APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #21
Hao wezi watakuwa mandongaHivi wewe watu wamekuvamia na mapanga, utaacha kuwala za kichwa eti kisa unaogopa wanajf watasema ni chai?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wezi watakuwa mandongaHivi wewe watu wamekuvamia na mapanga, utaacha kuwala za kichwa eti kisa unaogopa wanajf watasema ni chai?
ugumu wa maisha unafany watu wawe vichaaYan mi skutaka kuwauliza wamelibebaje...ni za kichwa tu
Mi nlipoona wanahangaika na mlango, nikalala chini huku nau'face mlango.kimyaaa!! tuliii!!Hao wezi watakuwa mandonga
Jua kali filamu ipo mkuu nikutumieDah hivi huko kwenu hamna jua kali
Unafukua makaburiNa picha hili la kihindi limeletwa kwenu kwa udhamini mkubwa wa KALYINDA.
Mzee kichwa gani hichoMi nlipoona wanahangaika na mlango, nikakaa chini huku nau'face mlango.kimyaaa!! tuliii!!
ile wamefanikiwa tu..nikaanza kuimba nao za kichwa tu
🤣🤣🤣🤣eti kama mbuzHao walionivamia baadae nilijua ni masela wa kitaa wasiopenda kujituma,nilimtafuta mmoja wao nilimpa kipondo mpaka akalia kama mbuzi meeeemeee
Kule arusha kuna mitaro ya maji nilikuwa namdumbukiza akiibuka namzamisha,nilipomtoa tu akaanza kulia meeemeeemeeeNa Ungehakikisha anakunya vile vimazi Kama vya mbuzi.
😄😄😄Na Ungehakikisha anakunya vile vimazi Kama vya mbuzi.
Ha ha ahaaa mkuu acha kabisaJua kali filamu ipo mkuu nikutumie
Mngekunywa supuSitokuja kusahau wezi waliokuja kutuibia mbuzi wakachinga na kuchuma mbuzi zizi zima yaani wale wapuuzi walituachia ngozi na vichwa tu.
Tulikuja kuamshwa saa5 asubuhi na majirani
Hata kunya piaDuh! Sijawahi hata kukutana na kibaka ile road anikwapue/ anitishe kitu…
Siku yanikute!! Sipati picha nitakavyojikojolea 😂🙈
Superman nitatokea relax..Duh! Sijawahi hata kukutana na kibaka ile road anikwapue/ anitishe kitu…
Siku yanikute!! Sipati picha nitakavyojikojolea 😂🙈
Wa mchongoSuperman nitatokea relax..
Sikioni alafu awe bubu,wewe jamaa banaWengi walidedi kuna mmoja tu ndo iliishia skioni akawa bubu