Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,609
Mm majino mawili yanauma kesho naenda kutafuta dawa nimeelekezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukiimwa jino pia na kichwa kinaumaHapana me sikio na jino yan unatamani haa kichwa ukitoe ukipumzishe kwanza na vile mwili hauna shirika unaumwa sikio unaona ni kichwa chote kinauma
Hata ukiimwa jino pia na kichwa kinauma
😀😀😀😀umenikumbusha kitambo hicho kuna movie ya kihindi ,Jamaa shingo yake ilikuwa upande alipigwa ngumi ikakaa sasa akajishangaa maana alokuwa kama robotPole sana, mimi nilikuwa na dalili za kuumwa sikio kuna siku mzee kaniwasha kibao cha sikio nashukuru toka siku ile nilipona.
Mpendwa pole sana ukute ni jino moja tu hapo mimi nilipo umwa jino nilijua yameharibika meno matatu maana maumivu yake ni moto nilipo fika kwa doctor namwambia meno matatu yote ngo'a alicheka sana kuja kuangalia moja.Mm majino mawili yanauma kesho naenda kutafuta dawa nimeelekezwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha, uumii kung'oa meno matatu kwa mpigo, mm hayo mawili yote yamevunjika upande wa kushoto na kuliaMpendwa pole sana ukute ni jino moja tu hapo mimi nilipo umwa jino nilijua yameharibika meno matatu maana maumivu yake ni moto nilipo fika kwa doctor namwambia meno matatu yote ngo'a alicheka sana kuja kuangalia moja.
Unavaa na kuvua nguo ..unacheza mpira usiku...nilipofika hapo kusoma ikabidi niweke kwanza simu pembeni...nimecheka km mazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]jamani kuna uzi wa jamaa kule anaelezea alikuwa anaumwa jino. Nimeona na mimi nielezee jinsi sikio la kulia lilivyochakaza!
Yaani sikio,jino,macho sio vitu vya kuchezea kabisaaa..
Mimi nilikaaa week 2 navumilia tuu. inahitaji moyo bandugu!!
Usiku nilikuwa napanda dirishani, nakaa chini, navua Nguo, navaa tena, naoga hata mara kumi! ila ndo kwanza sikio linachochea! yaani mpaka nilikuwa naimba kwaya, singeli ila wapi!!
usiku nauona una masaa 70 sijui???
Ikabidi nijisalimishe general hospital mwenyewe!
Njiani Dereva bajaji anaendesha taratiibuuuu! nikaona huyu mshenzi ataniuwa! nikakamatia chuma mwenyewe!!
Kufika hospitali nakuta madingi mawili na mtoto mmoja yupo na mamake ..yule mtoto alikuwa analia ila sauti yake ilishakauka! yule dingi mmoja alikuwa kalala chini.. mwingine yupo stoo sijui alikuwa ndo anapooza maumivu!.
Nikapewa dawa niliambiwa kuna kidonda ndani! so kama kawa usiku dozi ikaendelea! Nikawa nachukua mpira nacheza nje usiku! ila wapi!
Mpaka nilipokuja kuwekewa bangi!(msokoto) /(chiga) kwenye sikio...
Huwezi amini hiyo siku iliofuata nilijiona niko uko akhera nikiwa na mabikra 70 na mto wa pombe
Mpaka leo haliumi tena. Kweli bangi ibarikiwe!
Naomba nisije kuumwa tena jino yale maumivu ni ya aina gani maana usiku mmoja nililia machozi yakakata hayatoki chumbani nazunguka peke yangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha, uumii kung'oa meno matatu kwa mpigo, mm hayo mawili yote yamevunjika upande wa kushoto na kulia
😀😀😀Sio kwamba siumii, Nilichanganyikiwa na maumivu yaani nimefikaje hospital nilikuwa sijielewi saa kumi na moja asubuhi nipo getini nimewahi namba tayari.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha, uumii kung'oa meno matatu kwa mpigo, mm hayo mawili yote yamevunjika upande wa kushoto na kulia
Naelewa maumivu yake tena hasa usikuNaomba nisije kuumwa tena jino yale maumivu ni ya aina gani maana usiku mmoja nililia machozi yakakata hayatoki chumbani nazunguka peke yangu.
Pole sana mpendwa umejaribu kuweka karafuu.Naelewa maumivu yake tena hasa usiku
Niliumwa usiku mmoja nikameza diclopa likatulia kesho nikaenda kung'oa mambo ya kuumwa hadi roho itapetape akhuuuu[emoji3][emoji3][emoji3]Sio kwamba siumii, Nilichanganyikiwa na maumivu yaani nimefikaje hospital nilikuwa sijielewi saa kumi na moja asubuhi nipo getini nimewahi namba tayari.
Nimeelekezwa shoga angu kesho naenda kununua unga wa karafuu nimeambiwa nichanganye na unga wa mkaaPole sana mpendwa umejaribu kuweka karafuu.
Asubuhi nikiswaki nichanganye niweke kwenye matoboNimeelekezwa shoga angu kesho naenda kununua unga wa karafuu nimeambiwa nichanganye na unga wa mkaa
Acha kabisaa....!!!niliumwa sikio jamani usiombe mpk mdomo mzito[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Duuuh!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umenikumbusha kitambo hicho kuna movie ya kihindi ,Jamaa shingo yake ilikuwa upande alipigwa ngumi ikakaa sasa akajishangaa maana alokuwa kama robot
Asante mkuu sio mchezoUnavaa na kuvua nguo ..unacheza mpira usiku...nilipofika hapo kusoma ikabidi niweke kwanza simu pembeni...nimecheka km mazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38]
Pole aisee