Tuliowahi kuumwa sikio/masikio tukutane hapa

Tuliowahi kuumwa sikio/masikio tukutane hapa

Nimeumwa masikio yote mawili

Sikio linauma sjapata kuona, mimi usiku kucha nalia usingizi naupata saa kumi na moja alfajiri, nikaambiwa weka mafuta ya kuku wapi nijispray perfume wapi bangi sikupata nimemaliza hospital nikaenda pona kuna baba anaitwa rasheed akanambia nina kidonda akanipa dawa ndio aliniponesha na akanipiga bomba asee sitaki hata yanirudie

Mimi ni muoga wa dawa lakini kwenye sikio nilikunywa na sindano niakzivumilia ah wapi nikampataga dokta mmoja anatokea muhimbili ilibidi niweke appointment naye siku ya kwenda mama anabeba mkoba mtandio kuuvaa siwez nimeufunga kilemba dokta alikua ananiweka mapamba na madawa akitoa damu tele mama akanambia utafanywa masito tukahama hospital wallah sitasahau baada ya kupigwa bomba sijawah kuumwa tena sikio had leo
Mkuu ilikuwa outer au inner?
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yan mkono ulikua hautoki sikioni ninalia tu et maskio kama ya merlin😂😂😂😂😂
Na ulivyo na masikio kama ya Merlin hapo ulikuwa ukilala unaweka sikio pembeni linalala lenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yan mkono ulikua hautoki sikioni ninalia tu et maskio kama ya merlin[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiungo chochote kile kikiuma mbona utatamani kuki-restore. Umewahi kuumwa ulimi au kucha?
 
Sikio linauma sana sana,niliwah ugua sikio moja sitasahau niliteseka sana ila nilipona baada ya kutumia dawa tuu ile ya maji ya sikio ila ugonjwa sikio usikie kwa mwengine
 
Back
Top Bottom