Tuliowahi kuumwa sikio/masikio tukutane hapa

Mkuu ilikuwa outer au inner?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yan mkono ulikua hautoki sikioni ninalia tu et maskio kama ya merlinπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na ulivyo na masikio kama ya Merlin hapo ulikuwa ukilala unaweka sikio pembeni linalala lenyewe.
 
Kiungo chochote kile kikiuma mbona utatamani kuki-restore. Umewahi kuumwa ulimi au kucha?
 
Sikio linauma sana sana,niliwah ugua sikio moja sitasahau niliteseka sana ila nilipona baada ya kutumia dawa tuu ile ya maji ya sikio ila ugonjwa sikio usikie kwa mwengine
 
Hapana me sikio na jino yan unatamani haa kichwa ukitoe ukipumzishe kwanza na vile mwili hauna shirika unaumwa sikio unaona ni kichwa chote kinauma
Kiungo chochote kile kikiuma mbona utatamani kuki-restore. Umewahi kuumwa ulimi au kucha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…