Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #61
Acha mchezo mzee miaka 30??? linaweza likaziba kabisaMm mpka sa hiv skio la kushoto linauma tangia nikiwa mdgo had sasa nina miaka 30 nikijisahau nikaweka headphone tuu linaanza kuuma na mwisho kutoa usaha ukiisha niko fresh tu sema mpaka sasa aliskii vizur
Inner ukimaanisha kwa ndani s ndio?? Ilikua ndani na nta ilikua inatoka kama ukoko wa ugali vile vile ulivyo
Polea bossMm mpka sa hiv skio la kushoto linauma tangia nikiwa mdgo had sasa nina miaka 30 nikijisahau nikaweka headphone tuu linaanza kuuma na mwisho kutoa usaha ukiisha niko fresh tu sema mpaka sasa aliskii vizur
Kwenye bangi nakubaliana nawe. Bangi ni dawa nzuri sana ya sikio.jamani kuna uzi wa jamaa kule anaelezea alikuwa anaumwa jino. Nimeona na mimi nielezee jinsi sikio la kulia lilivyochakaza!
Yaani sikio,jino,macho sio vitu vya kuchezea kabisaaa..
Mimi nilikaaa week 2 navumilia tuu. inahitaji moyo bandugu!!
Usiku nilikuwa napanda dirishani, nakaa chini, navua Nguo, navaa tena, naoga hata mara kumi! ila ndo kwanza sikio linachochea! yaani mpaka nilikuwa naimba kwaya, singeli ila wapi!!
usiku nauona una masaa 70 sijui???
Ikabidi nijisalimishe general hospital mwenyewe!
Njiani Dereva bajaji anaendesha taratiibuuuu! nikaona huyu mshenzi ataniuwa! nikakamatia chuma mwenyewe!!
Kufika hospitali nakuta madingi mawili na mtoto mmoja yupo na mamake ..yule mtoto alikuwa analia ila sauti yake ilishakauka! yule dingi mmoja alikuwa kalala chini.. mwingine yupo stoo sijui alikuwa ndo anapooza maumivu!.
Nikapewa dawa niliambiwa kuna kidonda ndani! so kama kawa usiku dozi ikaendelea! Nikawa nachukua mpira nacheza nje usiku! ila wapi!
Mpaka nilipokuja kuwekewa bangi!(msokoto) /(chiga) kwenye sikio...
Huwezi amini hiyo siku iliofuata nilijiona niko uko akhera nikiwa na mabikra 70 na mto wa pombe
Mpaka leo haliumi tena. Kweli bangi ibarikiwe!
Duh pole boss , ndiyo namaanisha ndani,.
Me ni Sikio la nje(outer ear)Ninapata taabu sana ila ngoja nijaribu bangi mbichi maana hospitali nimeenda sana.
Nenda Hospital mkuu,watakusaidiaMm mpka sa hiv skio la kushoto linauma tangia nikiwa mdgo had sasa nina miaka 30 nikijisahau nikaweka headphone tuu linaanza kuuma na mwisho kutoa usaha ukiisha niko fresh tu sema mpaka sasa aliskii vizur
Yap ndo ilikuwa hivyo mkuu now ni vidonda kabisa ambavyo kwa juu vimekauka ila kwa ndani vibichi, , vinawasha hatari, Navikuna hadi damu mkuu yaani ni taabu taabu , .Asante, utakua unafanya vile vipele kama vichunusi hua vinauma sana
Yap ndo ilikuwa hivyo mkuu now ni vidonda kabisa ambavyo kwa juu vimekauka ila kwa ndani vibichi, , vinawasha hatari, Navikuna hadi damu mkuu yaani ni taabu taabu , .
Nikivibandua kesho tena nakuta vimeota daah, .
Nisaidie tiba asilia kama unafahamu mkuu.
Hospitali mara ya kwanza nilipewa dawa ya kuweka ndani na za kumeza, Hazikusaidia , mara ya pili ni mwendo wa sindano tuu sindano mpaka sasa hivi nikiona sindano mwili unasisimka, .Kwa hapo sifaham labda umeze dawa za kuvikausha hospital walikuambiaje??
Na vinaumaga s mchezo
Hospitali mara ya kwanza nilipewa dawa ya kuweka ndani na za kumeza, Hazikusaidia , mara ya pili ni mwendo wa sindano tuu sindano mpaka sasa hivi nikiona sindano mwili unasisimka, .
Nina wiki 3 sasa tangu waliponambia nikae waangalie hali yake, nisilichokonoe ila ndo linawasha hatari dah wiki inayoanza kesho natakiwa niende kufanyiwa checkup .
NAIMANI NTAPATA UFUMBUZI
Pale Ekenywa kwa masuala mazima ya masikio yako vizuri. Mimi walinisaidia wasikio yalikua na fangasi, ila kama huna Bima wana bei balaaHospitali mara ya kwanza nilipewa dawa ya kuweka ndani na za kumeza, Hazikusaidia , mara ya pili ni mwendo wa sindano tuu sindano mpaka sasa hivi nikiona sindano mwili unasisimka, .
Nina wiki 3 sasa tangu waliponambia nikae waangalie hali yake, nisilichokonoe ila ndo linawasha hatari dah wiki inayoanza kesho natakiwa niende kufanyiwa checkup .
NAIMANI NTAPATA UFUMBUZI
Weee kuna maviungo mengine yamezidi...pumbu..jino..sikio.tumbo..kichwa..jicho..chembe ya moyo hahahahaa..but kweli bana kila kitu kinauma aseeeKiungo chochote kile kikiuma mbona utatamani kuki-restore. Umewahi kuumwa ulimi au kucha?
Ukiipata nambie na mimiMm majino mawili yanauma kesho naenda kutafuta dawa nimeelekezwa
Hapo lilikuwa halija changanya huwaga hata ganzi halisikiii unatamani upande juu ya mti ujitupe mamaeeeNiliumwa usiku mmoja nikameza diclopa likatulia kesho nikaenda kung'oa mambo ya kuumwa hadi roho itapetape akhuuuu
Ni unga wa mdalasini unachanganya na unga wa mkaa sijui mnaita vumbi unaweka sehemu iliyotoboka asubuhi baada ya kuswakiUkiipata nambie na mimi