Nimeumwa masikio yote mawili
Sikio linauma sjapata kuona, mimi usiku kucha nalia usingizi naupata saa kumi na moja alfajiri, nikaambiwa weka mafuta ya kuku wapi nijispray perfume wapi bangi sikupata nimemaliza hospital nikaenda pona kuna baba anaitwa rasheed akanambia nina kidonda akanipa dawa ndio aliniponesha na akanipiga bomba asee sitaki hata yanirudie
Mimi ni muoga wa dawa lakini kwenye sikio nilikunywa na sindano niakzivumilia ah wapi nikampataga dokta mmoja anatokea muhimbili ilibidi niweke appointment naye siku ya kwenda mama anabeba mkoba mtandio kuuvaa siwez nimeufunga kilemba dokta alikua ananiweka mapamba na madawa akitoa damu tele mama akanambia utafanywa masito tukahama hospital wallah sitasahau baada ya kupigwa bomba sijawah kuumwa tena sikio had leo