Tuliowahi kuvamiwa, kuibiwa au kutekwa na majambazi tujikumbushe


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Jamaa waliiba samaki wakiwa wabichi
 
Nimeuliza iwapo kiziwi anaweza zungumza. Hayo unayoongelea na mwenzako endeleeni tu, nimetaka kujua tu iwapo kiziwi anaweza zungumza.
Inawezekana!!
Sio kila kiziwi ni bubu!!
 
Reactions: Tsh
Mkuu nimecheka dah 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulikua sisi naakina mrope kumbe ulikua boya wewee..! [emoji849]
 
Sitokuja kusahau wezi waliokuja kutuibia mbuzi wakachinga na kuchuma mbuzi zizi zima yaani wale wapuuzi walituachia ngozi na vichwa tu.
Tulikuja kuamshwa saa5 asubuhi na majirani
Khaaa. Itakuwa mlikufa kwa muda, shughuli yote hio hamkuamka!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…