje usiku! ila wapi!
Mpaka nilipokuja kuwekewa bangi!(msokoto) /(chiga) kwenye sikio...
Huwezi amini hiyo siku iliofuata nilijiona niko uko akhera nikiwa na mabikra 70 na mto wa pombe
Mpaka leo haliumi tena. Kweli bangi ibarikiwe!
Unavaa na kuvua nguo ..unacheza mpira usiku...nilipofika hapo kusoma ikabidi niweke kwanza simu pembeni...nimecheka km mazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
Pole aisee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha, uumii kung'oa meno matatu kwa mpigo, mm hayo mawili yote yamevunjika upande wa kushoto na kulia
Naomba nisije kuumwa tena jino yale maumivu ni ya aina gani maana usiku mmoja nililia machozi yakakata hayatoki chumbani nazunguka peke yangu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha, uumii kung'oa meno matatu kwa mpigo, mm hayo mawili yote yamevunjika upande wa kushoto na kulia
😀😀😀Sio kwamba siumii, Nilichanganyikiwa na maumivu yaani nimefikaje hospital nilikuwa sijielewi saa kumi na moja asubuhi nipo getini nimewahi namba tayari.
 
Mimi mwenyewe sikio liliniuma nikapewa dawa ya maji ile masikio na macho nkawwka nlipoona limeacha kuuma nkastop kutumia dawa.
But shida nahc ilitokana ma eyephone yalikuwa makubwa yakaniumiza
 
Sikumoja niliumwa sikio
Nmeamka tu likaanza
Limeniuma weeh
Ndugu zamgu walinikuta hospitali na night dress... nimefika tu hospital kila mtu kanipisha daktari kanishangaa mana niko nusu utupu nikachomwa sindano likatulia .
Ndugu zangu walifanya kunitafuta kuja kulipa bill[emoji1787]
 
Unavaa na kuvua nguo ..unacheza mpira usiku...nilipofika hapo kusoma ikabidi niweke kwanza simu pembeni...nimecheka km mazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
Pole aisee
Asante mkuu sio mchezo
 
Mm mpka sa hiv skio la kushoto linauma tangia nikiwa mdgo had sasa nina miaka 30 nikijisahau nikaweka headphone tuu linaanza kuuma na mwisho kutoa usaha ukiisha niko fresh tu sema mpaka sasa aliskii vizur
 
Back
Top Bottom