GREAT NAME
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,078
- 1,718
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mngekufaNakumbuka katika ukuaji mitaa ya temeke ulikuwa 2002,tulienda bich flani mitaa ya kigamboni inaitwa mikadi tukaleta utemeke wetu tukapola jamaa flani walikuwa wawili na mademu zao,saura Kila kitu mida Kama ya saa mbili usiku,kumbe pamtoni haifanyi kazi kuazia midaa ya saa tatu na kuendelea,likaja wazo la kurudia hii ya kongowe kumbe Kuna jamaa mmoja kati ya wale wawili tulio wapola aliamua kutufuatilia akiwa na kampani ya wahuni wake kma 25 hivi,wakaja kutubananisha maeneo ya mjimwema wakiwa na mabomu yautambi sijui na majambia Kama yote,bahati ilikuwa kwetu ikawa difenda ya polisi inapita iko kwenye patrol midaa ya saa Tano usiku tukaona hapa msaada huo hapo,tukaaza kurusha mawe kwa polisi jamaa wakaruka kwenye gari kuaza kupiga risasi hewani wote tukamwagika bila hivyo sijui ingekuje kwa wale jamaa.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Nkuulize kwanza swali... ububu ni ugonjwa wa mdomo na ulimi au ni ugonjwa wa akili?Sikioni alafu awe bubu,wewe jamaa bana
Kinachoongea niulimi au akili??Nkuulize kwanza swali... ububu ni ugonjwa wa mdomo na ulimi au ni ugonjwa wa akili?
Kinachoendesha ni uskani au dereva?Kinachoongea niulimi au akili??
VyoteKinachoendesha ni uskani au dereva?
Mbona hujatolewa kwenye taarifa ya habari?Mi ile wanaruka fence kumbe niko macho, nikaandaa mguu wa kuku..ile wanabomoa tu mlango na fatuma yao nikaanza kuwatembezea za kichwa tu...mi nikaimba nao za kichwa tu.
ilikuwa zamani, Enzi za TVT kabisaMbona hujatolewa kwenye taarifa ya habari?
Vyote
Ndo jibuKinachoongea niulimi au akili??
🤣🤣🤣Siku yanikute!! Sipati picha nitakavyojikojolea 😂
Sio akawa kiziwi ?Wengi walidedi kuna mmoja tu ndo iliishia skioni akawa bubu
😅😅😅😅😅😅😅huyo wa pili ndokaua
wangewakanda kisawasawaNakumbuka katika ukuaji mitaa ya temeke ulikuwa 2002,tulienda bich flani mitaa ya kigamboni inaitwa mikadi tukaleta utemeke wetu tukapola jamaa flani walikuwa wawili na mademu zao,saura Kila kitu mida Kama ya saa mbili usiku,kumbe pamtoni haifanyi kazi kuazia midaa ya saa tatu na kuendelea,likaja wazo la kurudia hii ya kongowe kumbe Kuna jamaa mmoja kati ya wale wawili tulio wapola aliamua kutufuatilia akiwa na kampani ya wahuni wake kma 25 hivi,wakaja kutubananisha maeneo ya mjimwema wakiwa na mabomu yautambi sijui na majambia Kama yote,bahati ilikuwa kwetu ikawa difenda ya polisi inapita iko kwenye patrol midaa ya saa Tano usiku tukaona hapa msaada huo hapo,tukaaza kurusha mawe kwa polisi jamaa wakaruka kwenye gari kuaza kupiga risasi hewani wote tukamwagika bila hivyo sijui ingekuje kwa wale jamaa.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Sasa nilimpiga nwizi akalia hivyo😅😅😅😅😅😅😅huyo wa pili ndokaua
Hii ni kamba mkuu.Hivi wewe watu wamekuvamia na mapanga, utaacha kuwala za kichwa eti kisa unaogopa wanajf watasema ni chai?
nilimla la kulia...Aliendelea kusikia kwa la kushotoSio akawa kiziwi ?
We jamaa bhana. Hili jina uliwaza nini mkuu??ugumu wa maisha unafany watu wawe vichaa
Ukiwa kiziwi utazungumza vipi. Unaweza kujibu neno usilolisikia?Sio akawa kiziwi ?