Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe

Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe

Way back miaka ya 2006 tulikua nyumba ya kupanga miaka hio kulkua na wale vibaka wahuni sura ngumu alafu wababe wanaiba hadi mchana kulikua na chuma kimoja kinaitwa Godzilla uyo alikua akipita mchana mjue usiku hakulaliki...
Akipita watoto wote ndani (ila vibaka wa zaman walikua wana sura ngumu aiseee)
Sasa siku moja tumelala usiku nyumba nzima imebaki na wamaza na sisi madogo (hakukua na mama mwenye kijana mkubwa) tunasikia mlango wa ukumbini unagongwa kinoma..
Wapangaji wote wakafolenishwa ukumbini wahuni wanapiga mibanzi wamaza kama sokweee
Wanawaambia leteni helaaa mamaza hatuna hela jaman
Sisi watoto wa kujikojolea washajikojolea mimi nmejificha chin ya mtungi wa ukumbini..
Baada ya kukosa hela wakauliza mmepika nini
Wapangaji walopika ugali wakala mibanzi tena kama ya sokwe
Mama dula alikua kapika wali mate mbele ndo akaokoa jahazi wahun wakala wali na ukoko wote tupo tunawaangalia wakamaliza wakachukua kopo la mafuta (mamujee) wakaingiza madole yao wakakomba mafuta wakasepa
 
Nakumbuka ilikuwa 2013, bana wee sitaka nisahau maishani mwangu.

Nakumbuka nilipiga kazi kwenye biashara yangu, nikajikusanyia pesa nzuri tu sio chini ya million 2, ghetto nilipapendezesha vizuri sana.

Chumba changu kilikuwa pembezoni na mto Arusha eneo nililopewa na wazazi wangu pamezungukwa na miti na migomba mingi sana, kuna msitu mmoja mzuri sana kama ulaya vile.

Sasa kipindi hicho nilikuwa nimenunua bonge la speaker, daily nilikuwa nakula reggae na nyimbo za hiphop za chuga, nilikuwa na computer ya dell desktop, kipindi hicho ukiwa na computer mtaa mzima unakuheshimu.

Ilikuwa majira ya saa 9 usiku, nikiwa nimelala gheto, ghafla nikasikia mlango umepigwa jiwe fatuma kwa watu wanaojua jiwe fatuma ni nini watakuambia, walikuwa kama 7 hivi wameshika marungu na mapanga wengine wananimulika na torch machoni yani kama movie vile..

Jamaa wakaniambia toa ulichonacho, nikawaambia sina chochote zaidi ya hivi vitu vya gheto, hakuna!! toa pesa ulizonazo mara mabapa ya mgongo kwa sana, nikawaambia sina pesa, kuna jamaa akawaambia huyu mpaka akatwe ndo atoe pesa, daah jamaa akanikata na panga mgongoni, nikaona niwape hela zao waondoke.

Jamaa wakanipa kichapo cha maana, wakabeba computer, nguo, viatu vyote, speaker na pesa zote nilizosave wakaondoka zao.

Nilichojifunza, simuonei mwizi huruma nikishajua ameiba kweli, yani atakula vitofali mpaka ajute kwanini kaiba..

Hayo ni yangu yalionikuta enzi hizo je nyie kiliwakuta kipi, nakaribisha mchango wenu kwenye huu uzi.

ONE TIME,
ONE FOR THE ROAD..
APPROXIMATELY ONCE AGAIN..
,
Wahuni siyo watu
 
Way back miaka ya 2006 tulikua nyumba ya kupanga miaka hio kulkua na wale vibaka wahuni sura ngumu alafu wababe wanaiba hadi mchana kulikua na chuma kimoja kinaitwa Godzilla uyo alikua akipita mchana mjue usiku hakulaliki...
Akipita watoto wote ndani (ila vibaka wa zaman walikua wana sura ngumu aiseee)
Sasa siku moja tumelala usiku nyumba nzima imebaki na wamaza na sisi madogo (hakukua na mama mwenye kijana mkubwa) tunasikia mlango wa ukumbini unagongwa kinoma..
Wapangaji wote wakafolenishwa ukumbini wahuni wanapiga mibanzi wamaza kama sokweee
Wanawaambia leteni helaaa mamaza hatuna hela jaman
Sisi watoto wa kujikojolea washajikojolea mimi nmejificha chin ya mtungi wa ukumbini..
Baada ya kukosa hela wakauliza mmepika nini
Wapangaji walopika ugali wakala mibanzi tena kama ya sokwe
Mama dula alikua kapika wali mate mbele ndo akaokoa jahazi wahun wakala wali na ukoko wote tupo tunawaangalia wakamaliza wakachukua kopo la mafuta (mamujee) wakaingiza madole yao wakakomba mafuta wakasepa
Mkuu walijipaka mwilini hayo mafuta
 
Way back miaka ya 2006 tulikua nyumba ya kupanga miaka hio kulkua na wale vibaka wahuni sura ngumu alafu wababe wanaiba hadi mchana kulikua na chuma kimoja kinaitwa Godzilla uyo alikua akipita mchana mjue usiku hakulaliki...
Akipita watoto wote ndani (ila vibaka wa zaman walikua wana sura ngumu aiseee)
Sasa siku moja tumelala usiku nyumba nzima imebaki na wamaza na sisi madogo (hakukua na mama mwenye kijana mkubwa) tunasikia mlango wa ukumbini unagongwa kinoma..
Wapangaji wote wakafolenishwa ukumbini wahuni wanapiga mibanzi wamaza kama sokweee
Wanawaambia leteni helaaa mamaza hatuna hela jaman
Sisi watoto wa kujikojolea washajikojolea mimi nmejificha chin ya mtungi wa ukumbini..
Baada ya kukosa hela wakauliza mmepika nini
Wapangaji walopika ugali wakala mibanzi tena kama ya sokwe
Mama dula alikua kapika wali mate mbele ndo akaokoa jahazi wahun wakala wali na ukoko wote tupo tunawaangalia wakamaliza wakachukua kopo la mafuta (mamujee) wakaingiza madole yao wakakomba mafuta wakasepa
😂😂😂Nimecheka balaa
 
Back
Top Bottom